miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Akili zao zote zinakuaga kwenye mbiko tu[emoji23][emoji23]hakuna slay alishawahi kuwa na akili, zote zinahamiaga kwenye sehemu za siri. they have nothing else to offer than sex.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zao zote zinakuaga kwenye mbiko tu[emoji23][emoji23]hakuna slay alishawahi kuwa na akili, zote zinahamiaga kwenye sehemu za siri. they have nothing else to offer than sex.
Unawafahamu? Maana tuko nao jirani huku Yombo Dovya,Huyu dada tamaa ya pesa itamfanya apoteze uhai. Amuulize yule mama aliyefariki juzi na wanae kwenye ajali ya gari.Infwakti Yule mama Immaculata Byemerwa kabla ya kuolewa na Engneer alikuwa na yuho mwanae Albert ambae ndo alikuwa dereva. Kaolewa kazaa Janet na Jolister.Na kumbuka kwamba alimkuta Josepahat ana watoto wakubwa .Sasa yule mama kapata ajali na kafariki na uzao wake wote. Kaacha watoto wa mzee wafaidi vizuri mali za baba na mama yao mzazi.
Jack acha tamaa.
Hapana, alengeshwe ya kwenye mburasi yake ili akili zirudi kichwani[emoji23]Thanks. Imemiweka vizuri Sana. Eti watoto wakubwa wasipate urithi wa Baba yao kabisa. Kwani walimkosea nini wakati watoto hao wamesimama biashara zote toka mzee alipoanza kuugua seriously 2016? Biashara zijanyooka. Tena ujue biashara zilishaanza kuyumba Sana ndiyo Motie na Regina wakaingia na Abdiel baadaye wakanyoosha mambo. Hii puss inataka ipewe tu eti. Sasa hivi linadanga Dubai na Mzungi linataka kina Regina wazalishe wamtumie. Yaani anatakiwa alengeshwe Moja ya utosini. Hovyo kabisa. Yaani imenifanya nidharau slay queens hawana akili zaidi ya kuuza papuchi.
Hello, hawa hawaitaji media drammars. Wako.well groomed. Angekua jacky ndo angekesha na media kama ulivyoona twitter walimpopoa. Hawahitaji kutunia media as everything is well documented. Kila kitu kiko wazi. Kazi wataifanya mawakili na basi.HII SIO PRIVATE MATTER ,MZEEEEEEEEEEE JUA KWAMBA MAREHEMU KAACHA LEGACY , MAREHEMU KAAACHA MAMIA YA WATANZANIA AKIWA ANAWALISHA KILA MWEZI , MAREHEMU KAACHA. BIASHARA. NYINGI TUU ZILIZOTOA AJIRA ZAIDI YA 100 (HAPA WALA USIULIZE) ,MAREHEMU KATOA MICHANGO MINGI SNA KATIKA TASNIA MBALI MBALI HAPA TZ , SADA UKICHUKULIA HAYA YANAYOENDELEA BINAFSI NA PINGA HII KITU KAMA PRIVATELY , MAANA. WALE WALIO KASIMISHWA. BIASHARA ZOTE BEFORE HAJAFA , WAKILALA TUU HIVI VIWANDA KAMA BONITE BOTTLERS , NA BIASHARA ZOTE ZINAKUWA ZIMEKUFA JUST CHUKULIA , UMEJENGA NYUMBA , UKAWA MZEE(UKASHINDWA SIMAMIA) , WATOTO ULIO ZAA WAKO MATURED SO UNA WAKABIDHI USIMAMIZI NA UMILIKI , MARA GHAFLA.......ILA DAH NASHINDWA ANDIKA HAPA YAAAAANI NI USA III MTUPUUU KAMA CHAI HII INA SISIMIZI
Huyu mzee alipita hadi na maua sama wa juzi tu 😆 huyu mzee nae alizidi ilibidi ile siku ya kuuga mwili tumfinye kidg mashavu khaaa 😆Akili kaka akili brain must work forward! inquisitive mind...Kuna beuty with brain na beuty with brainless
Walotoboa kwa Mzee Mengi ni madam ritha ,Lilian Kazidiwa hata na maua sama[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiyo combo ya mmachame na wale watoto wa mrema yewooomii[emoji23][emoji23][emoji23] wameng'a matairi yote mrs mrema ameishia kubaki na panki lake la kimo cha ndege my friend[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]kwa mremaa ndo kunamfaa naona...yaani hili litafanya wawe very selective Mutie akija kuoa maana washajua wengi wako kibusiness ndo maana wenzetu waarabu matajiri wanaoana ndugu kwa ndugu kuepuka hizi mambo za tamaa za hovyooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila mutie nae alizingua jamani kula mbususu kimasikhara kukamgharimuEehh...wakiume sema Hawa wenzetu sio watu wa social media ndo maana yaani ktk Ile family Mutie ndo alikua mkaka wa mjini maana enzi zilee tu alikua anakula maisha mnooo!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaaaah ilikuwa ndani ya ammorete hio 😆 sidhan hata king furniture anazo kama hizoSofa la milion 24[emoji23][emoji23]
sasa wewe angalia slay kama wema, kajala,mobeto,zari,jack,gigy money, ambalulu, Lina wooote, hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kubadilisha mabwana hadi wanazeeka. wengine wanaweza tumia hata 20m kupanga nyumba, ila hawana kiwanja, hela hiyo basi wangeitumia hata kupata elimu tu kichwani lakin hawana akiliAkili zao zote zinakuaga kwenye mbiko tu[emoji23][emoji23]
Na yametengenezewa hapahapa. Huyu mbibi huyuuYaaaah ilikuwa ndani ya ammorete hio [emoji38] sidhan hata king furniture anazo kama hizo
Hawana haja ya kufanya hivyo waleINGEFAA WALE WATOTO WA MKE WA KWANZA WAITISHE PRESS CONFERENCE IKIWA LIVE KABISA MAAAAANA ITV NI YA MENGI ILI KUELEZEA NI LINI BABA YAO ALIACHA MAJUKUMU YA KIOFISI AKAWAKABIDHI WAO KUENDESHA NA KUSIMAMIA MALI NA BIASHARA ZOTE , NA KUELEZA UMMA KUWA EVERYTHING IS UNDER CONTROL
Wanajua kuuza vitundu vyao tuusasa wewe angalia slay kama wema, kajala,mobeto,zari,jack,gigy money, ambalulu, Lina wooote, hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kubadilisha mabwana hadi wanazeeka. wengine wanaweza tumia hata 20m kupanga nyumba, ila hawana kiwanja, hela hiyo basi wangeitumia hata kupata elimu tu kichwani lakin hawana akili
Watoto wa mrema mungu anawaonaHiyo combo ya mmachame na wale watoto wa mrema yewooomii[emoji23][emoji23][emoji23] wameng'a matairi yote mrs mrema ameishia kubaki na panki lake la kimo cha ndege my friend
Ila jaman pesa itakufanya mpk kuku wakutukuze[emoji119]Mwizi anakimbizwa kimya kimya yoweee anapiga yy[emoji2][emoji2][emoji2]yaaani simpatii picha angekua boss lady kwa sasa n kuvaa nguo nyeupe na kuzurura tuu madam wa kile kigroup chao sijui limefia wap tokea mzee kafa.
Wacha kudharau kabila za watu...Angepata mgao wake kama Mke mwenye watoto ktk familia.
Wachagga cyo wandengereko linapokija suala la mali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii.Watoto wa mrema mungu anawaona
Watu wapo makaburini wao wako busy na tairi na engine ya prado
Dorini kabaki na funguo za prado na password za bank atm card zote hana
Nafatilia comment zenu zinachekesha mno😅😅Ulikuwepo humu ule wosio ngoja niutafute[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]yaani mambo meusi kweli kila kitu mpk vijiko yaani vyoote vya kwake na wanawe wale wengine haviwahusu kabisaa yaani tajiri mpk vijiko na boksa kaweka urithi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na wa ICU amekufa piaNaujua msiba TU kuhusu Mali sijui walikua wanatoka Kibaha kwenye graduu wamepata ajali wotee wamekufa naskia mmoja Yuko ICU
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app