Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
If your ex tells you that you will never find someone like her/him.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Tell them
That is the point.