Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Ujerumani hawahesabu watu waliokufa wakiwa na magonjwa mengine pamoja na korona.
Duh!!! Ndo maana nimejiuliza mbona idadi ya wagonjwa ujerumani ni wengi lakini vifo si sana..kumbe ndo wanafanya hivyo!!!
 
Iran hawajapunguza kasi ya maambukizi mpaka sasa
 
Kosa lao ni kukubali 5g ya China ije ifungwe kwao na ndo hapo USA alikasirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNAUKUMBUKA MGOGORO WA HUAWEI YA CHINA NA MAREKANI?
China na Huwaei yake alipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed....na kumbuka china ndo nchi pekee ilotengeneza 5g kwa sasa na ni teknolojia kubwa ya mawasiliano yenye kasi isiyo ya kawaida kitu ambacho kilimshtua mmarekani kwamba adui yake China ameweza vipi kuwa na uwezo wa kutengeneza 5g wakati yeye bado hajaweza?.halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G ya china katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.

Dunia ina mengi hii sababu ya italy kupigwa korona na mmarekani ni kwasababu walikubali China kunstall 5g network ulaya kitu ambacho marekani aliona kama chukizo kwake kwamba China anampiku na kumshinda na naanza kumsogelea polepole

#we must think out of box

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So USA ndo kafanya Italy wawe kwenye hali ile? Hebu funguka zaidi mkuu
UNAUKUMBUKA MGOGORO WA HUAWEI YA CHINA NA MAREKANI?
China na Huwaei yake alipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed....na kumbuka china ndo nchi pekee ilotengeneza 5g kwa sasa na ni teknolojia kubwa ya mawasiliano yenye kasi isiyo ya kawaida kitu ambacho kilimshtua mmarekani kwamba adui yake China ameweza vipi kuwa na uwezo wa kutengeneza 5g wakati yeye bado hajaweza?.halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G ya china katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.

Dunia ina mengi hii sababu ya italy kupigwa korona na mmarekani ni kwasababu walikubali China kunstall 5g network ulaya kitu ambacho marekani aliona kama chukizo kwake kwamba China anampiku na kumshinda na naanza kumsogelea polepole

#we must think out of box

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni takwimu za leo
 

Attachments

  • Screenshot_2020-03-20-14-06-48-389_com.android.chrome.jpg
    60.6 KB · Views: 1
Ni kampuni gani ya Marekani ambayo ni mshindani wa Huawei katika kutengeneza vifaa vya mawasiliano
 
Sawa shukrani mkuu... Lakini hili dude ni burden pia kwa US... Nimeona jana California wamefanya maamuzi magumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…