DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kipi Hujaelewa MkuuNimekuelewa kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi Hujaelewa MkuuNimekuelewa kidogo
Hukuelewa madaSizani aisee, spika anaonekana bado bint kabisa wakati PM anakaribia kustaafu
Ktk maelezo yako ina maana hata Rais wa zanzibar ni mdogo kwa PMKipi Hujaelewa Mkuu
Rais Wa zanzibar Ni mdogo Kwa PM kiserkali Mkuu..Ktk maelezo yako ina maana hata Rais wa zanzibar ni mdogo kwa PM
kwa mujibu wa katiba Spika Wa Bunge ni mkubwa sana ,kwa mujibu wa katiba ya CCM nahisi ni Waziri mkuuWaziri Mkuu ni mkubwa kuliko Spika wa Bunge.
Spika wa Bunge hata nchi zingine ni mtu mkubwa mno, ila kwa Bongo Spika ni Chawa tu.Linapokuja swala la mamlaka waziri anatamba nchi nzima.
Linapokuja swala la muhimili unaotafutia hela.mihimili mingine waziri anatamba over mihimili mingine.
Linapokuja swala la nani anaweza kukalia kiti cha uraisi kabla ya mwenzake endapo raisi atakoma kukalia kiti kwa sababu mbalinbali SPEAKER atamtangulia waziri mkuu.
..............
We ndo umejibu Vizuri kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣Sizani aisee, spika anaonekana bado bint kabisa wakati PM anakaribia kustaafu
Nimeelewa sana, ameuliza swali la kipuuziHukuelewa mada
DuuuhhhSpika wa Bunge hata nchi zingine ni mtu mkubwa mno, ila kwa Bongo Spika ni Chawa tu.
Sasa ulitaka Rais wa Zanzibar aongoze Zanzibar na Tanzania kwa wakati mmoja? Subiri tarehe 26 April uangalie nani ataingia kabla ya mwingine kwenye shereheKwa Mujibu wa Katiba Serkali Ya JMT
Waziri Mkuu Ni msaidizi wa Rais wa JMT wakati makamu wa Rais na Rais Hawapo Wakati Rais wa Zanzibar sio..
View attachment 2963282
Kwa Mujibu wa Katiba Waziri Mkuu ni Kiongozi wa Shughuli zote JMT wakati Rais wa Zanzibar Ni kiongozi wa Shughuli za Zanzibar peke yake.
View attachment 2963285
Kubwa Kuliko Kwa Mujibu wa Katiba Rais wa Zanzibar Ni Mjumbe kwenye Baraza La mawaziri..
Kwa Protokali Ameanza kutajwa Rais, Akafata Makamu wa Rais akafata Waziri Mkuu na akaja Rais wa zanzibar na baadaye mawaziri wote..
Kingine Katika Mikutano ya Baraza la Mawziri Huongozwa na Rais na kama Rais hayupo Bhasi makamu Wa Rais na kama Makamu wa Rais Hayupo Bhasi huomgozwa na WAZIRI MKUU..
Na sio Rais wa zanzibar ambaye yeye Huongozwa kikao hicho...
View attachment 2963289
Sasa Mkuu Nakusubiri uniambie Rais wa zanzibar ni mkubwa kwa sheria ipi
Mwanasheria Mkuu wa serikali yupo upande wa executive hayupo upande wa judiciary. Hapo umechanganya madesa kidogo.Hapana Mzee spika na Waziri Mkuu ni vitu Viwili tofauti kabisa..
Tukizungumzia Ukuu kwenye Muhimili Bhasi mimi ningelinganisha Spika na Rais na Jaji Mkuu...
Hii Mihimili Hutegemeana na Hufanya kazi pamoja kwa ukaribu kabisa..
Na ndo maana Bungeni kuna mwakilishi wa Muhimili wa Mahakama ambaye ni Mwanasheria Mkuu na mwakilishi wa Serkali ambaye ni Waziri Mkuu...
Serkalini Kuna waziri Mkuu...
So Spika anao uwezo wa Kumuamrisha Waziri Mkuu awapo Bungeni na kumuwajibisha Pia panapo Stahili..
Ila Waziri Mkuu hana Uwezo wa Kumuwajibisha Spika kwa namna yoyote ile..
Ili chadema iingie madarakani ,tutawapa katiba mpya na kura tutawashindaHayo mambo ya kipuuzi unauliza hujui Likatiba letu limechoka
Hebu nguvu ielekezwe kudai katiba mpya
Yeah inawezekana mkuu Maara anateuliwa na rais kwa Mujibu wa Katiba Ibara ya 59 kuanzia Ibara ndogo ya 1Mwanasheria Mkuu wa serikali yupo upande wa executive hayupo upande wa judiciary. Hapo umechanganya madesa kidogo.
Mungu ni mkuu sio mkubwa , ukubwa (big) ,ukuu (supremacy)Mkubwa Mungu.
Jibu swaliWote wale wale