ni mtazamo wako ila haikuwa hivyoUnadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
We jamaaa ungekuwa mmiliki wa JF ingekuwaje utakuwa michango yangu inakukwaza mana mm sipendi WANAFIKI propaganda za kijinga jinga pole ikiwa kunaseem nakukwaza. Muimu mkipunguza propaganda za uwongo na mm nitakosa cha kuwajibu Sijawai leta uzi wa kashfa au propaganda kwa yoyote taasisi yoyote!!! Uwe mpole hiii ndio JAMII FORUMS,Don't waste your time arguing with a fool..!
Mtu hata kuandika sentesi ya kiswahili fasaha ina mshinda wa Nini ?
Watu wapo Gaza hapohapoHata unayedhani hamnazo huwa anabakiwa na za kuvukia relini.Hamas wakishirikiana na marafiki zao wanajua walipowaficha mateka.Na inaweza ikawa si Gaza.
Hizbullah ilibakwa!?..unaatazama media gani?Entebe watu walifungiwa kwenye hall pamoja na hakukuwepo raia. We jiulize namna hezbollah ilivyobakwq people. Wakanyea asubuhi
Yaan ilibemendwa. Kabla hata vita haijaanza nusu ya wanajesh wake walikuwa hospital kwa vifo au vilema. Wamekuja kustuka viongoz wote wameliwa Vichwa . Kabla walisema hawatasitisha vita mpaka vita iishe Gaza. Lakin maji yalivyowafika shingoni wakaomba poo. Na kwa taarifa yako wamerudi nyuma mpaka kuvuka mtu litani. Na Israel mpaka leo hajatoa jesho Lebanon. Na wakawa wapole na kichapo kikawa kinaendelea Gaza kama kawa.Hizbullah ilibakwa!?..unaatazama media gani?
Wacha weee! mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Ifakara ndani ndani huko.Unadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
Swali ni je unabisha hiyo mission haikutokea?
Kaskazini ya israel si ilihamwa?.. tatizo lilikua nini?..waliolipukiwa na pagers hawazidi elfu tano, hizbullah ina askari laki na ushee,hao israel miezi miwili huko lebanon hawakusogea hata 5km ndani, israel ashinde vita halafu akubali kusitisha mapigano?!..aloyeleta proposal ya kusitisha vita ni israel na si hizbullah, hizbullah wao wàlisema atakayelia mwanzo ndiye atayeomba vita viishe, makubaliano ilikua kumaliza vita Gaza, ndiyo maana ilianza lebanon kisha imefuata gazaYaan ilibemendwa. Kabla hata vita haijaanza nusu ya wanajesh wake walikuwa hospital kwa vifo au vilema. Wamekuja kustuka viongoz wote wameliwa Vichwa . Kabla walisema hawatasitisha vita mpaka vita iishe Gaza. Lakin maji yalivyowafika shingoni wakaomba poo. Na kwa taarifa yako wamerudi nyuma mpaka kuvuka mtu litani. Na Israel mpaka leo hajatoa jesho Lebanon. Na wakawa wapole na kichapo kikawa kinaendelea Gaza kama kawa.
Hii comment inafaa zaidi kupelekwa jukwaa la JF Chit-Chat & Jokes,huko ita fit zaidi kuliko hapa.Yaan ilibemendwa. Kabla hata vita haijaanza nusu ya wanajesh wake walikuwa hospital kwa vifo au vilema. Wamekuja kustuka viongoz wote wameliwa Vichwa . Kabla walisema hawatasitisha vita mpaka vita iishe Gaza. Lakin maji yalivyowafika shingoni wakaomba poo. Na kwa taarifa yako wamerudi nyuma mpaka kuvuka mtu litani. Na Israel mpaka leo hajatoa jesho Lebanon. Na wakawa wapole na kichapo kikawa kinaendelea Gaza kama kawa.
Mzee wewe umelala wapi. Kuhamisha watu si ndio kujali watu wako au ulitaka wakae hapo kwenye makombora. Zile pages ziliua wengi kuliko walivyokuwa wamekadiria kwa taarifa yako na ukisema Israel haikusogeq hata kilometa moja unachekesha. Kwahiyo hizo batalian zilizoko huko Lebanon ziko 0 kilometa sio. Acha ushabiki wa kidin mzee. Jamaa walianza kurusha makombora kuwa wanawasaidia palestina ilikuwaje dai lao halijaisha wakakubali kusitisha vita wakat huo viongoz wote washafyekwa na commanding chen yote imeangamizwa. Walibakwa kweupee. Na jana Israel kasema hatoi jeshi LebanonKaskazini ya israel si ilihamwa?.. tatizo lilikua nini?..waliolipukiwa na pagers hawazidi elfu tano, hizbullah ina askari laki na ushee,hao israel miezi miwili huko lebanon hawakusogea hata 5km ndani, israel ashinde vita halafu akubali kusitisha mapigano?!..aloyeleta proposal ya kusitisha vita ni israel na si hizbullah, hizbullah wao wàlisema atakayelia mwanzo ndiye atayeomba vita viishe, makubaliano ilikua kumaliza vita Gaza, ndiyo maana ilianza lebanon kisha imefuata gaza
Ushabiki wa kidini uko wapi hapo? ni wapi ametaja dini? kumbe wewe unapayuka havyo matapishi yako hapa ukiamini kua hao wayahudi ni Dini yako? coz mtu akiwazacho ndicho anacho kiandika,punguza spidi coz unajiweka wazi kabisa jinsi usivyokua na taarifa sahihi.Mzee wewe umelala wapi. Kuhamisha watu si ndio kujali watu wako au ulitaka wakae hapo kwenye makombora. Zile pages ziliua wengi kuliko walivyokuwa wamekadiria kwa taarifa yako na ukisema Israel haikusogeq hata kilometa moja unachekesha. Kwahiyo hizo batalian zilizoko huko Lebanon ziko 0 kilometa sio. Acha ushabiki wa kidin mzee . Jamaa walianza kurusha makombora kuwa wanawasaidia palestina ilikuwaje dai lao halijaisha wakakubali kusitisha vita wakat huo viongoz wote washafyekwa na commanding chen yote imeangamizwa. Walibakwa kweupee. Na jana Israel kasema hatoi jeshi Lebanon
Bado swali halijajibiwa. Je unabisha kuwa Israel haikufanya operation pale Entebbe?IDF ya Entebe ndio hii hii ya Gaza ?
Hamas wana teknolojia gani ya ku scrumble (kuvuruga) mashine za IDF za kugundua binadamu walipofichwa ?
Ina maana kina Anwar wangejificha na mateka wasingepatikana!
Ni kweli lakini itachukua muda sanaKama niwao mbona sasa mateka wao huu mwaka na miez 5 kutoka masaa 72 adi wapangiwe na Hamas ndio nataka kujua ndio awa awa au story zile ni uwongo njoo utam Korea !!!!!
Tupe hizo taarifa sahihi. Watu wamekaliwa mpaka leo unasema kashindaUshabiki wa kidini uko wapi hapo? ni wapi ametaja dini? kumbe wewe unapayuka havyo matapishi yako hapa ukiamini kua hao wayahudi ni Dini yako? coz mtu akiwazacho ndicho anacho kiandika,punguza spidi coz unajiweka wazi kabisa jinsi usivyokua na taarifa sahihi.
Wewe umesha jikoki kubishana na haupo tayari kujadili uhalisia,take a rest kisha urudi tena hapa,Tupe hizo taarifa sahihi. Watu wamekaliwa mpaka leo unasema kashinda
Sasa kubadilishana mateka si kunawapa leverage Hamas? Mbona westbank hakuna mateka ila bado panashambuliwa kila siku.Unadhani hata walikuwa wanawatafuta? Wale washenzi walikuwa wanataka sababu ya kuichakaza Gaza. So wakaona hicho ndo kiwe kisingizio. Watu walishaisoma mchezo wao. Sasa kaiangalie Gaza. Waangalie Hamas, waangalie Hizbullah. Pamoja na kusign mipango ya amani Mayahood yanaendelea kuipiga Gaza daily. Yaani mpaka nasema jamani inatosha. Tumeelewa.
Bi Asusa! msikilizaji wa masuala ya kishakunaku kutoka makunduchi ndani ndani huko.Wacha weee! mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Ifakara ndani ndani huko.
Unaona eeeeh...sasa umenielewa. Walikuwa na lengo jingine zaidi si mateka. Ndo maana nlisema kuwa hawa mabingwa walikuwa na lao jambo.Sasa kubadilishana mateka si kunawapa leverage Hamas? Mbona westbank hakuna mateka ila bado panashambuliwa kila siku.
Israel aliingia eneo ambalo jeshi la umoja wa mataifa lipo(demilitarized zone),wakawa wanajificha nyuma yao wasioigwe,mara kadhaa walishambulia post za wanajeshi wa UN,baada ya cease fire wameingia ndani zaidi,ni wewe usiye na vyanzo sahihi ndiyo hujui kwamba baada ya cease fire ya lebanon iliyokua inafuata ni ya Gaza, ndiyo maana hizbullah walikubali, ilikua wazi wanaowafadhili israel walitaka viishe,tena ikasemwa kabla trump hajaingia vyote viishe,na ndivyo ilivyo, netanyahu alilazimishwa kwenda ofisini na muwakilishi wa trump mashariki ya Kati siku ya jumamosi(sabato/shabath),na akaenda,na kesho yake cease fireMzee wewe umelala wapi. Kuhamisha watu si ndio kujali watu wako au ulitaka wakae hapo kwenye makombora. Zile pages ziliua wengi kuliko walivyokuwa wamekadiria kwa taarifa yako na ukisema Israel haikusogeq hata kilometa moja unachekesha. Kwahiyo hizo batalian zilizoko huko Lebanon ziko 0 kilometa sio. Acha ushabiki wa kidin mzee. Jamaa walianza kurusha makombora kuwa wanawasaidia palestina ilikuwaje dai lao halijaisha wakakubali kusitisha vita wakat huo viongoz wote washafyekwa na commanding chen yote imeangamizwa. Walibakwa kweupee. Na jana Israel kasema hatoi jeshi Lebanon
Wacha wee! Mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Ifakara ndani ndani huko!Unaona eeeeh...sasa umenielewa. Walikuwa na lengo jingine zaidi si mateka. Ndo maana nlisema kuwa hawa mabingwa walikuwa na lao jambo.