Wanawake aina hii hawana akili hiyoShida ndo hvyo sema hawezi kujishughulisha yaani yeye anataka awe top ila watu wamfanyie kipindi Yuko na mengi angekua mwingine angekua na miradi yake mingi TU sasa hivi binafsi akajisahau kabisaaa yaani ndo maana anahangaika
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Furniture bei zake atanunua naniAnayo ,nadhani ni ya furniture ,nguo ,mabegi etc
Hujawahi oma mtu anatransfer sehemu ya shares zake kwa mtu mwingine? Nendeni basi walau mkasome The Companies Act Cap 212 kidogo kama hii mnaona ni kitu cha ajabu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwamba jeff benzos ilibdi awagawie na wanaeee...!! Wakati bado yupo haii khaa..Mali zinagawanya kati ya mume na mkee suala la watoto kurithishwa ni maamuzi ya baba au mama baada ya kupewa hizo mali ataamua..
Woooii,Mauritius mkuu... sawa, wewe ulikuwepo?Comoro kweli?ebu kumbuka vizuri
Ewaaaaah. Yaaan na watamnyooshaaa haswaaaa.Hapa sidhan Kama Ni ulafi,
Wanataka kumnyoosha huyu mwanamke aliewaandikia urithi wa buku buku.
Ujue Hii kupewa buku buku dharau kubwa Sana mkuu hata Kama Mali ninazo[emoji4]
Kumbuka aliishi na yule mbjlgaria akamkimbia(tena hapa wana kisa chao mpk interpol ilingilia kati kuwa save)..akampata kinjeKampuni ilishafilisika kabisa ikafa yeye nguvu nyingi kaamishia kwenye kesi kwaiyo anauza ata kidogo alichonacho anapambana na watoto wa marehemu
Aliniudhi mbayaaaaMzee jakaya kubakia kama msimamizi na mshauri wa ile familia aliharibu kabisa kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23] ndio. Na serenaKwamba wasia alikuwa nao kwenye kipochi manyoya akizurura nao kila mahali mjini akiujadili na mashoga zake samaki samaki? Ha ha ha.
Tofauti ya Kutransfer na kurithisha ni nini???Hujawahi oma mtu anatransfer sehemu ya shares zake kwa mtu mwingine? Nendeni basi walau mkasome The Companies Act Cap 212 kidogo kama hii mnaona ni kitu cha ajabu.
Mzee mengi si alikuwa chovyachovyaMzee mengi alipewa vitamu akajisahau akauza urithi wote kwa jack.
Mwanamke ana nguvu
Mzee mengi si alikuwa chovyachovya
Na jacky mzee alichomekewa,mission ilitengenezwa wakutane,walijua lzm mzee ataingia kwenye 18 atamnasa
Na alimnasa....
Ova
Nachoka hata kukujibu sababu unauliza petty issues,ni kama tu umeamua kubishana. Ni kipi hapo ambacho wale wadogo wanapunjwa? Si wanapewa haki sawa na ndugu zao kutoka kwa shares za Baba yao? Ni hivi,mshaurini Dada yenu apunguze u Slay Queen aanze sasa kufanya kazi kwa bidii ili aje awaongezee watoto wake juu ya kile wamepata kwa Baba yao,habari ya kulilia kilichotafutwa na Mwanamke mwingine hiyo haipo.Nimekuuliza ingekuwa wewe ungekubali ndugu zako wapewe chao mapema?hata Kama umechelewa kuja duniani?
Mzee mengi si alikuwa chovyachovya
Na jacky mzee alichomekewa,mission ilitengenezwa wakutane,walijua lzm mzee ataingia kwenye 18 atamnasa
Na alimnasa....
Ova
Nachoka hata kukujibu sababu unauliza petty issues,ni kama tu umeamua kubishana. Ni kipi hapo ambacho wale wadogo wanapunjwa? Si wanapewa haki sawa na ndugu zao kutoka kwa shares za Baba yao? Ni hivi,mshaurini Dada yenu apunguze u Slay Queen aanze sasa kufanya kazi kwa bidii ili aje awaongezee watoto wake juu ya kile wamepata kwa Baba yao,habari ya kulilia kilichotafutwa na Mwanamke mwingine hiyo haipo.
Yupo yupo tu....Aman the connector hivi yuko wapi ?
Usitake kuprove kuwa wakati mwingine Jina huwa linasadifu uhalisia wa mtu mwenyewe.watoto wa mengi wamechangia Nini kwenye Mali za baba yao?
Unaujua mfumo wa utoaji haki wa Mahakama ya Tanzania? Unajua Jack ameshindwa katika ngazi ipi au hata hujui?Kushinda atashinda tu Ila atachelewa.
Yupo yupo tu....
Ila huyu jacky kuna watu wamemshika akili....ashukuru hata hicho atakacho
Pewa sasa yeye anataka chote
Ova
Hizo stori tu kuna mama mmja mjiniYule dem bana mara walikutana kwenye ndege wakiwa wanaenda london na blahblah kibao wakati alikua anatafuta chance ya kupeleka proposal zake kwa mzee kupitia machawa chance ikapatikana mambo yakaanzia hapo baada ya mshua nae kuelewa pisi,