It will take hundreds of years for Tanzania to get a president like Magufuli

It will take hundreds of years for Tanzania to get a president like Magufuli

Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....


Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......

Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......


Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
If your ex tells you that you will never find someone like her/him.
Tell them
That is the point.
 
Hiyo kauli ya 100 years kumpata mtu kama magufuli inatumika na watu wenye mahaba binafsi na wanasiasa tu, Lakini binadam tuliohai tunaamini katika waliohai kuliko wafu ni jambo la kubet hata Uchaguzi ujao si ajabu akapatikana aliebora kuliko Magufuli. Huo ni upotoshaji wa kisiasa.

Magufuli alijarbu kuongoza nchi kwa hisia na mitazamo binafsi kama wewe ulivyo na mahaba binafsi. Pole sana.
Sasa inabidi apatikane wa namna hyo sas inakuwa tabu magu Ni rais Bora Africa nzima

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
HAITA KAA IKATOKEA KUJA KUWEPO KWA RAIS WA MAISHA YA WENGI KAMA JPM.
Kama hilo ndo hitimisho lenu basi pumzikeni, keleleni........., kwa maamuzi ya Muumba, ni wakati wa SSH sasa! Tusiokuwa na hila nae, wivu nae, chuki nae wala visa nae vya kishetani tunamuombea kheri tu katika utawala wake.
 
Miaka 100 mingi, huyu mama akitoka tu, Mungu ni mwema tutampata Magufuli mwingine
 
Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....


Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......

Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......


Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Daah, ndugu yangu toa hiyo video, nisije nikalia aiseee, daaah, but why?!
 
Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....


Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......

Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......


Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Magufuli alikua ni kiongozi makini na mzalendo, lakini shida yake ni moja tu ,zero intolerance policy towards opposition, na watu kupotea ovyo wakati wa utawala wake.

Halafu kama alikua msafi kwa nini alimfukuza kazi CAG kinyume na katiba baada ya kugundua upotevu wa 1.5 trillion shillings
 
Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....


Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......

Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......


Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Una uhakika hauna homa?Muone daktari.Una shida kichwani.
 
Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....


Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......

Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......


Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
JPM THE GREAT
 
Magufuli alikua ni kiongozi makini na mzalendo, lakini shida yake ni moja tu ,zero intolerance policy towards opposition, na watu kupotea ovyo wakati wa utawala wake.

Halafu kama alikua msafi kwa nini alimfukuza kazi CAG kinyume na katiba baada ya kugundua upotevu wa 1.5 trillion shillings
Nenda tu straight kuwa unafikiri JPM alikuwa muuaji na mwizi. Huwezi sema alikuwa makini na mzalendo halafu ukamalizia na maswali uliyouliza. Simba mkimnya Unataka kung'ata bila kuumiza?
 
Back
Top Bottom