#COVID19 ITV News Uingereza yaeleza hali ya Corona Tanzania

#COVID19 ITV News Uingereza yaeleza hali ya Corona Tanzania

Walichokifanya kipo sahihi kwao, lkn wanajisumbua sana. Shida si kuwepo kwa Corona Tanzania, shida ni kwamba hata kwao ipo. Hivyo ni ngumu kumshauri mtu wakati tatizo hilohilo analoliptia mwenzako linakutoa jasho.

Kwao watu wanakufa kwa kiwango kikubwa kwa siku lakini ushabiki wote upo Tanzania kwa Rais ambaye alifanya mambo kwa imani aliyoiamini.

Pamoja na kujifungia lakini bado watu wanakufa na hawayafuatilii kama wanavyoifuatilia Tanzania.

Magufuli alisimamia katika msimamo wake sababu hata wao pamoja na misimamo yao na uwezo wao bado corona haijawaacha salama

Mungu aturehemu na atusaidie katika hili.
 
Unashangaa watu wanakimbizana na Kigogo 14 badala ya kupambana na hichi kirusi
 
Wanamuamini Mungu lakini wakishikwa na malaria kidogo hao mbio mbio hospital

Aliye waaminisha huo ujinga Kesha tangulia kuzimu tayari
Sema hivi wanamuamini Mungu lakini kila Jumamosi tulipishana nao Bagamoyo kumloga Magufuli ili wapate teuzi.
 
Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua W nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini.

Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
Walisema Africa watu watakufa kama kuku yaani watakua wanadondoka tu mabarabarani wanajifia 🤣🤣🤣
Kinyume chao ni wao ndio wanateseka na huu ugonjwa wapambane na hali zao huko
Huku life as normal
 
Yani sisi wabongo tunataka mpaka tusikie sauti ya Mungu ukisema....."wanangu nchi yenu inakorona" [emoji2][emoji2]

Ila kwa hivi vistory vya hapa na palee....aaahhh hakuna hatakae elewa
 
Walisema Africa watu watakufa kama kuku yaani watakua wanadondoka tu mabarabarani wanajifia 🤣🤣🤣
Kinyume chao ni wao ndio wanateseka na huu ugonjwa wapambane na hali zao huko
Huku life as normal
Hawajazika kiongozi mkuu wa nchi na idadi ya wagonjwa na vifo vyao vya corona iko wazi.
 
Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua W nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini.

Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
Leo nimepata taarifa mwanazuoni Saiboko amefariki kwa changamoto ya upumuaji
 
Yani sisi wabongo tunataka mpaka tusikie sauti ya Mungu ukisema....."wanangu nchi yenu inakorona" [emoji2][emoji2]

Ila kwa hivi vistory vya hapa na palee....aaahhh hakuna hatakae elewa
Hata Mungu pia tutambishia.
 
Kufa kiongozi mkuu wa nchi sio sababu,kufa kwa kiongozi sio kupukutika kwa halaiki kama walivyokua wamepanga
 
Mbona sisi maisha yanaendelea ila wao wanakufa tu hovyo,watuache mbwa hao na mbwa wenzao wote wanaozipenda stories zao.
Hata kwao maisha yanaendelea, ila nawaza wangejiachia kama ilivyo huko nyumbani tz asingebaki mtu huku
 
Sisi atujakataa tuna corona ila watuache wajifatilie yao maana ndiyo wanakufa wengi kuliko sisis tusio vaa barakoa
 
Waende zao huko hata wao wanapukutika
Tofauti ni kuwa wenzetu hawajapoteza former president, sitting president, sitting VP (Zanzibar), ministers, MPs, chief secretary - hao ni kwa uchache.

Sisi tunakuwa egoistic vs mdudu - sasa mdudu naye pasi na hiyana kaamua kupiga pale pale penyewe!!
 
Nini,acheni izo msitutishe, kwanza uku kitaa Corona tunalia ugali ni mboga kama mboga zingine.

Kama vipi jifungie ndani, vaa barakoa alafu one day nenda kapime Corona ndo utajua kama hujui.
 
Mbona sisi maisha yanaendelea ila wao wanakufa tu hovyo,watuache mbwa hao na mbwa wenzao wote wanaozipenda stories zao.
Hata sisi watu wanadondoka daily ila hujui kwa kuwa hakuna anayekupa data

TMJ, Regency, Masana, Agha Khan, Benjamin Mkapa Dodoma, you name it - hakuna ventilators maana zote zipo occupied. Watu wanavuta left right & center
 
1616867589464.jpeg

Si ajabu April itatisha sana kwa idadi ya maambukizi na vifo. Tunaweza kuwakimbiza Brazil au hata kuwazidi.
 
Back
Top Bottom