Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
If your ex tells you that you will never find someone like her/him.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Sasa inabidi apatikane wa namna hyo sas inakuwa tabu magu Ni rais Bora Africa nzimaHiyo kauli ya 100 years kumpata mtu kama magufuli inatumika na watu wenye mahaba binafsi na wanasiasa tu, Lakini binadam tuliohai tunaamini katika waliohai kuliko wafu ni jambo la kubet hata Uchaguzi ujao si ajabu akapatikana aliebora kuliko Magufuli. Huo ni upotoshaji wa kisiasa.
Magufuli alijarbu kuongoza nchi kwa hisia na mitazamo binafsi kama wewe ulivyo na mahaba binafsi. Pole sana.
Asant Sana mkuu umekuwa was pasipo kupepeza macho magu ndio rais Bora baada ya nyerereKwangu mimi baada ya Nyerere Magufuli was the best president ever, alikuja kuyafanya ambayo watu walihisi hayawezekani. Washenzi pekee ndio wataponda!
Kama hilo ndo hitimisho lenu basi pumzikeni, keleleni........., kwa maamuzi ya Muumba, ni wakati wa SSH sasa! Tusiokuwa na hila nae, wivu nae, chuki nae wala visa nae vya kishetani tunamuombea kheri tu katika utawala wake.HAITA KAA IKATOKEA KUJA KUWEPO KWA RAIS WA MAISHA YA WENGI KAMA JPM.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wengine wanapenda kutukanwa Bure tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwangu mimi baada ya Nyerere Magufuli was the best president ever, alikuja kuyafanya ambayo watu walihisi hayawezekani. Washenzi pekee ndio wataponda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kuua umuhimu wa elimu na kufanya watu kuishi kama mashetani. Uko sahihi.
Daah, ndugu yangu toa hiyo video, nisije nikalia aiseee, daaah, but why?!Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Maisha ya wengi?,kivipi?HAITA KAA IKATOKEA KUJA KUWEPO KWA RAIS WA MAISHA YA WENGI KAMA JPM.
Bingwa wa maigizo
MUNGU alituokoa toka mikono ya Dikteta, mkabila, mdini, msema uongo, aliyetaka kuabudiwa JpmKwa kuua umuhimu wa elimu na kufanya watu kuishi kama mashetani. Uko sahihi.
Magufuli alikua ni kiongozi makini na mzalendo, lakini shida yake ni moja tu ,zero intolerance policy towards opposition, na watu kupotea ovyo wakati wa utawala wake.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Una uhakika hauna homa?Muone daktari.Una shida kichwani.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
JPM THE GREATKuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Mbele yake nyuma yetu...
Nenda tu straight kuwa unafikiri JPM alikuwa muuaji na mwizi. Huwezi sema alikuwa makini na mzalendo halafu ukamalizia na maswali uliyouliza. Simba mkimnya Unataka kung'ata bila kuumiza?Magufuli alikua ni kiongozi makini na mzalendo, lakini shida yake ni moja tu ,zero intolerance policy towards opposition, na watu kupotea ovyo wakati wa utawala wake.
Halafu kama alikua msafi kwa nini alimfukuza kazi CAG kinyume na katiba baada ya kugundua upotevu wa 1.5 trillion shillings