ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

my name kunta kinte
IMG_0765.jpg
 
Itv wanastahili kupewa super brand, maana ilifika wakati ikawa kama tv ya taifa kwa ubora wa muonekano na vipindi japo baadaye ikaja star tv na tvt. Kwa sasa itv bado iko vizuri ila hakuna mabadiliko makubwa kidigitali kama azam tv waliokuja kwa kasi ya ajabu kwenye soko la media. Azam kaongeza chaneli nyingi kuliko itv. Hata hivyo itv bado inatazamwa na watazamaji wengi wa taarifa ya habari
Hawa wapo vizuri sana kwenye habari, naipenda taarifa habari yao na ile sijui inaitwa sound track
 
Mzee wa pasha pasha pashaaaa moootooooo 😄 kipindi cha watoto wetu hicho
We bado wa juzi enzi hizo kuna kina Eddie ndio presenter.

Kipindi cha watoto tu mnajaa nyomi kwenye mavaranda ya watu kuangalia ila kilikuwa hakiboi maana kuna kipindi kimoja hicho Eddie alifanyia airport kwa kusafiri hadi south Africa huku akiwaoji marubani sijasahau kile kipind hadi leo na ukubwa wangu huu..
 
Mbona wengi wazuri wamepita pale
Mtu kama millard ayo
Sauda simba kilumanga
Betty mkwasa nk..
Ni kweli ila kuna ile kitu tunaita voice quality Gondwe kawazidi wengi hasa akiwa anatangaza

Sauda na Betty walikuwa watangazaji wa kawaida sidhani hata kama wanamfikia Fatma Almasi Nyangasa hasa usahihi na shauku katika usomaji
 
We bado wa juzi enzi hizo kuna kina Eddie ndio presenter.

Kipindi cha watoto tu mnajaa nyomi kwenye mavaranda ya watu kuangalia ila kilikuwa hakiboi maana kuna kipindi kimoja hicho Eddie alifanyia airport kwa kusafiri hadi south Africa huku akiwaoji marubani sijasahau kile kipind hadi leo na ukubwa wangu huu..
Sasa si namzungumzia huyo huyo au kulikuwa na eddie mwingine
 
Back
Top Bottom