Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ummy ahusikiUmmy Mwalimu unahitajika huku
Kwa nini wasimshauri kitalaam? Maana ni madaktari.Mkuu hawataachia ngazi maana wanatekeleza maagizo toka juu
Kumbe wakiahirisha bunge ndio wanajiona wameikimbia Corona, kwani maalim Seif alikuwa mbunge?Only kama wangekua wamepita kihalali wangekua na confidance za kufanya hvyo.. washawekwa wanawaza matumbo yao... imewachapa kidogo tu na bunge wanaakhirisha.... mama Anna nae chenga tu eti misiba ipo mingi lkn haitoki hapa inatoka kwingine... yaaani wanatufanya sisi kama hata hatujafika stndard I... yaani akili zao sijui wamezifungia wapi... [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Mkuu chagu wa malunde akili yako imepevuka kuliko johnthebaptist ama kweli dunia inakwenda kasi.Kwa nini wasimshauri kitalaam? Maana ni madaktari.
Jikite kwenye mada.Mkuu akili yako imepevuka kuliko johnthebaptist ama kweli dunia inakwenda kasi.
Mtawaonea bure tu. Tatizo ni Magufuli. Magufuli ndo waziri wa wizara zote. Ukitaka results tofauti deal naye.hivi nyungu inasaidia? kama haisaidii waziri wa Afya na wizara yake wawe held accountable for misleading the nation, then waweke proper guidelines za kufuata kama nchi nyingine...
Niliwahi kusema, nyungu ni upumbavu. Ukitaka kumwahisha mgonjwa wako kaburini, piga nyungu.hivi nyungu inasaidia? kama haisaidii waziri wa Afya na wizara yake wawe held accountable for misleading the nation, then waweke proper guidelines za kufuata kama nchi nyingine...
Nenda ambacho hali si mbaya.Tuachane nao kivipi? Hali ni mbaya sana.
Watoto ni carriersAfunge mashule wiki sita au zaidi maambukizi yatapungua.
Avae barakoa watu watavaa.
Tutamkumbuka huyu dadaUmmy Mwalimu unahitajika huku