Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date nae kwa miezi 6 - miaka 3?

Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date nae kwa miezi 6 - miaka 3?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum

kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?

kwanini nisimuoe tu fasta, yaani

nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo

hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana

kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move

mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?

Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?
 
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum

kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?

kwanini nisimuoe tu fasta, yaani

nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo

hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana

kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move

mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?


Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?
Wengine hatutaki kuuziwa mbuzi kwa gunia...

Kipindi cha uchumba ni kipindi cha kuchunguzana, na wengine huwa wanafiki wanapretend.. mkiingia kwenye mahusiano rasmi ya ndoa ndio watu wanafungua makucha yao waliyoyaficha

Kwa hiyo kuchunguzana kwa upande wangu ni muhimu sana, nisije nikapigwa tukio nibaki nashangaa
 
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum

kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?

kwanini nisimuoe tu fasta, yaani

nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo

hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana

kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move

mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?


Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?
Hiyo usijaribu moto wake unaochochea ni zaidi ya nyuklia..
Ndoa sio uchumba wala ndoa sio shule kusema ntaacha unaweza ukaishi maisha yako yote kwa machozi na ukafa mapema
 
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum

kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?

kwanini nisimuoe tu fasta, yaani

nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo

hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana

kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move

mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?


Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?
We don't call it date...
We call it..
"Sogea tuishi".
 
Wengine hatutaki kuuziwa mbuzi kwa gunia...

Kipindi cha uchumba ni kipindi cha kuchunguzana, na wengine huwa wanafiki wanapretend.. mkiingia kwenye mahusiano rasmi ya ndoa ndio watu wanafungua makucha yao waliyoyaficha

Kwa hiyo kuchunguzana kwa upande wangu ni muhimu sana, nisije nikapigwa tukio nibaki nashangaa
Na bado hujasema
Huyo unaemuoa tayari NI mbuzi kiburu
 
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum

kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?

kwanini nisimuoe tu fasta, yaani

nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo

hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana

kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move

mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?

Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?

Usimuoe mtu just because umejua miezi sita sijui mwaka. Maan kurupuka kwenye ndo yakukute

Tulia nae even for year and half au hata mwaka utajua mazuri na madhaifu yake then it will up to you kuchagua
 
Usimuoe mtu just because umejua miezi sita sijui mwaka. Maan kurupuka kwenye ndo yakukute

Tulia nae even for year and half au hata mwaka utajua mazuri na madhaifu yake then it will up to you kuchagua
Yani sikuhizi kumjua mwanaume mpaka mkae mwaka au Miaka 2?

Doh, me nimedhani miezi 3 mwanaume unakuwa ushamsoma?
 
Back
Top Bottom