Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu watakuja humu kuulizia ushahidi. Yaani the charge of life style pekee haziwezi kuwapa majibu. Mke wa Bashe inasemekana anapokea pesa kwenye mabegi.

Kuna haja ya kuanza kuwafangia viongozi wetu LIFE STYLE AUDIT.
Inasemekana!!?..na mnataka muaminiwe kwa maneno ya kusemekana!?..anapokea hela kwenye mabegi,kila siku,toka kwa nani!?..ni pesa haramu!?..acheni unafikiri na uchakubimbi,haipendezi kwa mtu mwenye korodani na ndevu
 
Duuh basi hiyo biashara ina faida sana
 
Kwa hiyo wanampuuza hivi sasa kwani Zamani hawakumpuuza? Au unasemaje Chawa?
 
Mkuu 'Tlaa', una kazi ngumu mno. Na itaendelea kuwa ngumu kwelikweli kadri tunavyo elekea 2025.

Itabidi niwe macho zaidi na kufuatilia kwa karibu zaidi hali yako itakavyo kuwa ikibadilika, kama hutazimia kabla ya kipenga cha mwisho.
 
Hakuna jipya kama mlimchukua marehemu lowassa nazo hizi pia ni porojo kama za mwembe yanga!
 
Watu watakuja humu kuulizia ushahidi. Yaani the charge of life style pekee haziwezi kuwapa majibu. Mke wa Bashe inasemekana anapokea pesa kwenye mabegi.

Kuna haja ya kuanza kuwafangia viongozi wetu LIFE STYLE AUDIT.
Watakuja akina machawa Lucas mwashambwa kukanusha na kuzodoa lakini ukweli ni kwamba tunanunua sukari sh 6000 kwa kilo badala ya nei halisi ya sh 25000
Hi haijalishi ni ccm au ni cdm
 
Naona wasomali wengi mjini wamekuwa matajiri ghafla
Kumbe bashe kawatoa kwa vibali vya sukari
 
SISI WANA CCM KINDAKINDAKI TUKISIA HAYA TUNAVUNJIKA MOYO SANA..., NGUVU ZINATUISHIA, UKIZINGATIA HATA SIKUKUU WENGI WETU TUMESHINDWA KUISHEHEREKEA, MUNGU ANAWAONA!
Pole sana kama kweli we ni mzalendo mwenzangu
 
Hii nchi bila kunyonga hawa majizi, watanzania tutabaki masikini.
kuna wakati majizi haya magufuli aliyatia jambajamba yakaogopa, baada ya magufuli kuondoka yaliibuka upya kwa kasi ya ajabu yanaiba yakijua anaweza kutokea kiboko yao mwingine akawakatisha wizi wao. Uchaguzi mkuu unakuja kama kuna mgombea urais hana ubavu wa kuyakabili majizi asigombee aache wenye uwezo wa kuyakabili wagombee na hatimaye apatikane kiongozi wa kudhibiti rushwa na wizi kwa vitendo
 
Tukiamua tunaweza kuwarudisha, wanapataka sana Africa. Bora Mkoloni mweupe, kuliko Mkoloni mweusi.
mbona wapo wanatawala kwa style nyingine ya invisible wakiwa kwao huko nje, wanatawala kwa kutumia remote, wana wb, imf. Hawaji wenyewe physically tuwaone pale magogoni/chamwino. Tena wengine nao wanataka, akina china na arabuni, wakipata vibaraka wao inatosha kutawala wakiwa kwao
 
Rushwa kwenye vibali vya sukari si jambo geni. Limekuwa likijirudia kila mwaka. Kwa maelezo ya wajuzi kuna kipindi kila mwaka kunakuwa na uhaba wa sukari na hapo ndiyo biashara ya vibali hufanyika.
 
Mabeyo atakuwa anajilaumu sana na kuona aibu huko aliko.
aone aibu kwa kutokufanya manuever enzi zile? Alilinda katiba, uchaguzi mkuu unakuja sanduku la kura litaamua nani awe kiongozi mkuu
 
Si wanakula kwa urefu wa kamba zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…