The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Huna AkiliMkubwa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna AkiliMkubwa Mungu.
Wewe bwabwaja na kuhororoja mpaka asubuhi, mradi kumbuka tu, Mkubwa Mungu.Jifanye akili huna kama Faruqu...
Heshimu umri wako na heshima yako Kwa jamii.
Waziri Mkuu Katiba inamtaja kuwa ni msimamizi Wa serikali bungeni. Huko nje ni kwa kuwa CCM unampa nafasi isiyo yake.Ukubwa wa Spika ni ndani ya lile jengo pale dodoma.
akitoa miguu yake tu pale huku Nnje eneo lote la Nchi ni la WAZIRI MKUU.
WAZIRI MKUU sio mwenzako ni cheo kikubwa sana hicho sio cha kawaida.
Kina Mamlaka makubwa kuliko SPIKA.
Kwa Ivo Mungu ndiyo Spika au Waziri Mkuu???Wewe bwabwaja na kuhororoja mpaka asubuhi, mradi kumbuka tu, Mkubwa Mungu.
Akili kubwa zinaongelea maendeleo,Huna Akili
Heshima yako mkuu, nimekuelewa.Nina ugomvi na watu wanaojichetua wakati wanajua wao ni watu wazima.
Watu tunajadili Spika na Waziri Mkuu yeye analeta mambo mengine yasiyohusika.
Akili kubwa zinaongelea maendeleo,Kwa Ivo Mungu ndiyo Spika au Waziri Mkuu???
Usijifanye fyatu...
Akili kubwa zinaongelea maendeleo,Nina ugomvi na watu wanaojichetua wakati wanajua wao ni watu wazima.
Watu tunajadili Spika na Waziri Mkuu yeye analeta mambo mengine yasiyohusika.
Maendeleo na matukio huletwa na watu. Ivo huwezi kujadili maendeleo au matukio bila ya kujadili watu.Akili kubwa zinaongelea maendeleo,
Akili za kawaida zinaongelea matukio,
Akili mbovu (kama zako) zinaongelea watu.
Hii ni mada nyingine anzisha ijadiliwe.Bila Mwenyezi mungu wasingepata nyadhifa hizo, kama unabisha kawaulize.
Hivi wewe ukishajuwa ni nani mkubwa hapo kiitifaki inakusaidia nini?Maendeleo na matukio huletwa na watu. Ivo huwezi kujadili maendeleo au matukio bila ya kujadili watu.
Hii ni mada nyingine anzisha ijadiliwe.
Wale wasioamini kuwa kuna Mungu ukisema vyeo hutoka kwa Mungu watakushangaa.
Una undugu na kejeli au Mzee majambo???
Hapana Mzee spika na Waziri Mkuu ni vitu Viwili tofauti kabisa..Ushakoroga maji na mafuta hapa!
Waziri mkuu ni nambari 3 hapa TZ, hakuna cha mihimili wala protokali.
Kichama, waziri mkuu ndio mwenyekiti wa wabunge wote wa chama, speaker akiwa mmojawapo.
Kama swali lingekuwa limelenga worldwide, pengine kuna nchi jibu lingekuwa tofauti!
Kwani Mimi ndiyo nimeuliza swali?Hivi wewe ukishajuwa ni nani mkubwa hapo kiitifaki inakusaidia nini?
Hivi hizo shule mnaenda kusomea ujinga?
Wewe ukishaelewa itakusaidia nini?Kwani Mimi ndiyo nimeuliza swali?
Wewe umeiparamia mada bila hata ya kujua nani kauliza swali.
Wewe kumbe ndiyo ulisomea ujinga.
Muulize aliyeuliza swali. Mimi nimemjibu maana yake naelewa.Wewe ukishaelewa itakusaidia nini?
Allahu Akbar.
Spika mdogo kuliko Waziri MkuuWaziri Mkuu ni mkubwa kuliko Spika wa Bunge.
Msikiti umepigwa mabomu Jana Iran sio watu wazuriWewe ukishaelewa itakusaidia nini?
Allahu Akbar.
Akili mbovu (kama zako) zinaongelea watu.Akili kubwa zinaongelea maendeleo,
Akili za kawaida zinaongelea matukio,
Akili mbovu (kama zako) zinaongelea watu.