Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Akifa mtu wa chadema ndio justification kwamba ugonjwa upo?Ajabu hakuna mwanachama wa Chadema aliyekufa kwa Corona zaidi tunawaona akina Halima Mdee na wenzake wakipeta tu bungeni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifa mtu wa chadema ndio justification kwamba ugonjwa upo?Ajabu hakuna mwanachama wa Chadema aliyekufa kwa Corona zaidi tunawaona akina Halima Mdee na wenzake wakipeta tu bungeni!
Wana tatizo gani na watu kumwamini Mungu, nyambaff mashetani wakubwa.....wanafikiri Magufuli kufariki ndio watatuingia kirahisi na propaganda zao, watasubiri sana...Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini.
Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
Ishi maisha bila kutukana Mkuu mbona inawezekana unachanganya Mungu hapo hapo na matusi tena...Wana tatizo gani na watu kumwamini Mungu, nyambaff mashetani wakubwa...
Sasa kama watu wangechukua tahadhari si ndio lingekuwa jambo jema. Au?Wanamdanganya nani iwapo wangesema ukweli watu wengi wangechukua tahadhari
Kama mtu anakushangaa kumwamini Mungu, ina maana yeye anamwamini shetani....shenzi sana mabwege hayo.Ishi maisha bila kutukana Mkuu mbona inawezekana unachanganya Mungu hapo hapo na matusi tena...
Mbaya zaidi tumezalisha variety ya hatari zaidi kuwahi kutokea duniani yani mutation x 10.
3rd wave ikija inaweza kutimiza yale maneno ya mke wa bill gates.
Mbaya zaidi tumezalisha variety ya hatari zaidi kuwahi kutokea duniani yani mutation x 10.
3rd wave ikija inaweza kutimiza yale maneno ya mke wa bill gates.
Mbona sisi maisha yanaendelea ila wao wanakufa tu hovyo,watuache mbwa hao na mbwa wenzao wote wanaozipenda stories zao.
Hama nchi mkuuEndeleeni na ubishi wenu tu wabongo kazi sana
Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini.
Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
Yaani unata kujilinganisha na taifa linalotoa takwimu kila siku? Unasema hali inaendelea wakati hufahamu tatizo ni kubwa kiasi gani??! Au unajisahaulisha pale takwimu zetu zilipopanda ghafla from 60's to 509 within a week, na baada ya kuona hivyo, Magufuli akaamuru wanaotoa vipimo wafutwe kazi kwa sababu wanatoa takwimuMbona sisi maisha yanaendelea ila wao wanakufa tu hovyo,watuache mbwa hao na mbwa wenzao wote wanaozipenda stories zao.
Wanakuja kwenye taifa letu kututafiti.Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini.
Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.