babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Anapambana na hali yake,Mjane wa mrema vp
Labda hata senti zenyewe za kugombea zishaisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapambana na hali yake,Mjane wa mrema vp
Swadakta,Kinje huyo nadhani enzi hizooo...mjanja mjanja sana Jacky Toka enzi hizooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na yeye kafariki usiku wa kuamkia jana.Wanazika jioni hii.Kwa hiyo mama na watoto wote watatu wamefarikiNaujua msiba TU kuhusu Mali sijui walikua wanatoka Kibaha kwenye graduu wamepata ajali wotee wamekufa naskia mmoja Yuko ICU
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.
Shida inaonekana upande wa Mengi wanamzingua. Unakumbuka waligoma kuwasomesha watoto wa Jack?
Mzee mengi alimfumania mkewe.hii stori uwa haisemwi Sana.
Na nimemuuliza huyo jamaa mengi alikuwa na ndoa ipi wakati alishaachana na mkewe alipomfumania
Jazia jazia nyama Da Victoire, ilitoke lini hiyo ajali na nini haswa chanzo cha hiyo ajali hadi huyo Mama kuacha mali za Watoto aliowakuta na Mumewe?Huyu dada tamaa ya pesa itamfanya apoteze uhai. Amuulize yule mama aliyefariki juzi na wanae kwenye ajali ya gari.Infwakti Yule mama Immaculata Byemerwa kabla ya kuolewa na Engneer alikuwa na yuho mwanae Albert ambae ndo alikuwa dereva. Kaolewa kazaa Janet na Jolister.Na kumbuka kwamba alimkuta Josepahat ana watoto wakubwa .Sasa yule mama kapata ajali na kafariki na uzao wake wote. Kaacha watoto wa mzee wafaidi vizuri mali za baba na mama yao mzazi.
Jack acha tamaa.
Kwahiyo mama byemerwa kapotezwa kiaina?Huyu dada tamaa ya pesa itamfanya apoteze uhai. Amuulize yule mama aliyefariki juzi na wanae kwenye ajali ya gari.Infwakti Yule mama Immaculata Byemerwa kabla ya kuolewa na Engneer alikuwa na yuho mwanae Albert ambae ndo alikuwa dereva. Kaolewa kazaa Janet na Jolister.Na kumbuka kwamba alimkuta Josepahat ana watoto wakubwa .Sasa yule mama kapata ajali na kafariki na uzao wake wote. Kaacha watoto wa mzee wafaidi vizuri mali za baba na mama yao mzazi.
Jack acha tamaa.
Inavyoonekana kuna tatizo.Jiulize mme wake kafariki mwaka jana na alizikwa Bukoba. Yeye na watoto kazikwa Kibaha shambani kwao. Kuna spirit flani.Kwahiyo mama byemerwa kapotezwa kiaina?
KWA MCHAGA CHEZEA MAPENZI SIO PESA!!.Naona Mama huyu anashindana na wachaga! Sijui kama anawajua wachaga vizuri!
Ila jack nae alitia fora eti atakaepingq wosia huo apewe buku kweli dada ukasahau kama watoto wakubwa wapo ukawanyima mpaka nguo za baba yao....Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.
Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.
May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.
Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.
Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA
Kwa kweli hiyo ni roho ya ukatili roho mbaya kabisa kila kitu urithi wewe! Wewe ulimuona huyo Mzee ana kila kitu amechuma na mke mkubwa yaani wewe uchukue tu...Mengi mara baada ya uchaguzi wa 2015, ule mwaka wa 2016 aliugua sana na hata uwezo wake kiakili ulipungua. Mengi alikuwa siyo mtu wa kujirekodi clip za video na kurusha kwenye mitandao eti akijiapiza kuwa anampenda sana huyo mwanamke.
Dah hatrii ila imawezekana kuna jambo nyuma yalkeInavyoonekana kuna tatizo.Jiulize mme wake kafariki mwaka jana na alizikwa Bukoba. Yeye na watoto kazikwa Kibaha shambani kwao. Kuna spirit flani.
Kwa hiyooo.. alitaka akimbie nchi? hakuna kutoroka....Mkuu uzuri watoto watakuwa watu wazima watajiunga na ndugu zao. Hao watoto kwa wachagga hawataachwa na urithi watapewa kabisa maana hata shule walikuwa wanasomeshwa vizuri? Alipotaka kwenda kuishi Dubai kwa lile Danga lake ndiyo akaleta bill ya Ada ya kutupwa na familia Ika stop ushenzi huo. Yaani kukekule alikofia Baba yao na kulekule ambako walimkuta hayuko na mgonjwa!!!! Ndiko huko alipanga kupeleka watoto na yeye kuishi huko.
Yeah sureInavyoonekana kuna tatizo.Jiulize mme wake kafariki mwaka jana na alizikwa Bukoba. Yeye na watoto kazikwa Kibaha shambani kwao. Kuna spirit flani.