Maswala mengine ni upotevu wa muda tu kuyajadili , kwa mtu anayejielewa anafahamu kabisa nani ni mshindi katika uchaguzi huu,Nawe Una ubongo ?!
Sasa utanifahamu vizuri zaidiNakufahamu vyema mkuu sina haja ya kukufahamu zaidi ya hapa.
Hawezi kushinda hata akatambike. Hiyo ndio silaha yao kutoa matokeo fake na kuweka taharuki kwa raia. (Yote hayo yanafanyika nchi jirani). TCRA wamejipanga na vijana wako macho 24/7. Wengi wanaichukulia poa sana Tanzania, mtaona jinsi watakavyowaaibisha hao makuwadi wa toto tundu na mashoga wake.Ni dhahiri shayiri kuwa uchaguzi huu umekuwa mgumu sana kwa CCM kuliko miaka yote. Mwaka 95 ulikuwa mgumu ila hayati Mwl. Nyerere alikuwepo kuokoa jahazi, na mwaka 2015 ulikuwa mgumu ila Mkapa alikuwepo kuokoa jahazi.
Mwaka huu sijaona wa kuokoa jahazi, hata hao wastaafu waliingizwa kwenye kampeni wamekosa mvuto tofauti na ilivyotarajiwa.
Swali langu ni kuwa: Itakuwaje kama Lissu akashinda kisha akakosa kupata wabunge wa kutosha? Si CCM wataamua kumkwamisha?
Hehe sina haja hiyo mkuu, huna madhara yoyote.Sasa utanifahamu vizuri zaidi
UmejuaJe mshindi kwa kiti kinachogombaniwa bado ?!Maswala mengine ni upotevu wa muda tu kuyajadili , kwa mtu anayejielewa anafahamu kabisa nani ni mshindi katika uchaguzi huu,
Ni utoto tu kukaa kujadili mambo ya kufikirika kama hili la mleta mada.
Sawasawa.Hehe sina haja hiyo mkuu, huna madhara yoyote.
Wino mwekundu ishara ya msisitizo au?Hawezi kushinda hata akatambike. Hiyo ndio silaha yao kutoa matokeo fake na kuweka taharuki kwa raia. (Yote hayo yanafanyika nchi jirani). TCRA wamejipanga na vijana wako macho 24/7. Wengi wanaichukulia poa sana Tanzania, mtaona jinsi watakavyowaaibisha hao makuwadi wa toto tundu na mashoga wake.
IQ za wabongo shida kwamba namba ya majimbo ndio ina determine ushindi wa Rais?Kama unaamini Wabunge was CDM hawatashinda, kwa angalau 70% huo ni ushahidi kuwa Lissu naye atashindwa.
Watanzania wenye uwezo was Kumchagua Mbunge was CCM na Wakamchagua Lissu ni wachache japo 2015 Mimi nilifanya hivo. Nilimchagua Mama Anna Mgwilla na Halima Mdee. Lakini ninachojua asilimia 99% ya Watanzania wanapenda kupiga hatrick.
Acha uongo Mkapa alipata ngapi mwaka 2000? Je alishuka au asilimia zilipanda? Shida watoto mmejazana humu hamjui hata historia.Kwa mara ya kwanza tangu tupate mfumo wa vyama vingi CCM umepata mgombea wa Upinzani dhaifu Sana. Asilimia zaidi ya 90 zinakwenda kwa JPM. Amini. Nimeshiriki chaguzi kubwa mbili 2015 na wa 2000. Sijawahibkuona wananchi wakiwa na mapenzi kwa Raisi alikwisha hudumu miaka mitano kama wananchi walivyompenda Magufuli mwaka huu.
Kama wote mnavyo fahamu maranyingi Raisi hupataga wakati mgumu wa kuomba kura katika awamu ya pili ya uongozi nyakati zote. Na tumeshuhudia idadi ya asilimia za kura za Uraisi upungua katika muhura wa pili wa uchaguzi. This time around Magufuli his going to make big surprise. Mala ya kwanza alishinda kwa asilimia 51% 28/10/2020 anakwenda kupokea kura za shukrani zaidi ya 90% ya kura zote.
Tuwapigie wabunge wake kura za kishindo,hats wasiweze kutimiza azma yao mbaya.Ni dhahiri shayiri kuwa uchaguzi huu umekuwa mgumu sana kwa CCM kuliko miaka yote. Mwaka 95 ulikuwa mgumu ila hayati Mwl. Nyerere alikuwepo kuokoa jahazi, na mwaka 2015 ulikuwa mgumu ila Mkapa alikuwepo kuokoa jahazi.
Mwaka huu sijaona wa kuokoa jahazi, hata hao wastaafu waliingizwa kwenye kampeni wamekosa mvuto tofauti na ilivyotarajiwa.
Swali langu ni kuwa: Itakuwaje kama Lissu akashinda kisha akakosa kupata wabunge wa kutosha? Si CCM wataamua kumkwamisha?
Sasa kama unayomatokeo hayo nenda ushirikiane na natume mtutangazie ulikuwa unauliza nini wakati matokeo unayo usiwe kama shehe wa dar kumbe hakuchaguliwa alijichaguwa nawewe umepika matokeoHawezi kuuliza kama Magu atashinda kutatokea nini? Ushindi wa ubunge kwa CCM ni 100%. CCM watapata at least 60% ya viti vya ubunge. Uraisi huenda Lissu akapata kati ya 20%-35% (p = 0.05).
Umekosea kuniqoute au?Kura za maoni za CCM zinakuhusu nini kama wewe siyo CCM. Au hujui mipaka. Sawa kusema tutaangalia upya kama kuna wabunge wa CCM wameiba kura, lakini kupitishwa kugombea siyo kazi ya upinzani.
Tujadili nini wakati inafahamika haiwezekani hata kwa bahati mbaya kushinda.Ni dhahiri shayiri kuwa uchaguzi huu umekuwa mgumu sana kwa CCM kuliko miaka yote. Mwaka 95 ulikuwa mgumu ila hayati Mwl. Nyerere alikuwepo kuokoa jahazi, na mwaka 2015 ulikuwa mgumu ila Mkapa alikuwepo kuokoa jahazi.
Mwaka huu sijaona wa kuokoa jahazi, hata hao wastaafu waliingizwa kwenye kampeni wamekosa mvuto tofauti na ilivyotarajiwa.
Swali langu ni kuwa: Itakuwaje kama Lissu akashinda kisha akakosa kupata wabunge wa kutosha? Si CCM wataamua kumkwamisha?
Hiyo ndiyo sifa kuu ya Mwana CCM Mpya. So usimshangae huyo jamaa. Nadhani wengi wao ni Saa Mbovu. Wewe fwatilia utawajua Tu Kwa majibu Yao.Kwanini usijibu ulichoulizwa?
Saa MbovuUnawaza na matako bro..
An idle mind is the devil's workshop...Ni dhahiri shayiri kuwa uchaguzi huu umekuwa mgumu sana kwa CCM kuliko miaka yote. Mwaka 95 ulikuwa mgumu ila hayati Mwl. Nyerere alikuwepo kuokoa jahazi, na mwaka 2015 ulikuwa mgumu ila Mkapa alikuwepo kuokoa jahazi.
Mwaka huu sijaona wa kuokoa jahazi, hata hao wastaafu waliingizwa kwenye kampeni wamekosa mvuto tofauti na ilivyotarajiwa.
Swali langu ni kuwa: Itakuwaje kama Lissu akashinda kisha akakosa kupata wabunge wa kutosha? Si CCM wataamua kumkwamisha?
Saa MbovuNi rahisi zaidi kuendesha gari lisilo na Mataili kuliko Mbelgiji kushinda