Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Kwa kweli hiyo ni roho ya ukatili roho mbaya kabisa kila kitu urithi wewe! Wewe ulimuona huyo Mzee ana kila kitu amechuma na mke mkubwa yaani wewe uchukue tu...
Ila sheria nazo zinatakiwa kubadilishwa zaingalie muda ambao mwenza amekaa na mwezie kwenye ndoa. Siyo fair kabisa mwanamke aolewe na tajiri waishi miaka michache halafu akifa arithi kila kitu
 
Kama nimeelewa hoja za jack za kukata rufaa ni kutaka wosia wa mengi ule wa mwanzo ndo utumike

Yote kwa yote jack hawezi kukosa chochote maana ana watoto wa mengi wawili, kama mengi kaacha watoto 4 wanaofahamika na wale watoto mapacha wapo ndani ni lazma watakuja kugawana sawa na ndugu zao.je mama yapo hatopata ?

na ukiangalia mzee Mali zake kila siku zinaongezeka
Sasa kati yako wewe na Mahakama Kuu kisha Mahakama ya Rufani nani mwenye kujua kuitafsiri vizuri sheria? Unadhani hawakuangalia angle zote hadi wanatoa hukumu? Bahati mbaya sana kwake safari yake ya kuisaka hiyo haki ndiyo imegota.
 
Na yeye kafariki usiku wa kuamkia jana.Wanazika jioni hii.Kwa hiyo mama na watoto wote watatu wamefariki
Daaahh...aseehhh...!!!huzuni kwao kapoteza kizazi chote@Victoire hapo ndo kaeleza ilivokua Kuna family haziingiliwi jamani kwenye mambo ya mirathi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo wewe.hawazalishi?
Mzee mengi Mali zake zipo tu hata akilala mipesa inaingia.
Tuache unafiki.unajua utajiri wa mzee mengi?acha mzaha wewe
 
amekosea mambo ya sheria ya affidavit, anaweza kuomba extension time to rectify the kasoro and to file again....!
 
Kwa hiyooo.. alitaka akimbie nchi? hakuna kutoroka....
Dubai kuna Bwanake. Hata alipokuwa huko marehemu alikuwa anamwacha Mzee mgonjwa anaenda kwa Bwanake. Familia ilipojulishwa kuwa bana Hali iko hatsrini waliosafiri kimyakimya mpaka hospitali hawakumkuta Danga. Wakampigia simu haikupatokana. Yaani hili ni international Danga.
 
Hapa swala la watoto kupata mgao wao lipo wazi na hakuna anaekataa.Mgogoro hapa ni ule usanii wa ule Wosia,why Jack alitaka kuwaondoa kabisa watoto wa Mzee wale wakubwa?

Alikuwa anafikiria nini hasa kichwani kwake? Umeona Mahakama inavyoweza kukuonyesha kuwa ulichotaka kufanya was totally wrong.Yeye Mjane atapata haki yake kulingana na muda aliokaa na Mumewe lakini pia kwa kuzingatia kile alichochuma na Mzee tu.Kumbuka mali nyingi amezikuta tayari zipo.IPP ameikuta Bonite kaikuta,na nyingine nyingi tu.

Atulie sasa asubiri kupata haki yake.Waliokuwa wanamdanganya nadhani sasa amejifunza kuwa mambo si rahisi kama alivyokuwa anafikiria.
 
Tatozo Jack amei
Aliidhalilisha hii familia. Yaani amelikoroga mwenyewe Ila kwa kuwa waliambiwa warudi Wakae mezani wakubaliane ni kipi cha kugawa na kipi cha kubaki kuendeleza business legacy ya Mzee basi Ngoja tusubiri. Ila kwa kuwa wameshakosana basi Jack atulie apewe chochote.

By the way ana nyumba kinondoni anakoishi ni yake. Japo ilikuwa na mkopo ila ninaamini iko free sasa.
 
Sasa hyo mirathi miaka yote inasubiri nini kugaiwa?
Hao Nia yao wanataka kmdhulumu jack na watoto wake.ndo maana walikataa kuwalipia ada
 
Daaahh...aseehhh...!!!huzuni kwao kapoteza kizazi chote@Victoire hapo ndo kaeleza ilivokua Kuna family haziingiliwi jamani kwenye mambo ya mirathi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna mtoto mmoja wa kiume amebaki kati ya wale aliozaa na huyu mumewe wa sasa,yupo Marekani anasoma.Nadhani atakuwa amekuja kwenye misiba ya ndugu zake.

Ni kweli ukikuta watu wamechuma mali zao za familia uwe na adabu.Ukijifanya mjuaji ndiyo hayo sasa yanakuja kukutokea.
 
Duh

Ova
 
Huyu mwanamke alishindwa kula na kipofu
Kabisa mkuu. Yaani ningetulia tuli. Yaani walipokataa wosia kabla ya kwenda mahakami ningekubaliana tu kuwa Mzee alikosea hivyo.twende tukagawane inavyofaa. Yaani angetoka hapo na Mali ya kutosha na monthly allowance ya nguvu na watoto kusomeshwa.

Acha aisome namba
 
Sasa hyo mirathi miaka yote inasubiri nini kugaiwa?
Hao Nia yao wanataka kmdhulumu jack na watoto wake.ndo maana walikataa kuwalipia ada
Sasa wangegawaje wakati kutwa Bibie alikuwa anaranda randa viunga vya Mahakama kutaka ule wosia wake ndiyo utambuliwe? Kwakuwa mambo yamekwisha,sasa ile hukumu ya mwanzo iliyowatambua Abdiel na Benjamin kuwa ndiyo wasimamizi wa mirathi itafanya kazi na mali zitagawanywa.
 
Hapo kazi wanayo.tena watoto mapacha kila mtoto na urithi wake,na mama yao urithi wake.
Mengi alijua kulitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…