IT wa bongo mbona hamuanzishi platforms dark net?

IT wa bongo mbona hamuanzishi platforms dark net?

Lager

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
395
Reaction score
1,085
Ndo kusema haya mambo hamyawezi au?

Toka nimetembelea kule sijawahi ona hata chat room ya kiswahili au hata forum ya kiswahili!,mnakwama wapi au mnaogopa kuonyesha ufundi wenu.

Ni mbaya sana kufikiri kule Kuna vitu viovu tu!,na kule ndio Kuna michuano mikali ya kivamizi (platform yako kuwa hacked),Sasa mtajuaje changamoto na namna ya kuzidhibiti msipotembelea kule??

Kikubwa muwe na tahadhari tu.
NB: Uzi huu haupo kwa lengo la kuhamasisha uovu bali kuleta stimulation kwa vijana haswa nyanja za IT.

Mjitafakari.
 
Tupo busy kwenye social media tunatoa connection za malaya telegram, kuuza account IG, na kuuza mundende [emoji28]
Mambo ya hovyo tu lakini kule Kuna zaidi ya haya ukiwa na tamaa unaingia kwenye vitu viovu.
 
Kweli, huwezi kuuza ngada au silaa online kwa bongo[emoji28], huku zinafanywa locally na kwa watu wanaojuana.
Huku kwengine sasa!. Unajua wakiwa imara katika nyanja hizi hata usalama utakuwepo pia maana watakuwa wanatumika wao na sio lazima watoke nje za nchi let's say anaitwa IT was nje aje arekebishe mifumo ya kompyuta ya tanesko! Wakiamua si wanaweza kutukalisha giza hawa😂
 
IT wa bongo wanajua kuuza movies na series..na simu k.koo,kipiga chini window na kuweka antivirus.

Huko kwengine waupe sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana I belive wapo vizuri, sema technology sio kama medicine, sheria, au kada zingine ambazo ni static ambazo mabadiliko huwa ya taratibu na hakuna ubunifu sana. Technology is very dynamic, competitive na inahitaji ubunifu wa hali ya juu sana ili kufanikiwa, kitu kingine njaa kwa jamii zetu umemaliza chuo umejifungia ndani una develop project ni jambo lisilowezekana au la ajabu, Mnajikusanya mfanye kazi lakini njaa zitauma na kila mtu itabidi ahangaikie tumbo lake.

Ma IT shule ipo sema mazingira tu
 
Hapana I belive wapo vizuri, sema technology sio kama medicine, sheria, au kada zingine ambazo ni static ambazo mabadiliko huwa ya taratibu na hakuna ubunifu sana. Technology is very dynamic, competitive na inahitaji ubunifu wa hali ya juu sana ili kufanikiwa, kitu kingine njaa kwa jamii zetu umemaliza chuo umejifungia ndani una develop project ni jambo lisilowezekana au la ajabu, Mnajikusanya mfanye kazi lakini njaa zitauma na kila mtu itabidi ahangaikie tumbo lake.

Ma IT shule ipo sema mazingira tu
Njaa kitu kibaya sana..nakubaliana na wewe..ndio mana nchi zetu hatupigia hatua..kwamaana zile basic needs tu hatuna.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku kwengine sasa!. Unajua wakiwa imara katika nyanja hizi hata usalama utakuwepo pia maana watakuwa wanatumika wao na sio lazima watoke nje za nchi let's say anaitwa IT was nje aje arekebishe mifumo ya kompyuta ya tanesko! Wakiamua si wanaweza kutukalisha giza hawa[emoji23]
[emoji28] ni vile tu vijana hatupewi chance!
 
Njaa kitu kibaya sana..nakubaliana na wewe..ndio mana nchi zetu hatupigia hatua..kwamaana zile basic needs tu hatuna.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu huwezi kushinda na laptop miezi au mwaka una develop project ambayo itakupa pesa baada ya muda, lazima kwanza utafute mkate wako wa kila siku
 
Hivi hamuelewi IT wa bongo ni sifuri hamna kitu, uwezo wao kwenye masuala ya IT ni kama wa huyu nyani👇🐒

images (68).jpeg
 
Ndo kusema haya mambo hamyawezi au?

Toka nimetembelea kule sijawahi ona hata chat room ya kiswahili au hata forum ya kiswahili!,mnakwama wapi au mnaogopa kuonyesha ufundi wenu.

Ni mbaya sana kufikiri kule Kuna vitu viovu tu!,na kule ndio Kuna michuano mikali ya kivamizi (platform yako kuwa hacked),Sasa mtajuaje changamoto na namna ya kuzidhibiti msipotembelea kule??

Kikubwa muwe na tahadhari tu.
NB: Uzi huu haupo kwa lengo la kuhamasisha uovu bali kuleta stimulation kwa vijana haswa nyanja za IT.

Mjitafakari.
Sawa ili ujibiwe usiwe specific maana waTZ wamekalilishwa kuwa mtu yyt anaesomea Computer related studies ni IT.
Jibu ni hapana Kuna computer scientists, software engineers, CyberExperts na kada nyingine. IT ni professional ya aliyesoma Bachelor ya IT yaani information Technology na wanasoma wanapalaza sio deep kivilee. IT Anajua kwa juu Juu tu baadhi ya vitu hasa hasa computer maintenances.

Now tukija kwenye swali lako La kwanini watz hawatengenezi Dark web websites?

Dark web ni mahala sensitive sana penye uhitaji wa high security why because of continous cyber war and attacks. Sasa TZ kuna server farm nzuri kiasi icho. Jibu No na Je TTCL wataweza Ku host website yako yenye surfers wa darkweb jibu ni No.
lakini bado darkweb kazi wanaoingia kule wanafanya kazi maalum na za usiri mkubwa na hawaendi kule kuchati tu.
Kuanzisha darkweb website lazima uwe na lengo. Je lipo au una biashara haramu na watz walivyowoga duuuh ndio kabisaaa ila I recall one incident nilikuta Buffalo horns ziko onsale na unalipia kwa bitcoins na ziko specified zilikotoka Moja ya mbunga ya wanyama kanda ya ziwa

NB: Ukitaka kujua TZ kuna watu wa Bad jipange na ingia darkweb website weka tender na utoe Masharti kuwa unataka awe mtz ashushe server ya kampuni kubwa halafu weka mzigo wa kutosha. Utaona reply utakazopata.

NAKUPA USHAURI BURE... Ukiwa mpenzi Wa kwenda darkweb then Ziba PC Camera UTANISHUKURU
 
Back
Top Bottom