ukute hata Kenya hujafika unawazungumzia IsraelAjiandae kwa muonekano huo wa Gaza kama akijitingisha kiuno mbele ya Iran.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukute hata Kenya hujafika unawazungumzia IsraelAjiandae kwa muonekano huo wa Gaza kama akijitingisha kiuno mbele ya Iran.
Hivi pasingekua na mkono wa waarabu hao palestine wangekuwepi hata kwa muda wa mwezi?.. harakati zao zote mfadhili mwarabu, hospital kibao wafadhili nchi za kiarabu na zona majina ya nchi husika,hadi indonesia wamejenga hospital Gaza, ulimsikia mbs akiwashutumu kuwa 'money grabbers'?!Lini waliwahi kujenga? Maana elezea jinsi walivyowahi kuijenga. Asilimia 90 ya maisha ya Gaza yanategemea misaada toka Ulaya na Marekani. Maana siyo kwamba waarabu wenyewe kwa wenyewe wanapendana.
Kuna waarabu wanaiunga mkono Israel wanavyoishambuliwa Hezbollah na Hamas kwa kuwa wao ni wapinzani wa Iran ambao ndiyo wafadhili wakubwa wa Hezbollah na Hamas.
Eeh ulijuaje mkuu mi sijafika hata Uganda achana na Kenyaukute hata Kenya hujafika unawazungumzia Israel
Kwakweli vita ya Gaza inaniumiza sana. Waislaeri wanaua wapalestina kama wanaua nyoka. Mji wote asilimia 80 umebomolewaWatu hapa wanashabikia hii vita kama vitimu vyao vya yanga na simba, haya hawayaoni! Yani maisha ni kwamba yamefutwa Gaza.
Wakimlaumiwa ni Ulaya Magharibi na USA!Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa inahitajika miaka zaidi ya 350 kuyarejesha maisha ya Gaza kuwa kama yalivyokuwa kabla ya baada ya Oktoba 7.
CHANZO: AL JAZEERA TV
.................................Banzi!!!Waliyataka wenyewe. Komando amelala unaenda kumzaba
Hivi pasingekua na mkono wa waarabu hao palestine wangekuwepi hata kwa muda wa mwezi?.. harakati zao zote mfadhili mwarabu, hospital kibao wafadhili nchi za kiarabu na zona majina ya nchi husika,hadi indonesia wamejenga hospital Gaza, ulimsikia mbs akiwashutumu kuwa 'money grabbers'?!
Una matatizo ya akili wewe!lin walizuiliwa kujisimamia walipokwepo Gaza ? waislam wanawaza vita , ndio maana mwaka 1948 walikataa uhuru na wakachagua vita , hata Kesho Palestine ikiundwa itaanza tafuta jiran wa kuzinyuka nae the same to Kuwait vs Iraq , Iraq vs Iran , Syria vs Lebanon , Saudia vs Qatar , Yemen vs Saudia , Gaza vs Israel , Pakistan vs Iran , Iran vs afghanstan
Aisee palikuwa pazur sana
Hata Israel itachuku the same amount au zaidi, usiandikie mate vita bado ni changaUmoja wa Mataifa unakadiria kuwa inahitajika miaka zaidi ya 350 kuyarejesha maisha ya Gaza kuwa kama yalivyokuwa kabla ya baada ya Oktoba 7.
CHANZO: AL JAZEERA TV
Nimenukuu tu taarifa ambayo pia unaweza kuipata hapa.Hata Israel itachuku the same amount au zaidi, usiandikie mate vita bado ni changa
Kimometer za mraba 365? TuSiyo Gaza yote imeshambuliwa maana Gaza yote Ina eneo la kilomita za mraba 365.
Yani Iran aombe poo kwa Israel? Vikundi tu vya panya rodi vimemfanya Netanyahu hadi sasa akiskia kijiko kimeanguka ndani kwake anakimbilia kwenye handakiIran ni bora akaomba po na kuacha kusaidia vikundi vya kipalestina na kutamka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia, pia iran iachane na siasa za kidini iwe kama saudia, qatar na misri itajijengea heshima duniani kuwa ni nchi ya amani. Ibadilike udini ubaki kwa raia wao tu wanaoamini na kuabudu dini hiyo
Ni vyema uelewe na hivyo piaNimenukuu tu taarifa ambayo pia unaweza kuipata hapa.
![]()
It could take 350 years for Gaza to rebuild if it remains under a blockade, UN report says
United Nations agencies have long warned that it could take decades to rebuild Gaza after Israel’s offensive against Hamas.apnews.com
Ndiyo.Kimometer za mraba 365? Tu
Waulize Aljazeera ndiyo waliotoa hiyo taarifa ya UN kwamba Gaza itajengwa kwa miaka 350. Labda useme wewe una taarifa za ndaniiiiiii kuliko Aljazeera.
wapi nimetaja ushoga kwenye post yangu? Inaonekana ndilo unalo liwaza kichwani mwako muda wote mfuasi wa muhammad ; bila shaka mtume wako ni basha punguwani mkubwa.Mimi na wewe shoga sijui nani anachekesha ulivyokuwa punguani hujui lolote unajua vita vya Gaza vimeanza October7 utakuwa upo period wewe unaharisha.
Nimekujibu hivi sababu unatafuta sifa JF kunishambulia karibu sana huu ndiyo utaratibu wangu JF miaka yote.
😂😂
Mimi na wasenge mbali mbali, Kanisani kwenu si mmeruhusiwa kufunga ndoa za mashoga na wewe na Basha wako mmeishafunga Kanisani ameoshakununulia shanga?wapi nimetaja ushoga kwenye post yangu? Inaonekana ndilo unalo liwaza kichwani mwako muda wote mfuasi wa muhammad ; bila shaka mtume wako ni basha punguwani mkubwa.