Itashangaza Dunia kama Waziri wa Afya na Naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri

Itashangaza Dunia kama Waziri wa Afya na Naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri

Hivi we dogo una general knoweledge ya kubishana na mimi juu ya suala lolote? Au unatafuta umaarufu?
Ngoja nikukumbushe ulivyo mtupu sana kichwani, kama na wewe unajihesabu kuwa na ufahamu juu ya swala lolote.

Chukua mfano wa mada hii, ambayo kichwa chake cha habari ni cha kipuuzi kabisa:
"Itashangaa dunia kama waziri wa afya na naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri."

Huu mfano tu unaonyesha jinsi gani elimu yako ilivyo ya chini.

Kukukumbusha msukumo unaokusumbua na kuleta mada za kipuuzi kama hizi - wizara hiyo inaye pia Katibu Mkuu , tena ambayeangestahiri zaidi umshikie bango atimuliwe kazi, lakini kwa sababu ni mmoja wenu husemi lolote juu yake.

Kukuonyesha ulivyo mjinga zaidi, unaandika "hawatafukuzwa kazi"! Halafu kwenye mada unabwabwaja kivyako na kusahau ulitaka kuandika nini! Unakwepa kuelekeza lawama inakostahiri kwa upofu unaokuzima akili.

Nadhani inatosha kuhangaika na kupoteza muda na mtu kama wewe.

Ila najua bila ya shaka yoyote kwamba sasa unanielewa barabara. Iliyobaki ni ubishi wa kipuuzi tu. Una akili ya kutosha ya kutosahau niliyokufundisha humu JF.
 
Eeenh, ninakukandamiza sana!

Badala ya kujiona unakandamizwa, chukua fursa kujifunza na achana kabisa na ulaghai.

Huwa sina simile na wanafiki hata kidogo.
Ahaaa. Ulaghai? We dogo nafikiri una msongo wa mawazo.
 
Ngoja nikukumbushe ulivyo mtupu sana kichwani, kama na wewe unajihesabu kuwa na ufahamu juu ya swala lolote.

Chukua mfano wa mada hii, ambayo kichwa chake cha habari ni cha kipuuzi kabisa:
"Itashangaa dunia kama waziri wa afya na naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri."

Huu mfano tu unaonyesha jinsi gani elimu yako ilivyo ya chini.

Kukukumbusha msukumo unaokusumbua na kuleta mada za kipuuzi kama hizi - wizara hiyo inaye pia Katibu Mkuu , tena ambayeangestahiri zaidi umshikie bango atimuliwe kazi, lakini kwa sababu ni mmoja wenu husemi lolote juu yake.

Kukuonyesha ulivyo mjinga zaidi, unaandika "hawatafukuzwa kazi"! Halafu kwenye mada unabwabwaja kivyako na kusahau ulitaka kuandika nini! Unakwepa kuelekeza lawama inakostahiri kwa upofu unaokuzima akili.

Nadhani inatosha kuhangaika na kupoteza muda na mtu kama wewe.

Ila najua bila ya shaka yoyote kwamba sasa unanielewa barabara. Iliyobaki ni ubishi wa kipuuzi tu. Una akili ya kutosha ya kutosahau niliyokufundisha humu JF.
Kosa ni elimu yako kuwa ni very poor kiasi cha kushindwa kuwa muelewa. Sorry elimu poor na Iq yako ni very poor. Naishia hapo. Maana nitarudia kukuambia kuwa Waziri na naibu waziri wanadhamana kubwa ya afya ya watanzania hawakupaswa kama watalaamu wa afya kukaa hadharani kusisitiza kujifukiza wakati maambukizi yanakuwa ndani ya mapafu. Naishia hapo
 
Wote bado wanakata kamba tu; watumia chanjo, nyungu na wasiotumia kitu.

Sahizi the best defense ni kuchukua tahadhari tu ila zingine zote bado ni bahati nasibu.
Mkuu Bufa,
Ngoja nikukumbushe mjadala wetu, wewe na mimi hivi karibuni juu ya suala hili hili la COVID-19, na jinsi tulivyoumaliza mjadala ule.

Kuhusu hili la nyungu na chanjo, unaanzisha yaleyale tuliyoyamaliza kule.

"Wote bado wanakata kamba tu; watumia chanjo, nyungu na wasiotumia kitu" - 'Statement' ya kiujumla namna hii kwa hakika inatumiwa na mtu asiyekuwa na ufahamu wowote juu ya maswala haya ya magonjwa na watu kukatika.
Nilipoomba takwimu, si angalau ungejitahidi kuonyesha mlinganisho kati ya watu wanaokatika katika makundi hayo? Hizo takwimu pengine zingeonyesha watu wachache zaidi kwenye nyungu wanakatika, kuliko wale wanaotumia chanjo. Huo, si angalau ungeonyesha ushahidi wa kuanzia mlinganisho?

Wewe unahitimisha tu:"wote bado wanakatika..."!
 
Waziri na naibu waziri wanadhamana kubwa ya afya ya watanzania hawakupaswa kama watalaamu wa afya kukaa hadharani kusisitiza kujifukiza wakati maambukizi yanakuwa ndani ya mapafu.
Halafu kwenye kichwa chako cha mada unaandika: "Itashangaza dunia kama waziri wa afya na naibu wake hawatafukuzwa kazi..."!

Bado huoni ukilaza wako; sasa nikuite mpumbavu? Kwa sababu nilikuwa bado nakusitiri kufikia hatua ya kukuita hivyo!
Ahaaa. Ulaghai? We dogo nafikiri una msongo wa mawazo.
Sasa niseme tu kwamba nimetambua pasipo shaka mapungufu uliyonayo:
1. Msukumo wako wa kupofushwa na kuzimwa akili na kuamua kutetea mtu/jambo kwa sabau ya uhusiano/ueneo mnaoshirikiana kati yenu. Hii ni sumu inayokuumiza roho.

2. Sikujua kuwa kumbe hata elimu yako nayo inachangamoto kubwa.

Basi; na tuyaachie haya hapo tulipoyafikisha, kwa sababu hakuna laziada linaloweza kubadili kitu kati yetu.
 
Halafu kwenye kichwa chako cha mada unaandika: "Itashangaza dunia kama waziri wa afya na naibu wake hawatafukuzwa kazi..."!

Bado huoni ukilaza wako; sasa nikuite mpumbavu? Kwa sababu nilikuwa bado nakusitiri kufikia hatua ya kukuita hivyo!

Sasa niseme tu kwamba nimetambua pasipo shaka mapungufu uliyonayo:
1. Msukumo wako wa kupofushwa na kuzimwa akili na kuamua kutetea mtu/jambo kwa sabau ya uhusiano/ueneo mnaoshirikiana kati yenu. Hii ni sumu inayokuumiza roho.

2. Sikujua kuwa kumbe hata elimu yako nayo inachangamoto kubwa.

Basi; na tuyaachie haya hapo tulipoyafikisha, kwa sababu hakuna laziada linaloweza kubadili kitu kati yetu.
Ahaa, tatizo liko wapi? Low iq ndio inakusumbua.

Ulimwengu kushangazwa ni jambo hulielewi? Jaribu kupima kwanza Iq yako ni ngapi? Kabla ya kuja kujadiliana na wenye Iq kubwa.
 
Ahaa, tatizo liko wapi? Low iq ndio inakusumbua.

Ulimwengu kushangazwa ni jambo hulielewi? Jaribu kupima kwanza Iq yako ni ngapi? Kabla ya kuja kujadiliana na wenye Iq kubwa.
Nimekwishahitimisha nawe.

Sina la ziada ninaloweza kuongeza zaidi ya hayo niliyokueleza.

Sasa hangaika mwenyewe unavyotaka.
 
Nimekwishahitimisha nawe.

Sina la ziada ninaloweza kuongeza zaidi ya hayo niliyokueleza.

Sasa hangaika mwenyewe unavyotaka.
Umehitimisha nini? Una nini cha kunieleza? Kunifundisha? Kuchangia na mimi?
 
Dunia ilishaga shangaa zamani
Wana Jf kwa jinsi tulivyo katika kipindi kigumu ambacho kimezua hofu kwa kila mtu ni wazi kuwa Waziri wa afya na naibu wake hawastahili kuwepo kwenye hii nafasi mpaka sasa.

Mwaka jana bila kupepesa macho Dk Faustine Ndugulile alieleza ukweli umma wa Watanzania kuwa kujifukisha hakuwezi kuua wadudu wa Covid 19, hii ni sababu hawa virus wakiingia kwa binadamu huingia moja kwa moja kwenye mfumo wa kupumua( mapafu) hivyo hata ukijifukiza ni ngumu kuwaua huko ndani ya mapafu.

Mwaka huu baada ya dalili kuwa hili janga limerudi Tanzania kwa namna nyingine,maana inadaiwa sasa hivi kirusi cha korona kimejibadili. Tumeshuhudia madaktari wawili ambao wanasimamia wizara ya afya wakisisitiza watu kujifukiza. Je hawa watu kwa nini hawakutoa ushauri wa kitaalamu unaozingatia taaluma yao kama Faustine Ndugulile?

Leo hii toka watoe demostrantion namna ya kujifukiza hali inaonekana kuwa mbaya. Maana vifo vya vigogo mpaka makabwela vinazidi kupamba moto. Na tatizo ni hilo la kukosa uwezo wa kupumua.

Karne ya ishirini na moja kuongozwa na wasomi ambao hawezi kusimamia taaluma yao na kumshauri rais namna ya kukabiliana na magonjwa kisayansi ni aibu kubwa. Mawaziri hawa wawili wasisubiri vifo vya watanzania iwe sababu ya wao kujiuzulu.
Au nasema uongo ndugu zangu
 
Wana Jf kwa jinsi tulivyo katika kipindi kigumu ambacho kimezua hofu kwa kila mtu ni wazi kuwa Waziri wa afya na naibu wake hawastahili kuwepo kwenye hii nafasi mpaka sasa.

Mwaka jana bila kupepesa macho Dk Faustine Ndugulile alieleza ukweli umma wa Watanzania kuwa kujifukisha hakuwezi kuua wadudu wa Covid 19, hii ni sababu hawa virus wakiingia kwa binadamu huingia moja kwa moja kwenye mfumo wa kupumua( mapafu) hivyo hata ukijifukiza ni ngumu kuwaua huko ndani ya mapafu.

Mwaka huu baada ya dalili kuwa hili janga limerudi Tanzania kwa namna nyingine,maana inadaiwa sasa hivi kirusi cha korona kimejibadili. Tumeshuhudia madaktari wawili ambao wanasimamia wizara ya afya wakisisitiza watu kujifukiza. Je hawa watu kwa nini hawakutoa ushauri wa kitaalamu unaozingatia taaluma yao kama Faustine Ndugulile?

Leo hii toka watoe demostrantion namna ya kujifukiza hali inaonekana kuwa mbaya. Maana vifo vya vigogo mpaka makabwela vinazidi kupamba moto. Na tatizo ni hilo la kukosa uwezo wa kupumua.

Karne ya ishirini na moja kuongozwa na wasomi ambao hawezi kusimamia taaluma yao na kumshauri rais namna ya kukabiliana na magonjwa kisayansi ni aibu kubwa. Mawaziri hawa wawili wasisubiri vifo vya watanzania iwe sababu ya wao kujiuzulu.
ngoja tusubili huyu madam wetu kama naye tutamuita THE IRON LADY
 
Hiyo picha na maelezo ni vitu tofauti kabisa. Ni upotoshaji wa mitandaoni.
Huyo anayeonekana kwenye picha kushoto sio Dr. Gwajima bali ni mtoto wa Nyerere (Rose Nyerere) ambaye aliwahi kuwa kada mwandamizi wa CCM na mbunge wa viti maalum wa CCM kipindi cha Mkapa.

Kuweka kumbukumbu sawa tu, Dr.Dorothy Gwajima hakuwahi kuwa kada mwandamizi wa CCM hapo kabla ya kuteuliwa ubunge wa Viti maalum vya Rais miezi minne iliyopita.
 
Hiyo picha na maelezo ni vitu tofauti kabisa. Ni upotoshaji wa mitandaoni.
Huyo anayeonekana kwenye picha kushoto sio Dr. Gwajima bali ni mtoto wa Nyerere (Rose Nyerere) ambaye aliwahi kuwa kada mwandamizi wa CCM na mbunge wa viti maalum wa CCM kipindi cha Mkapa.

Kuweka kumbukumbu sawa tu, Dr.Dorothy Gwajima hakuwahi kuwa kada mwandamizi wa CCM hapo kabla ya kuteuliwa ubunge wa Viti maalum vya Rais miezi minne iliyopita.
Asante kwa hilo Zanzibar-ASP
 
Wana Jf kwa jinsi tulivyo katika kipindi kigumu ambacho kimezua hofu kwa kila mtu ni wazi kuwa Waziri wa afya na naibu wake hawastahili kuwepo kwenye hii nafasi mpaka sasa.

Mwaka jana bila kupepesa macho Dk Faustine Ndugulile alieleza ukweli umma wa Watanzania kuwa kujifukisha hakuwezi kuua wadudu wa Covid 19, hii ni sababu hawa virus wakiingia kwa binadamu huingia moja kwa moja kwenye mfumo wa kupumua( mapafu) hivyo hata ukijifukiza ni ngumu kuwaua huko ndani ya mapafu.

Mwaka huu baada ya dalili kuwa hili janga limerudi Tanzania kwa namna nyingine,maana inadaiwa sasa hivi kirusi cha korona kimejibadili. Tumeshuhudia madaktari wawili ambao wanasimamia wizara ya afya wakisisitiza watu kujifukiza. Je hawa watu kwa nini hawakutoa ushauri wa kitaalamu unaozingatia taaluma yao kama Faustine Ndugulile?

Leo hii toka watoe demostrantion namna ya kujifukiza hali inaonekana kuwa mbaya. Maana vifo vya vigogo mpaka makabwela vinazidi kupamba moto. Na tatizo ni hilo la kukosa uwezo wa kupumua.

Karne ya ishirini na moja kuongozwa na wasomi ambao hawezi kusimamia taaluma yao na kumshauri rais namna ya kukabiliana na magonjwa kisayansi ni aibu kubwa. Mawaziri hawa wawili wasisubiri vifo vya watanzania iwe sababu ya wao kujiuzulu.

Bwana Chagu siku hizi una point sana. Chama nini bwana? Mambo yote hoja! Kwa mwendelezo huu tutafika tu.

Cc: mjingamimi
 
Mollel ni Dentist, hawezi kujua masuala ya pneumonia. Mwenzake ni MD Russia, hana shule. Sijui wanaosoma Udaktari Urusi huwa wanasoma vitu gani.
Basi nasikia mitihani ya udaktari ,vyuo vingi Russia kama vile Patrice Lumumba University na vingine maswali yao mengi huwa ni ya 'multiple choice'... labda ndo product zake.
 
Back
Top Bottom