Jack Pemba na jeuri ya fedha

Hayo mambo ya kishamba hata huku machimboni yanafanywa na kila mchimbaji akizipata.
 
Trump akituambia ukweli kuwa waafrika tunatakiwa kutawaliwa tena tunaona tunatukanwa
Namuombea usiku na mchana ashinde uraisi Marekani ukiunganisha na Magufuri mbona tutafurahi.
 
Tunapeleka bank tunawauzia
Unaweza kunielewesha kidogo?!


Yaani napata kwa mchangamanuo....... gani Ina maana dola.. Zinanunuliwa kwa ukubwa let's say 1dala[emoji15] na 100 dalaz Zina tofauti ya bei.?!!!
 
Unaweza kunielewesha kidogo?!


Yaani napata kwa mchangamanuo....... gani Ina maana dola.. Zinanunuliwa kwa ukubwa let's say 1dala[emoji15] na 100 dalaz Zina tofauti ya bei.?!!!
Mi najua ukipeleka bank wanakukata some percent sina uhakika sanaaaa .. Ila kama una pesa iliyochakaa peleka bank
 
Haha ha upuuz tu Utakuta kwao wanashindia mihogo na kachumbari kama Padre slaa ni musenge tu
Sasa shangazi mbona unatutusi siye watu wa shamba tunalima mihogo tunauza mihogo na tuna kula mihogo
Eti kosa liko wapi.
Changia mada au pita tuu kana huna lakusema usiseme,
 
Sasa shangazi mbona unatutusi siye watu wa shamba tunalima mihogo tunauza mihogo na tuna kula mihogo
Eti kosa liko wapi.
Changia mada au pita tuu kana huna lakusema usiseme,
Wewe ni na Jacky pemba
Dr slaa ama vepeeee.. [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] nimesema nililosema kuchukua.... hawa mbululaz wanaomkufuru Mungu..... Halafu na ww unataka kujitia kwenye kundi lao wakati we maskini tu..... Mchewwww. Au unatangaza beshara ya ming'oko[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] kausha. Wacha ligi za kimaandazi
 
Jack pemba ni mtanzania???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…