Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila tunaishi kibishi tu aiseeKwani walichoongeawni uwongo, Covid ni contagious na dunia imeshakua kijiji kidogo.
Fake news there are no much people travelling between Tanzania and Angola,, take it as a fake news like HE Trump used to say and Tanzanians should wake up and ask themselves why the west and all its apparatus like WHO are busy fingering TZ? There is only one big reason that Tanzania told them thiefs that NO you are not having it meaning our resources despite of the Lissu's and Zitto's waging a fight against Tanzania on the side of thieves ,,wasaliti, vibaraka, walafi wa TanzaniaTukizika kichwa chini takoni haipiti
[emoji28][emoji28][emoji56][emoji56][emoji56]View attachment 1735939
Waende zao huko hata wao wanapukutika
Sawa kwenye familia yako umeshazika wangapi kwa korona na hamvai barakoaKweli kabisa maisha yanaendelea baada ya kuzika jana.
Tulikua na kikeke usiku huu Tips na hana mask wala nnMbona Kikeke tulikuwa naye Chato na hakuvaa barakoa?
Zuhura Yunus alikuwa Dar es salaam hakuwahi kuvaa barakoa
BBC ni zaidi ya ITV UK!
🤣🤣🤣🤣Amekufa kwa ugonjwa wa moyo wewe
Wenzako walishatabiri mwaka uneshaisha sasa unabii haujatimia angalia sana Tanzani ni Nchi barikiwa.Ajabu hakuna mwanachama wa Chadema aliyekufa kwa Corona zaidi tunawaona akina Halima Mdee na wenzake wakipeta tu bungeni!
Assumption zangu
Nahisi kqmantaifa tulipotea kipindi kile tuna pokea wale wazungu toka mataifa ya ulaya na marekani kuna kipindi wali miminika kwa wingi nahisi pale tulikosea
Ulokole huu nauchukia sana. Ugonjwa una namna ya kuchukua tahadhari nyie mnasema Mungu. Sibirini atawapenda zaidiMungu wetu ni mwema atatupigania analijua taifa hili kabla ya kuimbwa kwa misingi ya dunia
Mmefumba macho nyie acheni wazee wetu wapupitike mtatia adabu. Wazee wanakufa nyie mnaleta unazi??Wenzako walishatabiri mwaka uneshaisha sasa unabii haujatimia angalia sana Tanzani ni Nchi barikiwa.
SawaUlokole huu nauchukia sana. Ugonjwa una namna ya kuchukua tahadhari nyie mnasema Mungu. Sibirini atawapenda zaidi
Washenzi wale walikimbia kwao kuogopa kufa then wakaja kuleta maugonjwa yao.Utalii
Ha..ha..haa nani alikudanganya kuwa kuamini Mungu ni ulokole?Ulokole huu nauchukia sana. Ugonjwa una namna ya kuchukua tahadhari nyie mnasema Mungu. Sibirini atawapenda zaidi
Hiyo ndiyo round two ilipoanzia.Washenzi wale walikimbia kwao kuogopa kufa then wakaja kuleta maugonjwa yao.