Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Hapa kuna nyimbo harmonize anataka atoeView attachment 446891
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......
Au Harmonize atakuwa ameletewa mchumba kutoka nanjilinji sasa imelazika amuache huyu....kaletewa mtoto aliyechezwa wiki nzima.... teh tehTeh sijui kwanini hawampi kibendi, sijui hawana shabaha
Hapa kuna nyimbo harmonize anataka atoe[/QUOTE
pengine............
Etiiii jamani, anakimbiwa kila siku ana nyota ya riadha tehh
hahahahah namuonea huruma sana huyu binti maana anaachwa sana kila leo yeye
We mgonjwa wewe
Harufu mbaya!!!!! KhaaaaaYaani kama ni ugonjwa nahisi nina kansa ya hiyo harufu
2c! 2cs or ma-2c? which's correct?Etiiii huwa ana fish fish downstair inasemekanaaaaaa
Hivi Mungu anahusikaje kwenye uzinzi?Bratt alimuacha Jeniffa, nae Bratt akaachwa na Anjelina, cha ajabu nini? Jacklin atampata aliyepangiwa na Mungu wake.
labda ametahiriwaView attachment 446891
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......
jaaAlikuwa mshabiki wa EDO lakini ghafla siku hizi karudi CCM
Naona Mbege imeshika hatamu, majibu kantuWaziri wa fedha
Raisi wa Vietnam mkuuNdio nani huyu?!
Ndio Rodrigo Duterte huyu?!Raisi wa Vietnam mkuu
Ewala mkuu sawa sawa upo sahihi kabisaNdio Rodrigo Duterte huyu?!