zamani alijifanya so special than special itself πKwa hiyo wanampuuza hivi sasa kwani Zamani hawakumpuuza? Au unasemaje Chawa?
He is still special except for haters like youzamani alijifanya so special than special itself π
alivyoaanza kuomba omba tu kuchangiwa wanainchi, licha ya kulipwa mamilioni ya fedha na Bunge, wakajua hili ni Tatizo na sasa hawataki tena, jitu zima na akili na nguvu zake linaomba omba kweli?π
WaTanzania TUAMKE ..TUMEKWISHA!!!!Ila huu uongozi ukirudi kabisa twafaaa maana bei zitapaaa mno
Bei si ilipanda kwa Bashe? Kwanini wao washushe?Mbeya wafanyabiashara wamegoma kushusha bei ya sukari!
Ila huu uongozi ukirudi kabisa twafaaa maana bei zitapaaa mno
Watu watakuja humu kuulizia ushahidi. Yaani the charge of life style pekee haziwezi kuwapa majibu. Mke wa Bashe inasemekana anapokea pesa kwenye mabegi.
Kuna haja ya kuanza kuwafangia viongozi wetu LIFE STYLE AUDIT.
Ametulet down sanaMama yenu anarembua tu
Hiyo ndiyo Msoga Kingdom!Tajiri wa Chalinze na mbunge wao Kwa kushirikiana na waturuki sijui waliouziwa maliasil yetu ipi wamechinja ng'ombe 1500 ungeenda kuchukua nyama. Kweli Bashiru na Ndugai tutawakumbuka. Kama CCM wanavunja Katina Kwa nini hawakuachiwa wakaitikisa tu.
Nadhani tunaitaji pia kufanya Mabadiliko huko Jeshini....jeshi letu kama limelala usingizi wa Pono kabsaa.Rais anauza ardhi, Misitu, bandari n.k..unazani atakemea hiyo ya sukari?
She keeps on disappointing us day after dayAmetulet down sana
π€£π€£π€£π€£Sijui kwa nini mkoloni mzungu alifukuzwa kwa mbwembwe nyingi vile enzi hizo
Hutaki , ACHA .... Lakini huo ndio UKWELI wenyewe.Inasemekana!!?..na mnataka muaminiwe kwa maneno ya kusemekana!?..anapokea hela kwenye mabegi,kila siku,toka kwa nani!?..ni pesa haramu!?..acheni unafikiri na uchakubimbi,haipendezi kwa mtu mwenye korodani na ndevu
Wanaobisha wamfungulie mashtakaAkizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana na kukamuliwa Watanzania ambao mara zote wanaitwa Wanyonge.
Lissu amedai kwamba Vibali hivyo vilitolewa kwa Marafiki na Jamaa zao wa Karibu katika mpango Muruwa wa Nifae leo nikufae kesho .
Kwa vile Sakata hili ndio kwanza limeanza basi Jitahidi sana kubaki hapa JF ili kujua Mnyororo wote wa Waliohusika, kuanzia Serikalini hadi kwenye Bodi ya Sukari.
Liwalo na Liwe
View attachment 3019630
=====
Pia soma:
- Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni
Pia Soma:
- Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa
Usione hawa sasa hivi wakifaraghua kama wanavyofanya, chombo kikianza kuyumba ndio wa kwanza kujirusha nje kupigania uhai wao.Ni mnufaika wa mfumo kwahiyo usitegemee changes kutoka kwake maana jamaa wakienda na maji na yeye atakuwa miongoni mwao π βοΈ
Inner circle βοΈ π
Anakera kwakuwa hujalamba teuzi. Ukipigwa cheo unasahau kila kitu, na hivi ni chiziwafursa kabisa kabisaHapa nchi imeuzwa kabisa yaani rais nimekosa cha kusema maana anakera sana
ππππAnakera kwakuwa hujalamba teuzi. Ukipigwa cheo unasahau kila kitu, na hivi ni chiziwafursa kabisa kabisa
Anakera kwakuwa hujalamba teuzi. Ukipigwa cheo unasahau kila kitu, na hivi ni chiziwafursa kabisa kabisa
Mtu mweusi hajamaliza evolution. Amini nakwambia