Iweje MOSAD, IDF, CIA, mwaka mzima wa 9kukalia Gaza wasijue mateka walipo ?

Iweje MOSAD, IDF, CIA, mwaka mzima wa 9kukalia Gaza wasijue mateka walipo ?

Yani wewe debe tupu usiyejua kitu ndio unajiona una akili?

Unasasambua hapa kwa kuandika pumba,mwemyewe unajiona una chambua kinoma! Eti lengo lilikua sio kuokoa mateka! Yani wewe uliyepo huko Ifakara ndani ndani ndio ujue zaidi kuliko wahusika waliopo Tel Aviv ambao walisema lengo ni kuokoa mateka na kuimaliza Hamas?

Hujui kua kuna baadhi ya mateka waliokolewa na wengine waliuawa na wayahudi hao hao? Hivi unajua idadi ya IDF waliouawa? Unaijua idadi ya IDF waliopata ulemavu wa kudumu?

Akili zako za kijinga zinakuambia kua majengo yaliyokuwepo Gaza ndio yalikua threat kwa Israel security? Mbona unakua mjinga kiasi hicho?
Ata mm nawashangaa uhai wa binadam umepotea wao!!!!! wanakwambia ona majengo ona GAZA vile yalivo sisi tumeona GAZA sawa pia tumeona Los Angeles eneokubwa kuliko GAZA limebomolewa na MOTO

lkn tunaamini uko kote kutajegwa je uhai wanajesh waliokufa mateka waliokufa kwann tangu mwanzo wasikubali Dili na Hamasi apo ndio utajua waisrael waliwekeza kwenye MEDIA lkn niwatu Duni kiakili!!!!!!! Hii Vita wameumbuka sana ndiomana wengi wanaachia ngazi wameumbuka Weupe sana akuna cha IDF

kaeneo kapo jilan yako unasaidiwa na majesh kutoka inje ya Israel GAZA tu!!!! Pengine sasa marekani watawaza waweke kambi ya kudumu apo Israel ya
majesh washilika mbwembwe za MEDIA zimekufa zimezikwa,,!!!!

Eti aliwapiga Waarabu kwa siku6 Kwa wale wasiojua MISRI ndio Taifa lenye jesh kubwa lenye kuogopwa na Waarabu wote Pia ndio nchi yenye idadi kubwa ya Waraabu

Ndio mana Marekani ili Israel iwe Salama ilibidi wawaweke mfukoni MISRI Afungenae Mkataba ambao unaifanya MISRI kuwa nchi ya pili Duniani kupokea msaada mkubwa kutoka marekani baada ya Israel

wenye kutafsiri mnaweza kufanya ivo kumbe MISRI inapewa rushwa miaka kwa miaka ili Israel ipate Aman walijua kuishika MISRI ndio umewashika Waarabu Wote,,

lkn sasa kuna IRAN mwiba mpya kwa usalama wa israel IRAN ataki rushwa kazi wanayo watazika IDF adi wakimbie mashariki ya kati !!!!!

Serikali ya MISRI aipendi vuguvugu la Iran inajua mwisho wake israel inaweza kusepa nawao ile mipesa kila mwaka nayo itasepa!!!!
 
Hata kama ilirokea bu i was too cosmetic na sifa za uongo nyingi
Ndio icho nilichomaanisha tukio lile walilipamba sana masaa72 na mengine sasa mbona kizazi chetu atuoni zile story tulizozisoma
huu mwaka na miez5 mala Netanyahu anaweka pesa mezani kwa kila Mateka m 1
kaona kimya sijui Netanyahu alidhani kuuwa viongozi wa Hamas kutabadili mkondo wa matakwa ya Hamas ndio akaweka pesa mezani

kuona kimya mwisho ndio kaja kule kule viongozi wa mwanzo walichotaka kuachia ndugu zao uko Israel sio pesa mana wanateswa sana na Magaid ya Israel,,!!
 
Waisrael weusi wa Nyashishi, Bunda. uyole, Kwimba, Makete. Rombo. Maramba mawili, Kubugumo. Wanajiliwaza kila mmoja anakuja na tamko lake uzuri wanakubaliana pumba zote wanazo ongea.😂
Ndio shida za awa jamaa ukija kwenye ukweli viongozi wengi wa ISRAEL wapo kwenye mkondo wa kujiuzulu lkn awa wenzetu wanakwambia waisrael wameshinda utasikia ona GAZA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
MOSAD, CIA, IDF

Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...

Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Unaamini kabisa walikuwa hawajui walipo? Hiyo ni michezo kwenye medani za vita
 
Waliamua kupigana ili wasionekane wanyonge na kulipiza kisasi kwa watu 1200 waliouawa
Mkuu awa 1200 imeshabainika niwao wenyewe Al jazeera walitoa lipot ya uchunguzi
inakuonesha ni ndege ndio ilitumika kuuwa watu wengi zaid lkn awakujua kama kulikuwa na ile fiesta karibu na Gaza jamaa kwenye ndege walidhani wate wale ni HAMAS
na yale magari vile pia Hamas waliyatumia kuwabebea mateka Wachunguzi Wanaamini IDF ingetumia jesh la ardhi pekeyake kwa muda ndege zingetumika kwanza kusoma mchezo sio kushambulia
vile vifo kutoka 1200 ingekuwa 100 tu awa Mia 100 ni baadhi ya askari waliokuwepo kwenye ile fiesta na IDF ambao awakuwa zamu lkn walikuwa na siraha kwenye magari yao ivo walianza mapambano na Watekaji
watu kwenye lile tamasha ndio waliokufa lkn uko mitaani Hamas awajauwa mtu yoyote zaid ya kuwateka tu
au kuwawacha kama yule mama alikuwa na pacha yeye mwenyewe alisimulia akuona mtu akipigwa fisasi. Ata yeye aliachwa sababu ya watoto alikuwa ananyonyesha
tunakumbuka yupo Mama mmoja alichukuliwa pia na watoto Mapacha adi GAZA
Hamas baadae walimwachia bila chochote na mjuba wa Hamas akamsaidia kumbebea watoto adi karibu kabisa na mpaka wa Israeli na Gaza ndio akamwacha akachukuliwa na IDF

So waisrael wenyewe ndio Wakulaumiwa kwanza ubabe wao wakijinga kuwateka Wapalestina kike kuume adi watoto zaid ya 10000+ kuwarundika kwenye jela yenye mateso ubakaji kuwalawiti wanaume

huu ndio UGAID ndio chanzo kikuu cha 7octb tena namna wamejibu tukio likawa la maafa kwao baada ya Dili hii wamefunga mkataba awatowateka tena Wapalestina
lkn kibri chao kinaweza kuwafanya wawateke tena na apo sio ajabu ikaja
7 October mpya.
Wao wanambinu na HAMAS wanambinu pia!!!!!! Israel inalingia marekani na washilika w Ulaya na India uku Palestina ikiwa na Iran na walimwengu wote

Ata JEHOVA wapo upande wa Palestine kwenye mioyo yao lkn mdomoni ndio wanawapinga wafilistin awa mashoga kutoka Ulaya nani awaunge ukono mm naamin wakila kibano mashoga mioyo yao inasema piga mashoga ao !!!!!!!!!!!
 
MOSAD, CIA, IDF

Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...

Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Hata wakijua hawana la kufanya, maana hakuna jambo gumu kwenye hizi operation za kijeshi kama kuokoa mateka akiwa hai , ugumu wa hizi operation ni kwamba wewe mwenyewe mwanajeshi unatakiwa kuwa hai na mateka kuwa hai wakati huo Hamas wanakuvizia kukuua
 
Sasa kama unajua mateka wako salama wanakula mboga Saba na kupewa nguo mpya Kila kukicha ya nini uhangaike kuwa tafuta wao waliendelea kutest missiles na bunduki mpya Kila kukicha
Hapa Hamasi wamepoteza sana
 
Back
Top Bottom