Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mataga wameanza kulia-lia baada ya sindano kuwaingia kweri-kweri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kukosa akili tu. Kwani hata kama misiba ya Moshi mingi inatokea Dar es Salaam huko nako si Tanzania? Haimshtui kuwepo misiba mingi Dar au mpaka iwe ya Kilimanjaro tu ndo ataona ni tatizo?Only kama wangekua wamepita kihalali wangekua na confidance za kufanya hvyo.. washawekwa wanawaza matumbo yao... imewachapa kidogo tu na bunge wanaakhirisha.... mama Anna nae chenga tu eti misiba ipo mingi lkn haitoki hapa inatoka kwingine... yaaani wanatufanya sisi kama hata hatujafika stndard I... yaani akili zao sijui wamezifungia wapi... [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Punguani usie na akili, avatar na na id name yako ni jibu tosha.Wanataka watanzania wafe kwa wingi ili WHO iwapatie pesa nyingi wapate kuzitumia kujenga SGR ambayo ujenzi wake unasuasua kutokana na ukata
Tumia akili kiduchu sometimes,sio kila mada unaleta uchadema wako.Mataga wameanza kulia-lia baada ya sindano kuwaingia kweri-kweri.
Soma id yake utapata majibu labda hhhhhhCovid 19 ni sawa na magonjwa mengine?
Uongo ndugu zangu?Mataga wameanza kulia-lia baada ya sindano kuwaingia kweri-kweri.
tulipokua tunakemea haya mambo ya kienyeji yanayofanywa na serikali katili ya CCM nyie mataga mlikua mnakenua kama father Christmas,Tumia akili kiduchu sometimes,sio kila mada unaleta uchadema wako.
Kudadadeeki sasa hivi mataga mnakimbizana,hata uende kwenu koromitje itakufuataTumia akili kiduchu sometimes,sio kila mada unaleta uchadema wako.
Sahihitulipokua tunakemea haya mambo ya kienyeji yanayofanywa na serikali katili ya CCM nyie mataga mlikua mnakenua kama father Christmas,
sasa leo mmepoteza wapendwa wenu kwa Covid-21 ndiyo akili zimekurudi.
Kuna wakati walisema Kaguta Museveni alikuwa na washauri zaidi ya mia,lakini badala ya wao kumshauri yeye ndiye alikuwa anawashauri.Tusitegemee ushauri kutoka kwa Waziri na Naibu Waziri wa Afya kwenda kwa mkubwa wao.
Tusitegemee ushauri, mkakati na ujasiri wa kumshauri mkubwa.
Muda mwingi walikuwa wanazunguka kutafuta kiki kupitia vyombo vya habari.
Kwa nn nijiweke lock?bila shaka umejiweka lockdown mpaka mda huu
Kwa akili yako wewe unajiona upo salama?Kudadadeeki sasa hivi mataga mnakimbizana,hata uende kwenu koromitje itakufuata
Mimi siwezi kuwa salama kwa kuwa ni kiumbe dhaifu tu mbele ya Mungu.Kwa akili yako wewe unajiona upo salama?
Siyo wehu kwa sababu mwehu hajitambui na hajui nini kinaendelea. Tunaonekana wajinga na majuha fulani hivi.Watanzania tunaonekana wehu kimataifa kwa ajili ya mtu mmoja
Kwa nn nijiweke lock?
Huna akili ya kukuwezesha kuniuliza swali