ITIFAKI: Ni nani Mkubwa kati ya Waziri Mkuu na Spika wa Bunge?

ITIFAKI: Ni nani Mkubwa kati ya Waziri Mkuu na Spika wa Bunge?

Linapokuja swala la mamlaka waziri anatamba nchi nzima.

Linapokuja swala la muhimili unaotafutia hela.mihimili mingine waziri anatamba over mihimili mingine.

Linapokuja swala la nani anaweza kukalia kiti cha uraisi kabla ya mwenzake endapo raisi atakoma kukalia kiti kwa sababu mbalinbali SPEAKER atamtangulia waziri mkuu.

..............
Spika wa Bunge hata nchi zingine ni mtu mkubwa mno, ila kwa Bongo Spika ni Chawa tu.
 
Kwa Mujibu wa Katiba Serkali Ya JMT
Waziri Mkuu Ni msaidizi wa Rais wa JMT wakati makamu wa Rais na Rais Hawapo Wakati Rais wa Zanzibar sio..
View attachment 2963282

Kwa Mujibu wa Katiba Waziri Mkuu ni Kiongozi wa Shughuli zote JMT wakati Rais wa Zanzibar Ni kiongozi wa Shughuli za Zanzibar peke yake.

View attachment 2963285

Kubwa Kuliko Kwa Mujibu wa Katiba Rais wa Zanzibar Ni Mjumbe kwenye Baraza La mawaziri..
Kwa Protokali Ameanza kutajwa Rais, Akafata Makamu wa Rais akafata Waziri Mkuu na akaja Rais wa zanzibar na baadaye mawaziri wote..

Kingine Katika Mikutano ya Baraza la Mawziri Huongozwa na Rais na kama Rais hayupo Bhasi makamu Wa Rais na kama Makamu wa Rais Hayupo Bhasi huomgozwa na WAZIRI MKUU..
Na sio Rais wa zanzibar ambaye yeye Huongozwa kikao hicho...


View attachment 2963289

Sasa Mkuu Nakusubiri uniambie Rais wa zanzibar ni mkubwa kwa sheria ipi
Sasa ulitaka Rais wa Zanzibar aongoze Zanzibar na Tanzania kwa wakati mmoja? Subiri tarehe 26 April uangalie nani ataingia kabla ya mwingine kwenye sherehe
 
Hapana Mzee spika na Waziri Mkuu ni vitu Viwili tofauti kabisa..

Tukizungumzia Ukuu kwenye Muhimili Bhasi mimi ningelinganisha Spika na Rais na Jaji Mkuu...

Hii Mihimili Hutegemeana na Hufanya kazi pamoja kwa ukaribu kabisa..

Na ndo maana Bungeni kuna mwakilishi wa Muhimili wa Mahakama ambaye ni Mwanasheria Mkuu na mwakilishi wa Serkali ambaye ni Waziri Mkuu...
Serkalini Kuna waziri Mkuu...

So Spika anao uwezo wa Kumuamrisha Waziri Mkuu awapo Bungeni na kumuwajibisha Pia panapo Stahili..

Ila Waziri Mkuu hana Uwezo wa Kumuwajibisha Spika kwa namna yoyote ile..
Mwanasheria Mkuu wa serikali yupo upande wa executive hayupo upande wa judiciary. Hapo umechanganya madesa kidogo.
 
Spika wa Bunge ni mkubwa kuliko Waziri Mkuu. Ila hii ya Betina kuwa mkubwa kwa Kassim kiprotokali siikubali. Huyu Betina ana nini Cha maana?

Pius Msekwa kuwa mkubwa kwa Cleopa Msuya sawa, ila siyo Betina kwa Kassim (huo ni udhalilishaji). Betina kichwa box, kichwa kama mbuni.
 
Spika kwa TZ ni a mere chairperson wa vikao vya bunge. Waziri mkuu ni mkubwaaa sana in Bashites voice!
 
Spika ni mkuvbwa sababu anadimamia mhimili, jaj mkuu ni mkubwa sababu anadimamia mhimili, rais ni mkubwa sababu anadimamia mhimili, hawa wote wapo katika level moja, ila mmoja huwateua
 
Back
Top Bottom