Iweje MOSAD, IDF, CIA, mwaka mzima wa 9kukalia Gaza wasijue mateka walipo ?

Iweje MOSAD, IDF, CIA, mwaka mzima wa 9kukalia Gaza wasijue mateka walipo ?

Wacha wee! Mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Ifakara ndani ndani huko!


Hujui kitu,ficha ujinga wako kwa kukaa kimya,inajiaibisha kuonekana kua wewe ni debe tupu.
Hujui kitu,ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya, inajiabisha (dogo hapo andika unajiabisha.hujui hata kuandika utayajua mambo ya kimataifa kweli?😁)kuonekana kua (andika KUWA)wewe ni debe tupu.

Dogo Kiswahili TU. Kinakushinda umri huo hujui kuandika. Utayaweza kweli mambo makubwa yenye uhitaji wa akili kama haya?😁
 
MOSAD, CIA, IDF

Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...

Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Ukiangalia kwa undani, utaona hawakuwa na kipaumbele hicho. Tena pengine walitaka wacheleweshe deal ili waendelee kuiteketeza Gaza kwa kisingizio cha kutafuta mateka
 
Hujui kitu,ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya, inajiabisha (dogo hapo andika unajiabisha.hujui hata kuandika utayajua mambo ya kimataifa kweli?😁)kuonekana kua (andika KUWA)wewe ni debe tupu.

Dogo Kiswahili TU. Kinakushinda umri huo hujui kuandika. Utayaweza kweli mambo makubwa yenye uhitaji wa akili kama haya?😁
Yani wewe debe tupu usiyejua kitu ndio unajiona una akili?

Unasasambua hapa kwa kuandika pumba,mwemyewe unajiona una chambua kinoma! Eti lengo lilikua sio kuokoa mateka! Yani wewe uliyepo huko Ifakara ndani ndani ndio ujue zaidi kuliko wahusika waliopo Tel Aviv ambao walisema lengo ni kuokoa mateka na kuimaliza Hamas?

Hujui kua kuna baadhi ya mateka waliokolewa na wengine waliuawa na wayahudi hao hao? Hivi unajua idadi ya IDF waliouawa? Unaijua idadi ya IDF waliopata ulemavu wa kudumu?

Akili zako za kijinga zinakuambia kua majengo yaliyokuwepo Gaza ndio yalikua threat kwa Israel security? Mbona unakua mjinga kiasi hicho?
 
Yani wewe debe tupu usiyejua kitu ndio unajiona una akili?

Unasasambua hapa kwa kuandika pumba,mwemyewe unajiona una chambua kinoma! Eti lengo lilikua sio kuokoa mateka! Yani wewe uliyepo huko Ifakara ndani ndani ndio ujue zaidi kuliko wahusika waliopo Tel Aviv ambao walisema lengo ni kuokoa mateka na kuimaliza Hamas?

Hujui kua kuna baadhi ya mateka waliokolewa na wengine waliuawa na wayahudi hao hao? Hivi unajua idadi ya IDF waliouawa? Unaijua idadi ya IDF waliopata ulemavu wa kudumu?

Akili zako za kijinga zinakuambia kua majengo yaliyokuwepo Gaza ndio yalikua threat kwa Israel security? Mbona unakua mjinga kiasi hicho?
Povu linakutoka sehemu zako zooooote za wazi. Naona umefunga na kibwaya....🤣🤣🤣🤣🤣 Leo nitayaoga matusi nitamfahamu mwajuma khanga moko ni nani. Hujui kuandika utaweza kweli ku reason mambo ya kimataifa. You cannot even write a good swahili despite of the language being your mother tongue. You will never understand what i am talking about dogo. 🤣
 
Povu linakutoka sehemu zako zooooote za wazi. Naona umefunga na kibwaya....🤣🤣🤣🤣🤣 Leo nitayaoga matusi nitamfahau mwajuma khanga moko ni nani. Hujui kuandika utaweza kweli ku reason mambo ya kimataifa. You cannot even write a good swahili despite of the language being your mother tongue. You will never understand what i am talking about dogo. 🤣
Andika kiswahili,usijilazimishe kuandika lugha usiyoijua,unaendelea tu kujiaibisha,

Yani punguani kama wewe ndio unifundishe mimi kuandika!

Naona umesha anza na kujichekesha chekesha hovyo ,au ndio unataka kukalia Muwa? Leo utakata mauno hapa mpaka ukate shanga zako za kiunoni,

Usikimbie tu.
 
Andika kiswahili,usijilazimishe kuandika lugha usiyoijua,unaendelea tu kujiaibisha,

Yani punguani kama wewe ndio unifundishe mimi kuandika!

Naona umesha anza na kujichekesha chekesha hovyo ,au ndio unataka kukalia Muwa? Leo utakata mauno hapa mpaka ukate shanga zako za kiunoni,

Usikimbie tu.
Povu linakutoka na khanga moja. Nataka utokwe povu lote leo. Niambie Mwajuma Kungwi...🤣 You cant even understand some few words of english. Show me what you learned from your parents.
 
Unaifahamu Gaza ilivyo?Gaza is most populated area .Sasa ukiingiza na zile tunnels/mahandaki ya hamas yaliyoko chini ya ardhi,sio rahisi kumpata mtu wako Gaza ambao hamas waliwatumia kama human shield, vinginevyo uamue kuwalipua hamas na kuua mateka!
Mara ngapi wameua raia kwa kudhani mateka wapo kiufupi hao jamaa uwezo wao ni wa kawaida tu!
 
Israel aliingia eneo ambalo jeshi la umoja wa mataifa lipo(demilitarized zone),wakawa wanajificha nyuma yao wasioigwe,mara kadhaa walishambulia post za wanajeshi wa UN,baada ya cease fire wameingia ndani zaidi,ni wewe usiye na vyanzo sahihi ndiyo hujui kwamba baada ya cease fire ya lebanon iliyokua inafuata ni ya Gaza, ndiyo maana hizbullah walikubali, ilikua wazi wanaowafadhili israel walitaka viishe,tena ikasemwa kabla trump hajaingia vyote viishe,na ndivyo ilivyo, netanyahu alilazimishwa kwenda ofisini na muwakilishi wa trump mashariki ya Kati siku ya jumamosi(sabato/shabath),na akaenda,na kesho yake cease fire

Hizbullah alitandika huko kaskazini makazi ya raia na kambi za kijeshi hadi raia kuhama, hizbullah hakuitisha cease fire bali israel
Usiandike sana mkuu kulazimisha watu unachoamin. Hezbollah alipoteza nusu ya silaha na chen ya commanding ndio maana walichemka mapema. Nimekuuliza kwa nini walikubali kusitisha vita kama madai yao yalikuwa bado kutimizwa unaniletea ngonjera. Hiv unajua baada ya Hezbollah kuchapwa Lebanon amepatikana rais na Syria ikachapika kirahis bado tu umelala.
 
Mbona tuliambiwa Entebe masaa 72 ilikuwa IDF hiiii makomandoo ndio awa wengine!!!!!
Entebe waliokoa mateka?
Hata hivyo Hamas walijiandaa kwa muda mrefu. Walikuwa wanajua IDF watawatafuta kila sehemu.
 
Usiandike sana mkuu kulazimisha watu unachoamin. Hezbollah alipoteza nusu ya silaha na chen ya commanding ndio maana walichemka mapema. Nimekuuliza kwa nini walikubali kusitisha vita kama madai yao yalikuwa bado kutimizwa unaniletea ngonjera. Hiv unajua baada ya Hezbollah kuchapwa Lebanon amepatikana rais na Syria ikachapika kirahis bado tu umelala.
We mbona hujui kuunganisha dots na bado unajiona mjuzi!?

Assad kung'olewa syria kunahusiana nini na hizbullah kushindwa(ikiwa kweli walishindwa)?.. assad nchi ilishamshinda,akiiendesha kwa kuuza dawa za kulevya alizotengeneza mwenyewe,wanajeshi wakilipwa dola 50 kwa mwezi,akaamua kubwaga manyanga, ndiyo maana wanajeshi wake hawakupigana bali ku-buy time

Chain of command ya hizbullah ipo intact,na inajulikana,isingekuwepo kumbe nani angefanya majadiliano ya cease fire?

Aloyeleta proposal ya kusitisha vita siyo hizbullah bali israel,na hizbullah walikua wakiendelea kushambulia israel kila siku hata kambi za jeshi kiasi raia hawakurudi kaskazini,kama silaha ziliisha,hizo walizotumia kushambulia walitoa wapi,na kwa nini israel hakuingia lebanon,maana hizbullah hawakua na silaha

Cease fire ya hizbullah na israel ilihusisha Gaza,ndiyo maana hizbullah walikubali,na mwezi mmoja baadae pakawa na cease fire Gaza

Hizbullah walimtoa mgombea uraia wao na kumuunga mkono aliyepitishwa,wangeamua kumkataa asingepita,jua vyeo vya urais,uwaziri mkuu na uspika wa bunge lebanon umegawanywa kidini
 
We mbona hujui kuunganisha dots na bado unajiona mjuzi!?

Assad kung'olewa syria kunahusiana nini na hizbullah kushindwa(ikiwa kweli walishindwa)?.. assad nchi ilishamshinda,akiiendesha kwa kuuza dawa za kulevya alizotengeneza mwenyewe,wanajeshi wakilipwa dola 50 kwa mwezi,akaamua kubwaga manyanga, ndiyo maana wanajeshi wake hawakupigana bali ku-buy time

Chain of command ya hizbullah ipo intact,na inajulikana,isingekuwepo kumbe nani angefanya majadiliano ya cease fire?

Aloyeleta proposal ya kusitisha vita siyo hizbullah bali israel,na hizbullah walikua wakiendelea kushambulia israel kila siku hata kambi za jeshi kiasi raia hawakurudi kaskazini,kama silaha ziliisha,hizo walizotumia kushambulia walitoa wapi,na kwa nini israel hakuingia lebanon,maana hizbullah hawakua na silaha

Cease fire ya hizbullah na israel ilihusisha Gaza,ndiyo maana hizbullah walikubali,na mwezi mmoja baadae pakawa na cease fire Gaza

Hizbullah walimtoa mgombea uraia wao na kumuunga mkono aliyepitishwa,wangeamua kumkataa asingepita,jua vyeo vya urais,uwaziri mkuu na uspika wa bunge lebanon umegawanywa kidini
Kwamba hujui nani alikuwa anamsaidia Assad kuendelea kuwepo utawalan sio. Kichapo alichopata hezbollah hakuwa na watu wa kutosha kumsaidia. Ndio maana hata kwenye kumteua rais wa lebanon imekuwa rais walishachakazwa siku nyingi.
 
Entebe waliokoa mateka?
Hata hivyo Hamas walijiandaa kwa muda mrefu. Walikuwa wanajua IDF watawatafuta kila sehemu.
Sijui waliokoa nini!!!!! Lkn ukisema Hamas walijiandaa nisawa lkn aliechagua vita ni NETANYAHU na IDF, Hamas walitaka kuwatumia mateka wa israel asa Wanajesh wa IDF ili tu kubadilishana na nduguzao Wapalestina waliotekwa uko Israel sio VITA. Inamana Mossad awakujua kuwa Hamas wamejipanga kiasi wakachagua vita!!!! Tukisema weupe jamaaa m'nabisha!!
 
Kwamba hujui nani alikuwa anamsaidia Assad kuendelea kuwepo utawalan sio. Kichapo alichopata hezbollah hakuwa na watu wa kutosha kumsaidia. Ndio maana hata kwenye kumteua rais wa lebanon imekuwa rais walishachakazwa siku nyingi.
Kumteua rais ni suala la kura siyo mizinga na bunduki,kura zenyewe ni za bungeni,mambo huyajui unakurupuka tu,syria assad aliambiwa na iran,akitaka Iran walete jeshi lao,akakataa, urusi wakaanza kupunguza silaha zao kupitia uturuki,wakaleta dege kubwa, assad akaingia na familia yake na mali alizoona zinatosha,akaruka mosko,watu wakachukua nchi
 
Sijui waliokoa nini!!!!! Lkn ukisema Hamas walijiandaa nisawa lkn aliechagua vita ni NETANYAHU na IDF, Hamas walitaka kuwatumia mateka wa israel asa Wanajesh wa IDF ili tu kubadilishana na nduguzao Wapalestina waliotekwa uko Israel sio VITA. Inamana Mossad awakujua kuwa Hamas wamejipanga kiasi wakachagua vita!!!! Tukisema weupe jamaaa m'nabisha!!
Ni ngumu sana kutafuta watu waliotekwa hasa kwa watekaji kama HAMAS. Unakumbuka tukio la Chibok mwaka 2014? Miaka 10 sasa mateka hawajaonekana
 
Kama niwao mbona sasa mateka wao huu mwaka na miez 5 kutoka masaa 72 adi wapangiwe na Hamas ndio nataka kujua ndio awa awa au story zile ni uwongo njoo utam Korea !!!!!
Korea kaskazini ya kiduku?
 
Ni ngumu sana kutafuta watu waliotekwa hasa kwa watekaji kama HAMAS. Unakumbuka tukio la Chibok mwaka 2014? Miaka 10 sasa mateka hawajaonekana
Haaaa Bado wanatafutwa wale wake za watu ukumbuki mmoja alitaka au wawili walilejea walipotekwa!!!!!!! .

MOSSAD NA IDF kwasasa ndio ivo Aibu yao naamini wengi wataachia ngazi kwanini walichagua vita vijana wao wengi wamekufa nasasa ndio wamejua ugumu wa GAZA!!!!! Aibu hiiii kubwa.,
 
Haaaa Bado wanatafutwa wale wake za watu ukumbuki mmoja alitaka au wawili walilejea walipotekwa!!!!!!! .

MOSSAD NA IDF kwasasa ndio ivo Aibu yao naamini wengi wataachia ngazi kwanini walichagua vita vijana wao wengi wamekufa nasasa ndio wamejua ugumu wa GAZA!!!!! Aibu hiiii kubwa.,
Waliamua kupigana ili wasionekane wanyonge na kulipiza kisasi kwa watu 1200 waliouawa
 
MOSAD, CIA, IDF

Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...

Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
wale wanaume wa Hamas achana nao kabisa wako.very disciplined AND very organized despite the fact they are poorly funded and lacking neccessary equipment.

Halafu hio.gaza yenyewe ni blockade territory hakiingii wala kutoka kitu mpaka kwa ruhusa ya Mazayuni.

chengine wale mateka wote wameachiwa wakiwa na hali.nzuri ya kiafya na kisaikolojia ina maana eneo.walilokuwepo lilikua halina purukushani yoyote ya kivita na ODF WALIKUA BUSY KUUA WANAWAKE NA WATOTO HUKU WAKIWAKWEPA WANAUME WA HAMAS
 
Waisrael weusi wa Nyashishi, Bunda. uyole, Kwimba, Makete. Rombo. Maramba mawili, Kubugumo. Wanajiliwaza kila mmoja anakuja na tamko lake uzuri wanakubaliana pumba zote wanazo ongea.😂
 
Back
Top Bottom