Ajabu hakuna mwanachama wa Chadema aliyekufa kwa Corona zaidi tunawaona akina Halima Mdee na wenzake wakipeta tu bungeni!
Sasa hivi tu tungahesabu tunakimbilia kwenye malaki ya roho za WatanzaniaSi ajabu April itatisha sana kwa idadi ya maambukizi na vifo. Tunaweza kuwakimbiza Brazil au hata kuwazidi.
Sasa hivi tu tungahesabu tunakimbilia kwenye malaki ya roho za Watanzania
Kwenye Covi19 ngoja tuone ila naona amezungukwa na Watu wazima wajinga tokea kwa HayatiKipaumbele cha kwanza kabisa kwa mama ni kupambana na COVID-19 lakini naye akiamua kufanya dharau kama jiwe itakula kwake.
Kwenye Covi19 ngoja tuone ila naona amezungukwa na Watu wazima wajinga tokea kwa Hayati
Na Mutations zinazidi kuzalishwa itafikia hata hizi chanjo zitashidwa kufanya kaziYaani inashangaza sana Mkuu kuona upumbavu wa hali ya juu kuhusu COVID. Imeshaondoka na Mama Lwakatare, Mahiga, Jiwe, Mpango almanusra na wengine wengi ndani ya hii Serikali na maccm lakini bado wanaonyesha upumbavu uliokithiri!
Mbuni huficha kichwa chake chini ya mchanga akidhani haonekani kumbe makalio yote yanaonekana na adui.acha uongo mkuu, achana na hizo story.
Utakuta wana Pfize kwenye mabega yao na wewe wataka kuiga?Mbona Kikeke tulikuwa naye Chato na hakuvaa barakoa?
Zuhura Yunus alikuwa Dar es salaam hakuwahi kuvaa barakoa
BBC ni zaidi ya ITV UK!
Na Mutations zinazidi kuzalishwa itafikia hata hizi chanjo zitashidwa kufanya kazi
hatari sana kwakweliYaani inashangaza sana Mkuu kuona upumbavu wa hali ya juu kuhusu COVID. Imeshaondoka na Mama Lwakatare, Mahiga, Jiwe, Mpango almanusra na wengine wengi ndani ya hii Serikali na maccm lakini bado wanaonyesha upumbavu uliokithiri!
Naiona WHO kuhamishia kambi hapa hali inazidi kuwa mbayaNadhani siku si nyingi zijazo Nchi nyingi duniani zikiwemo za Afrika zitapiga marufuku Watanzania kuingia kwenye Nchi zao.
Mbona wazungu wamechanja na barakoa wanavaa!Utakuta wana Pfize kwenye mabega yao na wewe wataka kuiga?