Unacho takiwa kuomba Dollar ianguke kifo cha mende kama trend inavyo kwenda kwahiyo itakuwa nafuu kwetu titaweza kulipa bila kuumia sana.Hivi ikatokea tukaamua tu tuwaingize mjini haya mabeberu yanatukopesha mamikopo kwa fujo kama ugomvi na tusiwalipe tu, watatufanya nini kwani? Ukiacha kukamata ndege, watafanya nini?
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app