Itashangaza Dunia kama Waziri wa Afya na Naibu wake hawatafukuzwa kazi ya uwaziri

Kumbe wakiahirisha bunge ndio wanajiona wameikimbia Corona, kwani maalim Seif alikuwa mbunge?
 
Nawashangaa sana nyie watu mliokuwa mna-support nyungu season 3 sasa mmeanza kurudiwa na akili baada ya kuona Corona ni zaidi ya kutafuta kick za kisiasa, mkawa mnamuona Mbowe adui kwa kuwataka mchukue tahadhari za kisayansi, leo nawe unalialia.

Now unataka waziri awe held accountable, mimi naona hata wewe pia unatakiwa kuwa held the same kwasababu ulichangia kufundisha watu ujinga, na kuzuia juhudi za kupambana na Corona mpaka sasa inadondosha watu bila breki.
 
hivi nyungu inasaidia? kama haisaidii waziri wa Afya na wizara yake wawe held accountable for misleading the nation, then waweke proper guidelines za kufuata kama nchi nyingine...
Mtawaonea bure tu. Tatizo ni Magufuli. Magufuli ndo waziri wa wizara zote. Ukitaka results tofauti deal naye.
 
Uzuri wa ugonjwa huu hauchagui, hauangalii cheo cha mtu, wala nafasi yake katika jamii. Tukipuuza kila kitu tutadonka mmoja baada ya mwingine!. Ajitokeze mbunge mmoja apeleke hoja binafsi bungeni kuhusu janga la Korona ili hatua stahiki zichukuliwe kunusuru maisha ya watu!
 
hivi nyungu inasaidia? kama haisaidii waziri wa Afya na wizara yake wawe held accountable for misleading the nation, then waweke proper guidelines za kufuata kama nchi nyingine...
Niliwahi kusema, nyungu ni upumbavu. Ukitaka kumwahisha mgonjwa wako kaburini, piga nyungu.

Kuna watu ni wapumbavu by nature hata uwapeleke wapi. Yule mama Geajima ni mpumbavu, elimu haijamsaidia chochote, ni kama ana level fulani ya ukichaa.
 
Tatizo ni Raisi sio waziri! Atusitafute wachawi. Nani alisema watu waache kuvaa barakoa na kunawa! Nani aliaibisha watu waliovaa barakoa sasa katibu mkuu kafariki, seif naye aliondoka na corona kwa Magu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…