Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamchapa kipigo cha mbwa kokompaka achakazwe hivyo na iran marekani na washirika wake watakuwa watazamaji tu bila kuingilia kati?
Kwa kweli ni huzuni kubwa Sana.Watu wachache wamuumiza wengi inahuzunisha
Gaza hujengwa na waarabu,hapo taifa la palestina likipatikana tu oatajengwa chapu hadi utatamani kuhamiaKabisa. Yaani vizazi zaidi ya kumi vitapita ili Gaza ilirudi kama ilivyokuwa.
Ni jambo la huzuni sana.
vita haiwezi kuisha mpaka ugaidi utokomezwe na Israel iweke buffer zone kutenganisha Gaza na IsraelMiaka mingi sana hio mzee kweli Ghaza imeharibika sana ila vita ikiisha leo basi miaka hata hamsini haifiki Ghaza inakua mpya shida ni roho za watu zilopotea
Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa inahitajika miaka zaidi ya 350 kuyarejesha maisha ya Gaza kuwa kama yalivyokuwa kabla ya baada ya Oktoba 7.
CHANZO: AL JAZEERA TV
atapewa fatah ya akina abbas wependa amani huko ramallah
Waulize Aljazeera ndiyo waliotoa hiyo taarifa ya UN kwamba Gaza itajengwa kwa miaka 350. Labda useme wewe una taarifa za ndaniiiiiii kuliko Aljazeera.Labda wajenzi kama ni CCM
Una historia ya Gaza kujengwa na waarabu, UNRWA kwa sehemu kubwa inafadhiliwa na Ulaya pamoja na Marekani. Waarabu wana hela, lakini je mahusiano yao na Hamas yakoje?Gaza hujengwa na waarabu,hapo taifa la palestina likipatikana tu oatajengwa chapu hadi utatamani kuhamia
Wazungu waliwaambia waarabu juzi waijenge Gaza,wakasema hawawezi ijenga kisha ibomolewe, meaning walishaijenga na wanasubiri permanent peace waijenge,unrwa siyo pesa za kuijenga Gaza bali misaada mingine,msosi,tiba nkUna historia ya Gaza kujengwa na waarabu, UNRWA kwa sehemu kubwa inafadhiliwa na Ulaya pamoja na Marekani. Waarabu wana hela, lakini je mahusiano yao na Hamas yakoje?
Lini waliwahi kujenga? Maana elezea jinsi walivyowahi kuijenga. Asilimia 90 ya maisha ya Gaza yanategemea misaada toka Ulaya na Marekani. Maana siyo kwamba waarabu wenyewe kwa wenyewe wanapendana.Wazungu waliwaambia waarabu juzi waijenge Gaza,wakasema hawawezi ijenga kisha ibomolewe, meaning walishaijenga na wanasubiri permanent peace waijenge,unrwa siyo pesa za kuijenga Gaza bali misaada mingine,msosi,tiba nk
Msikilize huyu jamaa ana hojaWaliyataka wenyewe. Komando amelala unaenda kumzaba
duo citizenship ni jambo la kawaida dunian kote hata wapalestina wengi au waarab wengi wana duo citizenshipPalasitine wameishi hivo miaka tangu mwaka 1948, hiyo ni sehemu ya maisha yao, na Israel hawana amani na utulivi ndo maana wengi wana duo citizenship, hawana wakika wa kuishi Israel
Hii hoja inafaa hiviWamejitakia wenyewe kuruhusu Magaidi wa Hamas kuwatawala Idiots.
lin walizuiliwa kujisimamia walipokwepo Gaza ? waislam wanawaza vita , ndio maana mwaka 1948 walikataa uhuru na wakachagua vita , hata Kesho Palestine ikiundwa itaanza tafuta jiran wa kuzinyuka nae the same to Kuwait vs Iraq , Iraq vs Iran , Syria vs Lebanon , Saudia vs Qatar , Yemen vs Saudia , Gaza vs Israel , Pakistan vs Iran , Iran vs afghanstanPalestina ikiwa huru miaka 5 tu inajenga Gaza zaidi ya ilivyokuwa