Entebe watu walifungiwa kwenye hall pamoja na hakukuwepo raia. We jiulize namna hezbollah ilivyobakwq people. Wakanyea asubuhiMbona tuliambiwa Entebe masaa 72 ilikuwa IDF hiiii makomandoo ndio awa wengine!!!!!
Ndo chaajabu nilichokishangaa, Hamas inaonekana bado inaaskari wa kuitisha mpaka nkajiuliza kumbe Hawa Israel Gaza waliikaliaje70% ya waathirika ni mama na watoto hivyo Hamas kama Hamas still wanaexist ile haikuwa vita ila ni uhalibifu wa humanity na Mali we angalia wakati mateka wanaachiwa utaona Hamas Tena in full combat
Hivi inakuwaje sasa hivi israel analipua west bank yaan amehama gaza wanako badilishana wafungwa kahamia west bank.. akitoka kule atatafuta sababu ya kuendelea kuilipua mabom gazaUnadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
Anapiga kwa malengo ili kuua miundombinu yote ya kigaidi.Hivi inakuwaje sasa hivi israel analipua west bank yaan amehama gaza wanako badilishana wafungwa kahamia west bank.. akitoka kule atatafuta sababu ya kuendelea kuilipua mabom gaza
Kwann hezbollah walishindwa vita!???Entebe watu walifungiwa kwenye hall pamoja na hakukuwepo raia. We jiulize namna hezbollah ilivyobakwq people. Wakanyea asubuhi
Muisrael wa KwamparangeUnadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
Na wewe unaamini walikuwa hawajui? Itachukuwa muda kuelewaMOSAD, CIA, IDF
Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...
Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Nakuona Mpalestine wa Makunduchi.Muisrael wa Kwamparange
Yes. Israel wanataka wapanue eneo zaidi.Wanataka ardhi hawataki watu.
Don't waste your time arguing with a fool..!Swali ni je unabisha hiyo mission haikutokea?
Hawawezi kujua kila kituMOSAD, CIA, IDF
Pamoja na drones na missiles za kupindua ma jengo, ardhi, mifereji, mashimo, juu chini chini juu...
Ikawaje washindwe kujua walipohifafhiwa wenzao mpaka wawe humuliated kwa kukubali waonyeshwe ?
Kwa hiyo hata MOSAD hawajui kama mateka wapo Iran hadi waamue kwenda kuwatafuta Gaza ?Mateka hawapo Gaza wapo Iran!; muda utasema..
Tuliambiwa Allah akbar toka ule uvamizi wa oktoba 7 imekuwaje tena kashindwa hadi Gaza imekuwa magofu?!Tuliambiwa majasusi wa Israel ni moto wa kuotea mbali.
Ujasusi wao kumbe una limitation ?
Hahahahaa mzee unauliza makofi policeKwann hezbollah walishindwa vita!???
Unawasikia watt wa bwana hao ety anapiga kwa malengo dahAnapiga kwa malengo ili kuua miundombinu yote ya kigaidi.
Story tu ushahidi tumeona kumbe wanajeshi wengi wametekwa gaza duDon't waste your time arguing with a fool..!
Mtu hata kuandika sentesi ya kiswahili fasaha ina mshinda wa Nini ?
Another foolStory tu ushahidi tumeona kumbe wanajeshi wengi wametekwa gaza du
Ni kweli kabisa na vita sio kitu cha kukurupuka kama tunavyo fikiria humu jukwaani, kila mmoja ana mbinu zake na mahesabu yake ktk medani za vita, kikibwa wamepatikana salama na msisitizo uwepo kwenye kusimamisha mapigano moja kwa moja.Unaweza kujua walipo lakin unaweza usiweze kuwatoa kwa usalama wao