usisahau Muumba, alimuumba shetani pia!Kama hilo ndo hitimisho lenu basi pumzikeni, keleleni........., kwa maamuzi ya Muumba, ni wakati wa SSH sasa! Tusiokuwa na hila nae, wivu nae, chuki nae wala visa nae vya kishetani tunamuombea kheri tu katika utawala wake.
He was useless,nawasikitikia watakaoishi baada ya Hiyo miaka akitokea mwehu Mwingine kuwaongoza.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Malaika karudi kwao. Dunia ya shetani!Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Mkishavimbiwa mayai ya kuchemsha na mahindi sehemu yenu ya kupumulia ni JF.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Yule aliua hao uliowaorodhesha(kama ni kweli..huna ushahidi).whatever your finding, Magufuli was a KILLER, thank God he is gone and gone forever!
Let him remain dead. Tanzania is far better without him.Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.