Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
Unadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.MOSAD, CIA, IDF
Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...
Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Mateka hawapo Gaza wapo Iran!; muda utasema..MOSAD, CIA, IDF
Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...
Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Tuliambiwa majasusi wa Israel ni moto wa kuotea mbali.Hamas wakishirikiana na marafiki zao wanajua walipowaficha mateka.Na inaweza ikawa si Gaza.
Mbona tuliambiwa Entebe masaa 72 ilikuwa IDF hiiii makomandoo ndio awa wengine!!!!!Unaweza kujua walipo lakin unaweza usiweze kuwatoa kwa usalama wao
Wameshikiliwa na waislam wenye DIN sasa ngoja uwone wapalestina wata kaoachiwa na migaidi ya Israel wamefanyiwa kila unyama!!!!!!Nimeshangaa sn mateka wa Israel hawa wadada wanajeshi wanacheka na kutabasamu tu
Unabisha hilo la Entebbe kutokea?Mbona tuliambiwa Entebe masaa 72 ilikuwa IDF hiiii makomandoo ndio awa wengine!!!!!
Isreal na hapo amepigana kama mwenda wazimu .. kama angepigana kwa taratibu na kuheshim sheria za vita mambo yangelikuwa magumu sanaMOSAD, CIA, IDF
Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...
Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Hawana lolote wanjeshj wengi IDF ni wake wa watuTuliambiwa majasusi wa Israel ni moto wa kuotea mbali.
Ujasusi wao kumbe una limitation ?
Kama niwao mbona sasa mateka wao huu mwaka na miez 5 kutoka masaa 72 adi wapangiwe na Hamas ndio nataka kujua ndio awa awa au story zile ni uwongo njoo utam Korea !!!!!Unabisha hilo la Entebbe kutokea?
Swali ni je unabisha hiyo mission haikutokea?Kama niwao mbona sasa mateka wao huu mwaka na miez 5 kutoka masaa 72 adi wapangiwe na Hamas ndio nataka kujua ndio awa awa au story zile ni uwongo njoo utam Korea !!!!!