Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Unawafahamu? Maana tuko nao jirani huku Yombo Dovya,
 
Hapana, alengeshwe ya kwenye mburasi yake ili akili zirudi kichwani[emoji23]
 
Hello, hawa hawaitaji media drammars. Wako.well groomed. Angekua jacky ndo angekesha na media kama ulivyoona twitter walimpopoa. Hawahitaji kutunia media as everything is well documented. Kila kitu kiko wazi. Kazi wataifanya mawakili na basi.
 
Huyu mzee alipita hadi na maua sama wa juzi tu 😆 huyu mzee nae alizidi ilibidi ile siku ya kuuga mwili tumfinye kidg mashavu khaaa 😆
 
Hiyo combo ya mmachame na wale watoto wa mrema yewooomii[emoji23][emoji23][emoji23] wameng'a matairi yote mrs mrema ameishia kubaki na panki lake la kimo cha ndege my friend
 
Akili zao zote zinakuaga kwenye mbiko tu[emoji23][emoji23]
sasa wewe angalia slay kama wema, kajala,mobeto,zari,jack,gigy money, ambalulu, Lina wooote, hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kubadilisha mabwana hadi wanazeeka. wengine wanaweza tumia hata 20m kupanga nyumba, ila hawana kiwanja, hela hiyo basi wangeitumia hata kupata elimu tu kichwani lakin hawana akili
 
Hawana haja ya kufanya hivyo wale
 
Wanajua kuuza vitundu vyao tuu
 
Mwizi anakimbizwa kimya kimya yoweee anapiga yy😃😃😃yaaani simpatii picha angekua boss lady kwa sasa n kuvaa nguo nyeupe na kuzurura tuu madam wa kile kigroup chao sijui limefia wap tokea mzee kafa.
 
Hiyo combo ya mmachame na wale watoto wa mrema yewooomii[emoji23][emoji23][emoji23] wameng'a matairi yote mrs mrema ameishia kubaki na panki lake la kimo cha ndege my friend
Watoto wa mrema mungu anawaona
Watu wapo makaburini wao wako busy na tairi na engine ya prado
Dorini kabaki na funguo za prado na password za bank atm card zote hana
 
Mwizi anakimbizwa kimya kimya yoweee anapiga yy[emoji2][emoji2][emoji2]yaaani simpatii picha angekua boss lady kwa sasa n kuvaa nguo nyeupe na kuzurura tuu madam wa kile kigroup chao sijui limefia wap tokea mzee kafa.
Ila jaman pesa itakufanya mpk kuku wakutukuze[emoji119]
 
Watoto wa mrema mungu anawaona
Watu wapo makaburini wao wako busy na tairi na engine ya prado
Dorini kabaki na funguo za prado na password za bank atm card zote hana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii.
Halaf ukute watoto wa mrema nao vipenyoo... mbooonaaaaa
 
Nafatilia comment zenu zinachekesha mno😅😅
 
Kweli Mengi ndio wakuandika eti viatu vyote watavaa watoto wake wadogo? Wasubiriwe wakikua watavaa hapana sii sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…