Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Hili ndilo swali naulizwa na wanaume wengi huku jamii forum
kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?
kwanini nisimuoe tu fasta, yaani
nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo
hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana
kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move
mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?
Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?
kwani nikimpenda mwanamke lazima ni date nae miaka mingi ndio nimuoe?
kwanini nisimuoe tu fasta, yaani
nimempenda, napeleke washenga nyumbani kwao nachukua chombo
hii mambo ya dating and kufahamiana ndio inachochea dhambi nyingi sana
kama kujuana tutajuana huko huko ndani ilimradi tunapima kinga wote tukawa sawa, basi we move
mbona wazazi wetu zamani hawakuchunguzana kwa miaka na miezi mingi kama watu wa sasa na walikuwa na ndoa tamu zilizokaa za miaka 40 -60?
Ivi ni lazima ukipenda mtu, u-date kwa miezi 6 - miaka 3?