Itachukua muda mrefu sana kupata jiwe hili wajenzi walilolikataa

[emoji106]
 
[emoji106]
 


Kama umeanza kujitambua katika Magufuli’s regime hakika whatever happened utaona ni vya kustaajabisha!

But in life and in every regime, senile occurrences do happen and they are unfortunately crazy and unbelievable!

Namuombea kheri mwandazake! Muumba ampe pumziko na mwanga wa milele! Ameen!
 
Ni ukosefu tubwa akili kuelekeza nguvu zako katika kumtegemea mtu mmoja swala la yeye kuogopeka halina tija..jambo la msingi ni kuweka mifumo imara ya kiutendaji na utekelezaji maana hadi muda huu tunaweza kurudi square one..kwaio alichokifanya kinakia hakina maana...sababu nguvu nyingi alijiwekezea yeye mwenyewe
 
Mimi ni mchaga alitutenga sana lakini bado,shida inakuja nani atakuwa nafuu? Jibu hakuna waliobaki wote ni mzigo tu.

Ukitanguliza mapenzi binafsi huezi kama ana maana kwako ila angalia faida za pamoja ndio utamuona ni mtu tofauti sana.
Faida zipi za pamoja unazozisema wewe.
Alipotufikisha Kuna tofauti gani na Mtu aliye na pesa nyingi lkn za madawa.hali vzr halali vzr .Mzee katuacha watanzania tumetengana kwaajili ya vyama vya siasa ambavyo yeye ndio alikuwa mlezi lkn akaamua kubezi upande mmoja.leo tuna ndugu zetu wengi tu magereza wanaozea huko kwa sbb ya siasa.kuna sbb gani yakumkubali mtt wa kambo alafu umnyanyase si Bora kumkataa.
 
Huenda anayekuja akawa mkal kuliko pilipil.
ukumbuke tayari utendaj role model umeshaonekana,
viongoz wataooteuliwa huenda wakaomgeza kasi kushind ile ya awal.na hio ndio dira na mtaji wa Ccm.
wakipiga kazi 2025 yan kuteleza utakua ushind wa kishindo
 
Ulipata akili lini?
 
Neno lako ni zito mnooo kulibeba yahitaji nguvu ya Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…