mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Watoto watalelewa na ndugu zao yaani kaka dada, mashangazi, baba wakubwa na wadogo. Hapo wanachotaka ni aachie mali za urithi aliojiandikia yeye kwa mkono wake.
Wadangaji huwa wanajiona very smart but wanasahau kuwa nyuma ya utafutaji huwa haki inafuata. Sasa kama utafutaji wako ulikuwa si wa haki then jiandae kufuatwa na hatima kama hii inayomkuta huyu mlimbwende.
Hebu fikiria Mzee wako ana mali kama Bakheresa,anaoa bi mdogo,harsfu kwenye urithi anaandika mali zote ziende kwa bi mdogo na uzao wake,harsfu wewe ambae umekuwa na Mzee wako ukifanya kazi kwenye makampuni yake,hupati hata ka IST!!
Jacky hajanyimwa urithi kaka,sema TU will imekaa vibayaMapambano bado yanaendelea hadi kieleweke.
Mjane wa Marehemu Mengi anayo haki na ataipata tu.
Ikibidi hata Mahakama ya Afrika Mashariki atafika.
Haya ni mapambano sio tu ya kudai haki ya Jacqulline bali ni mapambano dhidi ya mila na desturi kandamizi kwa wajane wote Tanzaania, tusimlaumu Jacquline bila kufikiria,
bado nchini tunayo makabila yenye desturi na mila kandamizi kwa wajane/wanawake hivyo lazima wanawake wote na wapenda haki tusimame pamoja na mpambanaji Jacquline kupinga ukandamizaji na unyanyasaji huo kupitia Mahakama.
mapambano yanaendelea..................
Shida ndo hvyo sema hawezi kujishughulisha yaani yeye anataka awe top ila watu wamfanyie kipindi Yuko na mengi angekua mwingine angekua na miradi yake mingi TU sasa hivi binafsi akajisahau kabisaaa yaani ndo maana anahangaika1. Tamaa yenye mizizi ya ubinafsi ndani yake.
2. Hana uwezo wa kutafuta pesa maana angekuwa nao kidogo alichopata angeshafanya makubwa sana. Anaonekana anapenda sana matumizi makubwa ya mamilioni na tambo za mjini na huku hana uwezo wa kutafuta.
3. Hapendi kushare na hayupo tayari kwa hilo.
4. Anajua akitoka hapo hana tena pa kuanzia maana hao jamaa watamfilisi kila kitu endapo atashuka uwezo wa kifedha atashindwa kupambana nao kisheria.
Wakigawa Sasa Jacky atanyimwa?Mirathi inagawa na mahakama na siyo watoto wakubwa wa marehemu mengi
Duhhhbinafsi huwa sihesabii waintrovitro kama binadamu, nashukuru Mungu nilipata watoto kawaida, ila hata ningepata wa aiana hiyo wala nisingewapenda, ingelikuwa bora niwe peke yangu for life.
Hahahaha....nimecheka mbayaaa wakiona hiininao watoto wangu wa kike kadhaa, actually mara nyingi huwa nawaambia kwamba nawaombea kwa Mungu, na wao wajitahidi katika maisha yao wasijekuja kuwa kama Jackline Ntabaya..., wema sepetu, hamisa na kajala. huwa nawaambia kabisa hawa ni watu wenye mifano mibaya kabisa ya maisha wasijejichanganya wakawa kama wao. siwezi mention ambalulu na yule mvuta bangi gigi money kwasababu hao wameshapita hata kwenye mfano mbaya wa maisha.
Mzee wakati mwingine ukifikilia unaona kidogo alikuwa sahihi kwa upande wake, aliona watoto wadogo ndio wana stahili urithi wakeUkiendekeza kichwa cha chini utaacha familia yako kwenye matatizo makubwa hata kama unamali nyingi
Anayo ,nadhani ni ya furniture ,nguo ,mabegi etcKwani ana biashara hai? Huyu mwanamke ni pimbi haswaa
Kampuni ilishafilisika kabisa ikafa yeye nguvu nyingi kaamishia kwenye kesi kwaiyo anauza ata kidogo alichonacho anapambana na watoto wa marehemuAnayo ,nadhani ni ya furniture ,nguo ,mabegi etc
Wameunganisha nguvu na ndugu yake, wakale mali za mtu mwingine 🤣🤣🤣🤣Huyo Jack ana tamaa sana pesa umezikuta halafu unataka kuwapangia watu jinsi kugawa mali
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hausiki nazo wakati mzee alishajitia kitanzi Cha ndoa na watoto kazaa nae?hilo balaa lao wanalo.wakimkataa jack Kama mke wa baba yao watamkubali Kama mama wa wadogo zao.kiufupi jack hakwepeki
Ilishakufa siku nyingi sana kabla hata Mzee hajafarikiAnayo ,nadhani ni ya furniture ,nguo ,mabegi etc
Niliambiwa hata Range aliyoachiwa keshaiuza siku nyingiKampuni ilishafilisika kabisa ikafa yeye nguvu nyingi kaamishia kwenye kesi kwaiyo anauza ata kidogo alichonacho anapambana na watoto wa marehemu
Ukifata utaratibu wala hawatasumbuanaKuna trend ya mahakama kubatilisha wosia za marehemu, Je watu wataandika wosia tena kama ni rahisi kubatilisha kila wakatí?
Anayo ,nadhani ni ya furniture ,nguo ,mabegi etc
Hapa hii kesi kila upande unashinda na kushindwa kutokana na makosa ya kiufundi,technicalities tu,unaweza ukakuta umekosea kuweka mkato au nukta tu,
Huyu dada kweli kwa kipindi alichoishi na Mzee Mengi,Hana,Wala hakuweza hata kuwa na milioni 200 kwenye akaunti yake?
Kwanini asikubali kupokea hicho kidogo Cha urithi,asonge mbele
Wiki ndefu, siku 3 tuu tushakusahau. Hata wasifu unakua mfupi. Marehemu alizaliwa, akasoma hadi darasa la 6. Kaanza kuzurula huku na kule kambua magonjwa kisha kafariki na leo tunamzika.Msiba WA tajiri hudumu Kwa Muda mrefu, masikini akishazikwa na stori zinaisha baada ya wiki TU.