Taafadhali ITV ni ninyi mlikuwa mmebaki angalau kutupatia taarifa za Lissu kwenye taarifa za habari.Nini kimewakumba?.kituo cha ITV nini kimetokea leo ni siku ya tatu mfululizo kwenye taarifa yenu ya habari ya saa 2 usiku hamtangazi habari kuhusu mikutano ya kampeni ya mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo mhe. Tundu Antiphas Lissu...
Ila mbona naona wanaopost kwenye kurasa zao za Facebook video za LissuKwenye chopa nafasi ndogo hivyo mwandishi wa ITV anayeandamana na Lisu amekosa usafiri ni yule Makubi!
Mkuu hapa Kati walijitutumua kidogo ...Ila tangu Mwamba Sheikh Ponda aingie uwanjani ITV wame mute!Kituo cha ITV nini kimetokea leo ni siku ya tatu mfululizo kwenye taarifa yenu ya habari ya saa 2 usiku hamtangazi habari kuhusu mikutano ya kampeni ya mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo mhe.
Tundu Antiphas Lissu. mara ya mwisho kurusha habari za kampeni za mgombea huyu ilikuwa ni mikutano yake aliyofanya mkoani Tanga kabla hajakwenda kisiwani Pemba.
Ila ITV mmekuwa mkiendelea kurusha habari za mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wote isipokuwa mgombea huyu kupitia chadema. Nini kimetokea ITV?
Naomba kuwasilisha
Kwani bado huwa unaangaliaWanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV, naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.