Palasitine wameishi hivo miaka tangu mwaka 1948, hiyo ni sehemu ya maisha yao, na Israel hawana amani na utulivi ndo maana wengi wana duo citizenship, hawana wakika wa kuishi IsraelWapalestina waliobaki wanapaswa kutathmini sana kuhusu siasa zao za ndani na aina ya washirika walionao.