ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
Pole😄😄😄Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Uliwahi kukemea Hotuba za MAKANISANI kila JUMAPILI?Haya mambo yakifumbiwa macho yatazoeleka na kuonekana ni ya kawaida na kuenea katika sekta zote za umma kana kwamba nchi ni ya kiislam. Upuuzi huu ulikemewa sana miaka ya nyuma hakukuwa na unasibishaji wa dini yoyote katika mambo ya umma. Sasa hivi watu hawana aibu wanashirikisha wenzao katika ibada zao mahali pasipo pake. Mara walishe watu futari, mara chinja isiyoeleweka malengo yake ni nini, ili mradi tu watu wote washirikishwe ibada zao kinamna bila kutumia nguvu. Haya mambo ya dini yalibaki hukohuko wanakoabudia, walipeana salamu zao hukohuko wanakokutania. Ofisi za umma kujazwa ibada za dini fulani huko ni kupotoka na ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa uliojengwa tangu awali na wasisi wa taifa hili
Wapo wanaofunga kweli ila wengine hufwata daku na futari maana kwakweli mapishi yao ni matamu.Huu wa matangazo vipi? 🤣
Hii ya Ramadhani iko hata kabla ya Uhuru,na Mwalimu Nyerere,alikuwa akivyaa kofia za kiislamu na kanzu pia akivyaa na vile vile Magufuli alikuwa akivyaa kanzu na kofia,na wote wakifuturisha na kushiriki katika shughuli za kiislamu,walikuwa wadini?Rais Ali Hassan Mwinyi,alikuwa pia akishiriki shughuli za kikristo,mpaka alifugua kanisa,lililokufa miaka mia iliyopita,je alikuwa mdini?Mkapa ,kikwete wote wameshiriki kwenye shughuli za dini zote,walikuwa wa dini?Haya mambo yakifumbiwa macho yatazoeleka na kuonekana ni ya kawaida na kuenea katika sekta zote za umma kana kwamba nchi ni ya kiislam. Upuuzi huu ulikemewa sana miaka ya nyuma hakukuwa na unasibishaji wa dini yoyote katika mambo ya umma. Sasa hivi watu hawana aibu wanashirikisha wenzao katika ibada zao mahali pasipo pake. Mara walishe watu futari, mara chinja isiyoeleweka malengo yake ni nini, ili mradi tu watu wote washirikishwe ibada zao kinamna bila kutumia nguvu. Haya mambo ya dini yalibaki hukohuko wanakoabudia, walipeana salamu zao hukohuko wanakokutania. Ofisi za umma kujazwa ibada za dini fulani huko ni kupotoka na ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa uliojengwa tangu awali na wasisi wa taifa hili
Akikujibu ni tagUmeulizwa huku Chelsea dini ganiView attachment 2562853
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwaresma haichukuliwi kwa uzito hata kwa wakristo wenyewe, kama ilivyo mfungo wa ramadhani kwa waislamu.Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Itakua unazungumzia mitihani ya 'jaza nafasi iliyoachwa wazi, multiple choice '...mantiki ni hata yeye mwenyewe hafungi kwarezma,hata EPL hawajaweka muda wa kufuturu kwa mtu aliyefunga kwarezma, lakini wameweka kwa mfungaji wa RamadanWe inaonekana mitihani ulikuwa unafeli hatari..!!! Unaulizwa hiki unajibu kile..!!
Yesu ana vyeo vingi, Mungu,mwana wa Mungu,masihiHivi cheo cha Yesu ni kipi?Tulia ujibu.
Inaonekana unaijua sana mioyo ya Waislamu kuliko wanavyojijua wao wenyewe na Mungu wao... CONGRATULATION!Udini upo sana, ila ni kwasababu wakristo hasa wakatoliki ambao ndio wenye ukristo wanaojua maana ya kwaresma wamezubaa tu hatupo strong, ila wenzetu japo hawafungi ile kutoka moyoni kabisa na hawabadiliki matendo wala nini ndio wanaojua promo, ukimgusa kidogo anasingizia ramadan, sisi tupotupo tu.
Amiiin!Yesu ana vyeo vingi, Mungu,mwana wa Mungu,masihi
logic ni kwamba wale ni viongozi wa juu wa kitaifa protocal inawalizimisha kushiriki shughuli za kitaifa hata kama hawaamini dini hiyo ili tu kubalansi mambo na ieleweke ndani ya serikali kuna watu wa imani zote kuu. Hata hivyo mwalimu hakuedekeza udini, aliukemea kila alipopata wasaa wa kuzungumza mambo ya kitaifaHii ya Ramadhani iko hata kabla ya Uhuru,na Mwalimu Nyerere,alikuwa akivyaa kofia za kiislamu na kanzu pia akivyaa na vile vile Magufuli alikuwa akivyaa kanzu na kofia,na wote wakifuturisha na kushiriki katika shughuli za kiislamu,walikuwa wadini?Rais Ali Hassan Mwinyi,alikuwa pia akishiriki shughuli za kikristo,mpaka alifugua kanisa,lililokufa miaka mia iliyopita,je alikuwa mdini?Mkapa ,kikwete wote wameshiriki kwenye shughuli za dini zote,walikuwa wa dini?
hotuba zipi hizo? Mkibanwa na udini wenu hamuachi kutoa povuUliwahi kukemea Hotuba za MAKANISANI kila JUMAPILI?
Chelsea ina wachezaji wa kiislam, ina mashabiki wa kiislam, matajiri wa kiislam wana nafasi ya kuinunua pindi ikiuzwa, sasa cha ajabu nini hapo wakati wale wanafurahisha mashabiki wao dunia nzima? Au simba na yanga ni sawa na chelsea?Umeulizwa huku Chelsea dini ganiView attachment 2562853
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kwa hili hapana, mwageni na heri za mfungo wa kwaresma. Na baadaye tuone mkimwaga heri za pasaka kwa mashabiki zenu, hapo mtabalansi udiniSi tulikubaliana kuwa sisi hatuna mambo ya kulalamika na hiyo ni comupleksi inferiority ?
Simba hai takiwi kufurahisha mashabiki zao acha bangi kijanaChelsea ina wachezaji wa kiislam, ina mashabiki wa kiislam, matajiri wa kiislam wana nafasi ya kuinunua pindi ikiuzwa, sasa cha ajabu nini hapo wakati wale wanafurahisha mashabiki wao dunia nzima? Au simba na yanga ni sawa na chelsea?
Hahahahahaha umehamia kwenye uchache na wingi utabwata sana tuInawezekana kwaresma haifahamiki vyema kutokana na kutukuzwa na jamii ya wakristo wa kikatoliki. Jamii ya wakristo duniani ni wengi kuliko waislam. Si wakristo wote wanaotambua kwaresma kama ilivyo kwa waislam wote kwa ujumla kuitukuza ramadhan. Acheni wapeane heri maana ni wachache duniani