Iweje MOSAD, IDF, CIA, mwaka mzima wa 9kukalia Gaza wasijue mateka walipo ?

Iweje MOSAD, IDF, CIA, mwaka mzima wa 9kukalia Gaza wasijue mateka walipo ?

Mbona tuliambiwa Entebe masaa 72 ilikuwa IDF hiiii makomandoo ndio awa wengine!!!!!
Entebe watu walifungiwa kwenye hall pamoja na hakukuwepo raia. We jiulize namna hezbollah ilivyobakwq people. Wakanyea asubuhi
 
70% ya waathirika ni mama na watoto hivyo Hamas kama Hamas still wanaexist ile haikuwa vita ila ni uhalibifu wa humanity na Mali we angalia wakati mateka wanaachiwa utaona Hamas Tena in full combat
Ndo chaajabu nilichokishangaa, Hamas inaonekana bado inaaskari wa kuitisha mpaka nkajiuliza kumbe Hawa Israel Gaza waliikaliaje
 
Unadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
Hivi inakuwaje sasa hivi israel analipua west bank yaan amehama gaza wanako badilishana wafungwa kahamia west bank.. akitoka kule atatafuta sababu ya kuendelea kuilipua mabom gaza
 
Hivi inakuwaje sasa hivi israel analipua west bank yaan amehama gaza wanako badilishana wafungwa kahamia west bank.. akitoka kule atatafuta sababu ya kuendelea kuilipua mabom gaza
Anapiga kwa malengo ili kuua miundombinu yote ya kigaidi.
 
Unadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
Muisrael wa Kwamparange
 
MOSAD, CIA, IDF

Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...

Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Na wewe unaamini walikuwa hawajui? Itachukuwa muda kuelewa
 
MOSAD, CIA, IDF

Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...

Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Hawawezi kujua kila kitu
 
Don't waste your time arguing with a fool..!
Mtu hata kuandika sentesi ya kiswahili fasaha ina mshinda wa Nini ?
Story tu ushahidi tumeona kumbe wanajeshi wengi wametekwa gaza du
 
Unaweza kujua walipo lakin unaweza usiweze kuwatoa kwa usalama wao
Ni kweli kabisa na vita sio kitu cha kukurupuka kama tunavyo fikiria humu jukwaani, kila mmoja ana mbinu zake na mahesabu yake ktk medani za vita, kikibwa wamepatikana salama na msisitizo uwepo kwenye kusimamisha mapigano moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom