tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hiyo sheria itakua kwenye bunge hili la 2020Sasa mkuu hivi ile sheria ya kimakosa ya kimtandao kutumia picha za Mwingine haimo humu JF?!!!
Kwani huyu Mzee anaitwa Mutakyamilwa...na mmoja wa wajukuu zake yumo HUMU...
Mkuu kumbe CHADEMA na ACT hawana wanachama wakila namna eeee?!!!
Huko hakuna mafisadi,watoa roho,wenye vitambi gunia,wanaokula CHOKOSTIKI Kama Mzee wetu mjumbe Mutakyamilwa?!!!
Hawa jamaa akili hawana kabisa,wanawaza kupost upuuzi tu.Sasa mkuu hivi ile sheria ya kimakosa ya kimtandao kutumia picha za Mwingine haimo humu JF?!!!
Kwani huyu Mzee anaitwa Mutakyamilwa...na mmoja wa wajukuu zake yumo HUMU...
Mkuu kumbe CHADEMA na ACT hawana wanachama wakila namna eeee?!!!
Huko hakuna mafisadi,watoa roho,wenye vitambi gunia,wanaokula CHOKOSTIKI Kama Mzee wetu mjumbe Mutakyamilwa?!!!
🤣🤣🤣Hiyo sheria itakua kwenye bunge hili la 2020
Ukweli ambao tundu lisu amekanusha kuwa hajapata nafasi ya kuhutubia bunge la ulaya?Acha ujinga kule watu wana elimu na wanausema ukweli
🤣🤣🤣Habari za Vpn mimi za nini?
Technically speaking kitu unachokitaka kifanywe hakiwezekani unless traffic yote inayokuja ndani ama inayoenda nje izuiwe sio kufunga nusu nusu kwa kuzuia baadhi tu ya mtandao. Kwa taarifa nilizonazo mpaka sasa Tanzania ina milango minne ya kuingiza na kutoa data (internet gatewaya). Dar (TIX), Arusha, Dodoma & Zanzibar, na kila anayetoa huduma ya internet anakuwa amejiunga na Internet exchange point, kwa hiyo hapo ni rahisi kuzuia tu data zinazotoka au kwenda sehemu fulani zisifanye kazi. Mtu akitumia "tunnel" yoyote sio lazima hizi free VPN atapata mtandao wowote uliozuiwa, njia pekee ni kuzima internet kabisa, sio kufungia nusu nusu. Gharama ya kufanya hivyo ni kubwa kuliko manufaa, kama umewahi kufika China ukiweka VPN ama ToR unaweza kufungua Whatsapp, Twitter na mitandao mingine iliyofungiwa sio lazima utumie wechat etc. Na suppliers wengi wa China wapo kwenye hiyo hiyo mitandao iliyozuiwa.Nasema hivi ngoja walifanyie kazi ombi langu tuone kama hizo vpn za bure mtazipata. Hata za kulipia zote zinacollapse.
Owkee mimi Niko hapa sayansi ninakuja hapo Kijiweni makumbusho,nitakukuta?Kuna mdau niko nae karibu tunapata Alkasusu ngoja apitie Cyberimes Act,2015. Atanifafanulia vizuri.
We jamaa wa wapi?unabishana na Rais wa nchi?Kuwa JPM anatumia Twitter sio sababu ya kuruhusu upuuzi ,matusi, na upotoshaji wa watu wanaokaa ughaibuni. Aachane na Twitter kama ni salamu awe au jambo lolote atumie njia za kiofisi, Twitter sio official.
Internet shutdown ya muda kwa usalama wa nchi inatatizo gani? Kutype kunahitaki network? Kwani nondo huwezi kuzipata kwenye kitabu? Acha kujifanya umesoma kumbe huna lolote.Ndio maana kuna watu wengine kabla ya kuchangia hoja zao wanaulizwa alimu waliyonayo!
Ukisema Twitter ifungiwe, kesho pia Facebook, instagram na social platforms zitatumika, na mwisho zoote zitafungiwa! Hadi youtube na google!
Nadhani kunahaja ya kutambua wakati tulionao!
Tunahitaji
1. Inventions
2. Kujifunza vitu vipya kuendana na technologia
3. Kuwa sehemu ya dunia, na si kujitenga
4. Kukubali changamoto zilizoko sasa na kutafuta njia ya kuzitatua
5. Watawala waelewe kizazi cha sasa ni ngumu kukitofautisha na technologia, hapa ntatoa maelezo, leo hii wakifungia social media, watakapo fungua tutaikuta dunia iko wapi? Kiasi kwamba tutaanza kuisha maisha tuliyonayo leo mwaka 2040, na hapo dunia itakuwa imefikia wapi!
Mfano, kipindi wamefungia internet! Watu waliokuwa wana andika thesisi au disertation walipata shida sana! Research inahitaji kusoma mambo mengi sana, na sehemu kubwa ya mambo hayo yanalatikana kupitia internet, sasa jiulize, hawa watu kama ingeendelea hali ya kutokuwa na iñternet ingekuwaje?
Nadhani, sio sahihi kwa mtu wa rika ya miaka 50 kurudi nyuma, kuwa na akili hizi, haijengi!
Sawa mzee, Nondo zinapatikana kwenye kitabu.Internet shutdown ya muda kwa usalama wa nchi inatatizo gani? Kutype kunahitaki network? Kwani nondo huwezi kuzipata kwenye kitabu? Acha kujifanya umesoma kumbe huna lolote.
Japo huyo jamaa GENTAMYCINE kwasasa sikubaliani naye lakini ni mmoja wa watu ambao kiasi flani wanajielewa, alishasema yeye ni kada wa ccm lakini ccm hiyo hiyo ikikosea au Jiwe akikosea huwa anamsema/kumkosoa kwa staha, sasa sijajua kwa nini umemwita hivyo. Angalizo simtetei kwa lolote ila nimesema ukweli japo mimi na yeye tuna itikadi tofautiWe Muheshimiwa ni ngumu sana mtu kukuelewa maana mchana ni mnyama usiku ni ndege...kama umeamua kuwa moto kuwa moto na kama ni baridi kuwa baridi.....Jamii ya watu wa dizaini yako ni yakuogopwa maana mmejaa UNAFIKI.
Utanisamehe kama nimekukwaza.
Mkuu tayari nimeshafunga ukurasa huo, kama ni mwenye kusikia amesikia.Japo huyo jamaa GENTAMYCINE kwasasa sikubaliani naye lakini ni mmoja wa watu ambao kiasi flani wanajielewa, alishasema yeye ni kada wa ccm lakini ccm hiyo hiyo ikikosea au Jiwe akikosea huwa anamsema/kumkosoa kwa staha, sasa sijajua kwa nini umemwita hivyo. Angalizo simtetei kwa lolote ila nimesema ukweli japo mimi na yeye tuna itikadi tofauti