Ivi najaribiwa na muovu au nini?

Ivi najaribiwa na muovu au nini?

mwallu asante kwa kunipa jukumu
hata hivyo ni kama ninaoteshwa neno fulani
hapa naona kama picha ya KakaKiiza ikiwa
mbele yako;

Ngoja niite kamati ya maombi kwanza
ili waweze kuifafanua ndoto Bujibuji japo ulikuwa
nyuma ya nondo sijui utakuwa huru lini; Paloma muke ya mutu sijui kama bado unao wito wa maombi; lady furahia japo umejichanganya sana lakini ukitubu utarudia wito wako;
Nasikia na Bishanga eti kaokoka; karibu tuombe ili mwallu awekwe huru;
 
Last edited by a moderator:
mbona hamasa yako naitilia mashaka?
Ukiwa na imani ndogo kama chembe ya haradali waeza hamisha mlima ukaote baharini.

Haya fanya fasta njoo kabla nguvu hazijaniishia.
 
asante Mamndenyi..hilo jukumu linakufaa sana wewe pamoja na watu8 pia sosoliso mruhusu mkeo aje
mwallu asante kwa kunipa jukumu
hata hivyo ni kama ninaoteshwa neno fulani
hapa naona kama picha ya KakaKiiza ikiwa
mbele yako;

Ngoja niite kamati ya maombi kwanza
ili waweze kuifafanua ndoto Bujibuji japo ulikuwa
nyuma ya nondo sijui utakuwa huru lini; Paloma muke ya mutu sijui kama bado unao wito wa maombi; lady furahia japo umejichanganya sana lakini ukitubu utarudia wito wako;
Nasikia na Bishanga eti kaokoka; karibu tuombe ili mwallu awekwe huru;
 
Last edited by a moderator:
Sijui nianzie wapi kukushauri mamito mwallu
kwani hata mm nilikuwa mtawa mambo yakanishinda
Dayosisi ya nyanda za kati na kusini, si nikamezwa na
:smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow::smow:
nikaingia quality game na hivi sasa niko 2 in 1

Ila cha kukushauri bestito kuwa mtu wa maombi
na mtu mwenye kuipenda huduma yako ya utawa
huku ukichochea kwa sala na dua nadhani hapo
utasaidika bestito
 
Last edited by a moderator:
Ni saa tano na nusu bado nimejilaza hapa kitandani.Naangaza kila pembe ya chumba changu lakini sioni mabadiliko yoyote chumbani.Moyo unanidunda dunda sana japo najua siumwi.

Mara ''ngo ngo ngo,sister mwallu watoto wamefika''

Ni sauti ya doto,mtawa mwenzangu....kha! ndo nakumbuka nina jukumu la kuwasimamia watoto kwenye mazoezi ya nyimbo na maigizo maana kesho kutwa tuna ugeni mzito hapa parokiani.

Apa najishauri sana kuamka,moyo bado unadunda dunda.
.
Nakumbuka juzi mchana alikuja mkaka hapa OLA (Our Lady of Apostles)..alikuja direct kama mgeni wangu,akiwa na vifaa vya mazoezi vya watoto (kwa maneno ya mtawa doto huyo kijana amejitolea kuwasaidia watoto japo naanza kupata mashaka if that was the only reason)

Ile salaam tu,nilisikia moyo ukipiga paa na kizunguzungu kwa mbaali,nikajikuta na ng'wenya ng'wenya tuu..akajitambulisha majina yake,kazi yake na mahali alikotoka..cha ajabu vyote hivyo nimevisahau, sijui kwa kua nilikua namuangalia tuu nafurahia vile anaongea ?

Sasa najiuliza kwa nini hali hii inipate baada ya kumuona yeye tu? maana ata situlii,moyo unadunda dunda tuu toka juzi,halafu watawa wenzangu wanadai huyu mkaka huwa anakuja saana parokiani..hakosi hata wiki moja,mbona mi sijawahi kumuona?

Aaagh! ngoja tu nijiandae nikafanye mazoezi na watoto. Na huu mdundo wa moyo uache matendo shitukizi,kurupushi,tetemeshi na ushindwe kabisa.

Ila kwa mbaali tena natamani huyo mkaka aje tena,safari hii nitakua makini nipate details zake vizuri.

Hivo Kaizer nakuomba unisaidie kitu kimoja,tupange semina ya vijana hapa,kila kijana atakaekuja kwenye maungamo mhamasishe ahudhurie semina hiyo,tarehe na mwezi tutapanga.naamini nitamtambua tu hata kwa sauti,hivyo kila mhudhuriaji atakua mchangiaji.na wasemaji wakuu nitaomba Heaven on earth na Mentor Asprin na Mamndenyi wasimamie:

NB:Naupenda sana utawa,na sitoacha wito huu,
ilaaa...niko tu curious kumfaham huyu mkaka-hata sielewi kama ndo najaribiwa au la.

copy kwa: @Ladyfurahia DEMBA Arushaone Kaizer shansarie kiwatengu Erickb52 Baba V Chocs Lady doctor na woooteeeee

Njoo ulale kwangu mwenyekiti siku mbili tu hiyo hali itakwisha kabisa kwa jina la chit chat..
 
Back
Top Bottom