Unacho takiwa kuomba Dollar ianguke kifo cha mende kama trend inavyo kwenda kwahiyo itakuwa nafuu kwetu titaweza kulipa bila kuumia sana.Hivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Sukuma gang wauzwe kulipia deni, maana hawana faida zaidi ya kututia hasaraDaa uskute kuna kabila limewekwa lehani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah bongo banaSukuma gang wauzwe kulipia deni, maana hawana faida zaidi ya kututia hasara
Kwani tushafika 100?Sijaelewa kuhusu Dkt. Mwigulu kukopa Trilioni 5 ili kulipia Hati Fungani za serikali zilizoiva
Enyi Watu wa Finance niwaombe mje mnielimishe kidogo kulingana na kichwa cha thread hapo juu. Akunyang'aye kanzu mwachie na Joho!www.jamiiforums.com
Ndugu yangu, kukopa pesa kwa riba ili ulipe mkopo mwingine tena wenye riba, utajikuta deni linakuwa na huna unalofanya, tufanye maamuzi magumu tu..., kama ni kuuzwa waje watupige mnada tu, lakini hakuna tena kulipa
Hujaona mijengo inavyomea kama uyoga nowdays? Filling station?Mama anatupeleka wapi?? Maana hizi hela anazokopa hazionekani zinakokwenda.
Mwigulu Nchemba ameshawaambia mambo ya uchumi muachieni yeye, na nyie mjikite kujadili mambo ya waganga wa kienyeji
Unacho takiwa kuomba Dollar ianguke kifo cha mende kama trend inavyo kwenda kwahiyo itakuwa nafuu kwetu titaweza kulipa bila kuumia sana.
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Wakurya?Daa uskute kuna kabila limewekwa lehani.
Why Wakurya?Wakurya?
KIjana umesahau mabeberu hayaoi jinsia tofauti.Nasemaje, kama ni kuolewa tutawagawa dada zetu wakaolewe huko, potelea mbali, ila hili deni limeshakuwa toxic, hakuna tena kulipa!
Mkulima mmoja aliyekuwa anadai serikali vibilioni vichache tu alizuia ndege zetu Afrika Kusini….umeshapata picha?Hivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Umezoea uhuni huu kitaani pako sio kwenye jumuiya ya kimataifa.Sijaelewa kuhusu Dkt. Mwigulu kukopa Trilioni 5 ili kulipia Hati Fungani za serikali zilizoiva
Enyi Watu wa Finance niwaombe mje mnielimishe kidogo kulingana na kichwa cha thread hapo juu. Akunyang'aye kanzu mwachie na Joho!www.jamiiforums.com
Ndugu yangu, kukopa pesa kwa riba ili ulipe mkopo mwingine tena wenye riba, utajikuta deni linakuwa na huna unalofanya, tufanye maamuzi magumu tu..., kama ni kuuzwa waje watupige mnada tu, lakini hakuna tena kulipa
Sasa tukishakaidi kulipa ndege si tunapeleka nchi rafiki pekeeMkulima mmoja aliyekuwa anadai serikali vibilioni vichache tu alizuia ndege zetu Afrika Kusini….umeshapata picha?
Ushoga unakuwa habar ya town ila hatufanyiUlishawai ona tembo, Simba na twiga wakipanda ndege ww? Lazima hao wanyama tuliwaweka rehani au tunaweza ambiwa ushoga uwe ndo habari ya town
Na vivutio tutaenda wenyeweNasemaje, kama Simba na Tembo watapandishwa ndege potelea mbali, wacha waende wote, watazaliana wengine, ila hakuna tena kulipa hili deni, limeshakuwa toxic, riba inazidi deni halisi sasa...
Ndio, utalii wa ndani.., liwalo na liwe..Na vivutio tutaenda wenyewe