Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah basi tu,Mombasa zamani pool table zilikua hakuna kuinama ukicheza inachezwa mmesimama wima tu.Kuna moja bonge linaitwa, ukienda LA Chalz bar humkosi yaani aibu sana
Mambo gani?Wanazunguka baa zaidi ya 5 kwa siku kuombaomba bia na wanakuwa na uhakika wa kulewa kila siku kwa staili hiyo. Wao wakiombwa mambo mengine wanakuwa wachoyo.
Wanazunguka baa zaidi ya 5 kwa siku kuombaomba bia na wanakuwa na uhakika wa kulewa kila siku kwa staili hiyo. Wao wakiombwa mambo mengine wanakuwa wachoyo.
Wanazunguka baa zaidi ya 5 kwa siku kuombaomba bia na wanakuwa na uhakika wa kulewa kila siku kwa staili hiyo. Wao wakiombwa mambo mengine wanakuwa wachoyo.
Halafu ukiwaomba uingize kichwa tu wanakuwa wakorofi[emoji23].... halafu ni ving'ang'anizi sanaaaaa ...
[emoji28][emoji28][emoji28]unamaanisha yale mambo ya Buza kwa "MPALANGE"..duh!Wao wakiombwa mambo mengine wanakuwa wachoyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No free lunch...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji28][emoji28][emoji28]unamaanisha yale mambo ya Buza kwa "MPALANGE"..duh!
Hahahah waiter nipe moja kwa heshima ya kaka hapa.Hio kuja na bia 1 mezani kwako wahuni wanaita 'amekuja na mtaji wake.
Wapeni bia vijana, sio swala!
Tatizo wengine wakishalewa wanaanza kubinua...sasa sheikh sisi wengine ma ustaadh ujueWapeni bia vijana, sio swala!
"mchezo mbaya"Wao wakiombwa mambo mengine wanakuwa wachoyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]