miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Huyu ni mburasi. Full stop.Huyo jamaa ujinga na ushabikie unsomsumbua hakuna mtu anayepinga jack asipewe urithi Ila swala la kutaka asilimia zote ndo watu wanachopinga na matamanio ya kutaka asilimia zote ndo yanaraise question [emoji780][emoji780][emoji780]
Uko very arrogant. Umeelewa tofauti ya urithi na mgawanyo wa shares? Hizo ni shares ambazo wamezitolea jasho. Klyn yeye ana proffessinal tofauti na kuuza mbwali billicanas club enzi hizo. Hivi hata unajua maana ya kampuni kweli? Hujui kama huwa kuna kuuza na kununua na kugaiwa hisa? 25 percent ni hisa na siyo urithi. Kampuni maana yake ni nini? Tuanzie hapo.
Swali unajua rulling ya mahakama we nenda kamsaidie na mpe hizi hoja zako ili akikata rufaa azitake into considerationMimi mwenzako uwa NINA AKILI HURU.
Kanuni ya maisha yangu.MIMI SIKO SAHIHI WALA WEWE HAUKO SAHIHI.
umeona wapi watoto wanapewa mgawo wazazi wakiachana?na bado hawajafa?
Yes. I know, hata mizimu yote inapinga. Tawileee[emoji23][emoji23]Sio tu watoto wanapinga jack Bali kuna watu walioanza na mengi from scratch wako upande wa watoto
Huyo jamaa ujinga na ushabikie unsomsumbua hakuna mtu anayepinga jack asipewe urithi Ila swala la kutaka asilimia zote ndo watu wanachopinga na matamanio ya kutaka asilimia zote ndo yanaraise question [emoji780][emoji780][emoji780]
Sio kujikoroga wosia hauko valid kisheria ndo maana mahakama imeutupilia mbaliwewe na mumeo watoto wenu mmeshawapa % zao?.
sema tu mzee alikuwa anaburuzwa na mkewe mkubwa alimuwahi.
Ilitakiwa wagawane 50% kwa 50%.
Hawa watoto watakuja kurithi wao wakifa.sio wao wapo hai wanawagawia watoto %.
hapa mzee mengi alijikoroga.
Ndo maana akaja kuandika wosia wa BUKU BUKU
We ulinipiga kibuti, najaribu kwingine unaniwekea uzibeKwendraaaaa huko wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda kampe huu ushauri ili ashinde kesiAnataka asilimia zote zipi ?
Wakati watoto wamepewa 25%.
Mke wa kwanza kapewa 37.5%?
Acheni CHUKI ndugu zangu.hivyo ni vitu vya kupita tu.
Hivi wewe shule yako ni ya wapi[emoji23][emoji23][emoji23] na mbona wakomalia angali hujui sheria? Wewe ni kiazi sana mkuu. Naomba kujua sheria juu ya baba kwa watoto na unambie ni vifungu gani hivyo ambavyo vinabagua baba kumnyima mwanaye urithi angali hakuna sababu yoyote ile. Wewe ni mbiko
Kumbe uenda tuna muhukumu jack bure.kumbe wale watoto Wana 25% kibindoni tena sio za urithi.
Bado 37.5% za mama yao.
Ndo maana mzee mengi akaandika wapewe BUKU BUKU.
kea sababu hawa watoto wa mengi wawili wakubwa watawazidi wenzao.
Ndo maana mengi akaamua 37.5% za kwake warithi wale mapacha wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebuu njoo hapa Coet, ujee na Jeep ile nizururee town babuuh, wee c utakua na ford danger au?We ulinipiga kibuti, najaribu kwingine unaniwekea uzibe
Au nimwachie Mungu?
Watoto hawajapewa 25% kama urithi. Walipewa kama mali yao halali. Nao ni shareholders. Sasa baba yao amekufa kwanini wasirithi mali za baba yao???Anataka asilimia zote zipi ?
Wakati watoto wamepewa 25%.
Mke wa kwanza kapewa 37.5%?
Acheni CHUKI ndugu zangu.hivyo ni vitu vya kupita tu.
Nenda kampe huu ushauri ili ashinde kesi
Watoto hawajapewa 25% kama urithi. Walipewa kama mali yao halali. Nao ni shareholders. Sasa baba yao amekufa kwanini wasirithi mali za baba yao???
Na hao wadogo si watawazidi wakubwa kwa Mali za mama Yao ambae ni kyln
Tukubali tukatae wakubwa lazima wazidi hiyo kyln akubaliane na Hii kwa sababu ya Mama Yao na yeye angetaka watoto wake wawazidi wakubwa angefanya Kazi kwa bidii watoto warithi kwa Mama pia
Wazazi wakiwa hai watoto hawagusi kituu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi ninavyojua wazazi wakitengana.wanagawana wao kwa wao wazazi.haya mpaka watoto wanapewa mganyo mapya.
Sijawahi kuona watoto wakipewa Mali wakati wazazi wao wametengana.
Kwa hyo kujaza wino kwenye peni ndo wamepewa 25% ?.[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mimi nipo upande wa wosia WA BUKU BUKU.
Sio kujikoroga wosia hauko valid kisheria ndo maana mahakama imeutupilia mbali
Wazazi wakiwa hai watoto hawagusi kituu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwamba jeff benzos ilibdi awagawie na wanaeee...!! Wakati bado yupo haii khaa..Mali zinagawanya kati ya mume na mkee suala la watoto kurithishwa ni maamuzi ya baba au mama baada ya kupewa hizo mali ataamua..Mimi naona wewe na Mimi hatuwezi kuelewana.
Ila naona kuna tatizo Kwenye hizo 25 % za watoto wakubwa.
Haya kwangu Mimi naona mapya.sijawahi kuona tajiri yoyote duniani anaachana na mkewe alafu wanatoa asilimia kwa watoto.
Kama siko SAHIHI utanielimisha na kunitajia mifano.
Thanks
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwamba jeff benzos ilibdi awagawie na wanaeee...!! Wakati bado yupo haii khaa..Mali zinagawanya kati ya mume na mkee suala la watoto kurithishwa ni maamuzi ya baba au mama baada ya kupewa hizo mali ataamua..