Ata mm nawashangaa uhai wa binadam umepotea wao!!!!! wanakwambia ona majengo ona GAZA vile yalivo sisi tumeona GAZA sawa pia tumeona Los Angeles eneokubwa kuliko GAZA limebomolewa na MOTOYani wewe debe tupu usiyejua kitu ndio unajiona una akili?
Unasasambua hapa kwa kuandika pumba,mwemyewe unajiona una chambua kinoma! Eti lengo lilikua sio kuokoa mateka! Yani wewe uliyepo huko Ifakara ndani ndani ndio ujue zaidi kuliko wahusika waliopo Tel Aviv ambao walisema lengo ni kuokoa mateka na kuimaliza Hamas?
Hujui kua kuna baadhi ya mateka waliokolewa na wengine waliuawa na wayahudi hao hao? Hivi unajua idadi ya IDF waliouawa? Unaijua idadi ya IDF waliopata ulemavu wa kudumu?
Akili zako za kijinga zinakuambia kua majengo yaliyokuwepo Gaza ndio yalikua threat kwa Israel security? Mbona unakua mjinga kiasi hicho?
lkn tunaamini uko kote kutajegwa je uhai wanajesh waliokufa mateka waliokufa kwann tangu mwanzo wasikubali Dili na Hamasi apo ndio utajua waisrael waliwekeza kwenye MEDIA lkn niwatu Duni kiakili!!!!!!! Hii Vita wameumbuka sana ndiomana wengi wanaachia ngazi wameumbuka Weupe sana akuna cha IDF
kaeneo kapo jilan yako unasaidiwa na majesh kutoka inje ya Israel GAZA tu!!!! Pengine sasa marekani watawaza waweke kambi ya kudumu apo Israel ya
majesh washilika mbwembwe za MEDIA zimekufa zimezikwa,,!!!!
Eti aliwapiga Waarabu kwa siku6 Kwa wale wasiojua MISRI ndio Taifa lenye jesh kubwa lenye kuogopwa na Waarabu wote Pia ndio nchi yenye idadi kubwa ya Waraabu
Ndio mana Marekani ili Israel iwe Salama ilibidi wawaweke mfukoni MISRI Afungenae Mkataba ambao unaifanya MISRI kuwa nchi ya pili Duniani kupokea msaada mkubwa kutoka marekani baada ya Israel
wenye kutafsiri mnaweza kufanya ivo kumbe MISRI inapewa rushwa miaka kwa miaka ili Israel ipate Aman walijua kuishika MISRI ndio umewashika Waarabu Wote,,
lkn sasa kuna IRAN mwiba mpya kwa usalama wa israel IRAN ataki rushwa kazi wanayo watazika IDF adi wakimbie mashariki ya kati !!!!!
Serikali ya MISRI aipendi vuguvugu la Iran inajua mwisho wake israel inaweza kusepa nawao ile mipesa kila mwaka nayo itasepa!!!!