Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Ukikamatwa sikuletei chaiMungu ana tuona wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikamatwa sikuletei chaiMungu ana tuona wote
Yeye ni KE sasa sijaelewa kwanini ameanzisha uzi huu.sawa mkuu umesikika
we vuta kwanza chap weka ndani
Utatupa uzoefu wako
Unataka uniletee maziwa sawaUkikamatwa sikuletei chai
Yeye ni KE sasa sijaelewa kwanini ameanzisha uzi huu.
Sababu NI Ke siruhusiwi kuanzisha huu Uzi au haujasoma Uzi tangu mwanzo?!Yeye ni KE sasa sijaelewa kwanini ameanzisha uzi huu.
HaiyaaaUnataka uniletee maziwa sawa
Acha wogaHumu watu hawaeleweki kiongozi. Unaeza kudhani unachat na KE kumbe ni ndume ya maana ya mbegu
Kheri kuuziwa Mbuzi kwenye Gunia kuliko kuuziwa Gunia Tupu.Wengine hatutaki kuuziwa mbuzi kwa gunia...
Kipindi cha uchumba ni kipindi cha kuchunguzana, na wengine huwa wanafiki wanapretend.. mkiingia kwenye mahusiano rasmi ya ndoa ndio watu wanafungua makucha yao waliyoyaficha
Kwa hiyo kuchunguzana kwa upande wangu ni muhimu sana, nisije nikapigwa tukio nibaki nashangaa
Pole Kwa kuvurugwaKheri kuuziwa Mbuzi kwenye Gunia kuliko kuuziwa Gunia Tupu.
NDOA NI UHAINI
Mwanamke ndio anayeolewa kwa mwanaume yeyote aliyetayari kwasababu muda ni adui wake ila kwa mwanaume, nitakuchunguza mpaka nijiridhishe, sinalimitations za muda unless biological complications occur.Ogopa matapeli ukimchunguza sana bata kumla utashindwa.Kama nikuoa basi oa tu aliyetayari hakuna time frame
Kama unataka kuchunguza kujua tabia ya mke niseme hawa viumbe sio waigizaji kinoma itakuchukua mda kuwaelewaMwanamke ndio anayeolewa kwa mwanaume yeyote aliyetayari kwasababu muda ni adui wake ila kwa mwanaume, nitakuchunguza mpaka nijiridhishe, sinalimitations za muda unless biological complications occur.
Nisiporidhika katika uchunguzi wangu hata by 0.005% sioi maana sio lazima. Hujawajua overthinker ndugu[emoji23][emoji23][emoji23], every thing is an anomaly to me.Kama unataka kuchunguza kujua tabia ya mke niseme hawa viumbe sio waigizaji kinoma itakuchukua mda kuwaelewa
KWELIKama unataka kuchunguza kujua tabia ya mke niseme hawa viumbe sio waigizaji kinoma itakuchukua mda kuwaelewa
SAWAOa tu
uwe padri usitusumbueNisiporidhika katika uchunguzi wangu hata by 0.005% sioi maana sio lazima. Hujawajua overthinker ndugu[emoji23][emoji23][emoji23], every thing is an anomaly to me.
Amen broTime heals......hii ni falsafa ambayo imewasaidia Wengi katika mambo mengi....
Ukija kwenye suala la mahusiano Wengi japo sio wote huamini akikaa na mtu mda mrefu atamsoma vema ndio maanA dating inakuwepo for sometime...
Ila yote tisa la muhimu ni kumwomba Mungu tu akujaalie mke mwema unaweza Fanya yote na ukafeli tu
sauwaKukaa na mwanamke muda mrefu sio kigezo cha kuwa mstaarabu au mwema changamoto zipo Ila kuna zinazo vumilika Na nyingne hazivumiliki.Ila ukishatambua hakuna mkamilifu maisha yanaenda.Nilikutana Na mwanamke kwa muda miez miwili nikajua vichache kuhusu yeye Na familia yake Nikamshukuru Mungu nikapeleka barua sasa namalizia posa awe mke halali kabisa.kaz ya mwanaume ni kumfanya mwanamke afuate kile unachotaka ukimruhusu akutawale hakuna Rangi utakayo acha kuona