Itabidi nimwambie tu kakangu ukweli

Itabidi nimwambie tu kakangu ukweli

Habari wakuu,

Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,

Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,

Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,

Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,

Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,

Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimwambie ila tafuta mazingira ya kumfumanisha, ukimwambia hata kusikiliza utaonekana mbaya ww kama una bisha jaribu chezea mapenzi ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea mkuu,huyo shem anaweza kukugeuzia kibao ulikiwa unamtaka..kuwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie huyo hivi sasa hivi nimeshampigia kaka yake nimemwambia mdogo wake ananitaka baada ya kuona simuelewi akataka kunibaka hivi sasa hivi nipo kwa jirani naogopa hata kurudi ndani maana shemeji hana mzaha kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha umbeya huyo kakako dereva hivi unajua madereva wa masafa marefu walivo malaya. Tena huzalilisha kila kituo sasa wewe ingilia uvinje ndoa ya watu. Mwanaume mumbeya hapendezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha umbeya huyo kakako dereva hivi unajua madereva wa masafa marefu walivo malaya. Tena huzalilisha kila kituo sasa wewe ingilia uvinje ndoa ya watu. Mwanaume mumbeya hapendezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ni umbea au anasema ukweli.

Umbeya ni kutoa habari zilizitiwa chumvi ila kama atausema ukweli bila kupindisha hata kidini sna baraka.
 
Mwambie huyo hivi sasa hivi nimeshampigia kaka yake nimemwambia mdogo wake ananitaka baada ya kuona simuelewi akataka kunibaka hivi sasa hivi nipo kwa jirani naogopa hata kurudi ndani maana shemeji hana mzaha kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kijana anachuklia kawaida,na tena hadi bro wake atakuja kumchukia dogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom