Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Hayo mambo ya kipuuzi unauliza hujui Likatiba letu limechokaNimekuwa nikitatizwa ktk tifaki za serikali ya JMT. Waziri Mkuu amekuwa akimtangulia Spika wa Bunge ambaye ni kiongozi wa Muhimili. Waziri Mkuu ni kingozi wa shughuli za serikali Bungeni. Mkubwa wake ni Spika wa Bunge.
Nimeona ktk Msiba ya Lowassa na Kumbikizi ya Miaka 40 ya kifo cha Sokoine.
Hapana.....ila ukiwakuta mahala asipo Rais;Pm,Spika na CJ basi uliojichimbia chini zaidi ndio wenye nguvu na ni MkubwaWaziri Mkuu ni mkubwa kuliko Spika wa Bunge.
Mkubwa Mungu.Nimekuwa nikitatizwa ktk tifaki za serikali ya JMT. Waziri Mkuu amekuwa akimtangulia Spika wa Bunge ambaye ni kiongozi wa Muhimili. Waziri Mkuu ni kingozi wa shughuli za serikali Bungeni. Mkubwa wake ni Spika wa Bunge.
Nimeona ktk Msiba ya Lowassa na Kumbikizi ya Miaka 40 ya kifo cha Sokoine.
Jibu Ni simple Tu mkuu!Nimekuwa nikitatizwa ktk tifaki za serikali ya JMT. Waziri Mkuu amekuwa akimtangulia Spika wa Bunge ambaye ni kiongozi wa Muhimili. Waziri Mkuu ni kingozi wa shughuli za serikali Bungeni. Mkubwa wake ni Spika wa Bunge.
Nimeona ktk Msiba ya Lowassa na Kumbikizi ya Miaka 40 ya kifo cha Sokoine.
Ushakoroga maji na mafuta hapa!Mkubwa Mungu.
Mkuu mna ugomvi?Jifanye akili huna kama Faruqu...
Heshimu umri wako na heshima yako Kwa jamii.
KabisaMkubwa Mungu.
Nina ugomvi na watu wanaojichetua wakati wanajua wao ni watu wazima.M
Mkuu mna ugomvi?
Upo sahihi. Wakuu wa mihimili kiprotocali ni:Waziri Mkuu ni mkubwa kuliko Spika wa Bunge.