Ivi mwanamke anayekupenda kweli anaweza kukunyima papuchi mpka siku atayoamua yeye au atakavyojisikia kukupa

Ivi mwanamke anayekupenda kweli anaweza kukunyima papuchi mpka siku atayoamua yeye au atakavyojisikia kukupa

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.

Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
 
Ivi unajua Mapenzi ni zaidi ya ngono??

Sema shida inakuja unapoamua kuvumilia lkn nyuma.yapazia kuna muhun anakamua mpaka maziwa ya mwisho.

Sasa dawa ya hii kitu ni ndogo mno , Unatafuta mwanamke mwingine, unaendelea kula mzigo , siku atakapoona vema kukupazigo atakupa, na ukikuta yaliyomo sio yale alokua anakuzungushaaaaaa basi naww unamuacha ,unabaki na kabinti kako kalokua kanakujali .
 
Mwanamke anayekupenda hawezi fanya kitu kama hiko

Labda awe na matatizo binafsi so anahofia ukiyaona mapenzi yanaweza kupungua au hata kufa kabisa

Kaka nimekuelewa ivi mfano umepata binti ambaye anakujali kwa yote anakufanyia yote uyatakayo na anakusikiliza yote uyazungumzayo
Ila linapofika swala papuchi unapigwa kiswahili ivi hapa unazungumziaje
 
Mimi tangu mwaka jana mwezi wa 7 hadi leo nimenyimwa papuchi kisa mpaka ndoa.. Basi anaona kanikomoa hajui kwake nafuata utelezi, utamu ninao mwenyewe..

Daa kwaiyo ndugu yangu hadi sasa umeamuaje na vipi unavuliamiaje hali kama hiii
 
Ivi unajua Mapenzi ni zaidi ya ngono??

Sema shida inakuja unapoamua kuvumilia lkn nyuma.yapazia kuna muhun anakamua mpaka maziwa ya mwisho.



Sasa dawa ya hii kitu ni ndogo mno , Unatafuta mwanamke mwingine, unaendelea kula mzigo , siku atakapoona vema kukupazigo atakupa, na ukikuta yaliyomo sio yale alokua anakuzungushaaaaaa basi naww unamuacha ,unabaki na kabinti kako kalokua kanakujali .

Kaka nimeupenda ushauli wako ulivyo mzuli tuu
 
Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia asubili mpka atakapokuwa tayali jambo linalomfanya aumie roho ajione kama labda ana kasoro.

Lakini hebu tujiulezeni vizuli ivi mwanamke anayekupenda kwa dhati na moyo wote ni kweli anaweza kukunyima papuchi hata ile ya kuonja nusu nusu anakubania sana
Ikifikia mahali mke au gf anakupangia matumizi ya utam ujue kuna walakini.

1- humridhishi
2- kuna njemba amepata huko nje inampa kiburi.

Namshauri mchiz achukue maamuzi ya kijerumani. first amuite huyo mkewe kwa mara ya mwisho ili kujua tatizo liko wako wapi wasuluishe.
Lakin kama huyo mwanamke asipoonyesha ushirikiano aweke amweke wazi kabisa kuwa asipompa ataenda kutafuta kwengine hayuko peke yake., hiyo yake anaweza kubaki nayo.

Na jamaa abadilishe mtindo wa maisha, no kula nyumbani hata kama mke kapika, akirud ni salam ,kuoga ,kitandani tena alale na jinsi. Akifanya hivyo mwezi tu atakuja kunipa majib
 
Wengine uwa na matatizo yanayopelejea kukosa ham ya tendo
 
Kama ana bikra sawa kinyume cha hapo kakuona boya. Haiwezekani katika hali ya kawaida mi huwa na wambia kabisa nikipewa kwingine nikanogewa tusi laumiane,
 
Back
Top Bottom